Unakijua Chama Cha KADIMA?

Unakijua Chama Cha KADIMA?

Sawa ndugu.
Tanzania 'ajira' nyingi sana wakati hali ya uchumi inaporomoka.
Sijui kama wana-uchumi wanasemaje kwenye hili swala.

Ila duh, hoja ya leo ya ZeMarcopolo imetia fora.
Itabidi Zemarcopolo awe ana pita-pita mitaani kisikiliza watu wanavyotamka maneno.
Akisikia tu mtu kakosea kutamka neno 'mjomba' badala yake katamka 'njomba', basi Zemarcopolo atapiga mbio kuja JF kuanzisha thread..!!!
Hapo basi..... siku imeingia.....!!!

Aanze na ya waziri wake..Tanzania ni muungano wa nchi mbili ambazo ni....
Tanganyika na..... Atamalizia ZeMarcopolo
 
Last edited by a moderator:
Mkuu,

Kwanza naomba urekebishe kauli. According to maelezo ya kijana wa Dr. Slaa, Ben Saanane, ambaye kila anachoandika kinareflect jinsi anavyotumwa na Slaa, anasema KADIMA ndio kiingereza cha Chadema.

Kwahiyo mtangazaji hajakosea.

Pili, thread inahusu mambo mengi, sio kiingereza cha Chadema tu. Kwa mfano Slaa kadanganya kuwa KADIMA ina wafuasi wengi zaidi viijini kuliko mijini. Huu ni uongo LIVE. Wewe kama mpenda Mabadiliko wa kweli inabidi ukemee ulaghai wa Slaa badala ya kuutetea.

Hapo kwenye blue, wewe uliandika kuwa mwandishi kakosea.., Labda kama ume-edit baadaye..!!!

Hapo kwenye red, sijawahi hata mara moja kutetea ulaghai wa mtu yoyote.
Ila labda unukuu post yangu yoyote hapa JF, JF iko wazi, hebu quote post yangu yoyote.
Ila wewe umeweka uongo wakati mahojiano ya Dr. Slaa yako wazi wala hayasemi ulichoandika.


Mimi siku zote makemea maovu ya mtu yoyote, haswa walioo madarakani, maana hao ndio wanaotuongoza kama nchi.
Usipowakemea hao, watatupeleka kubaya kama wanavyofanya hivi sasa kutupeleka kwenye biashara ya madawa ya kulevya mpaka Tanzania imekuwa kinara wa 'unga' hapa Afrika.

Sijakusikia wala kusoma post yako hata moja inayokemea biashara ya 'unga' hapa Tanzania, hebu tuonyeshe wapi umekemea maovu yoyote hapa Tanzania (kama vile ufisadi, rushwa, mikataba mibovu, mauaji, madawa ya kulevya, n.k).
Onyesha hapa tuone kweli wewe unakemea maovu, na sio kumkemea mtu mmoja tu kwa ushuhuda wa uongo.

Copy: Mamndenyi
 
Last edited by a moderator:
Last edited by a moderator:
Hizi kauli za Slaa ndio zinawakatisha tamaa watu kama Mohammedi Mtoi kushiriki harakati za KADIMA.
“Mkataa kwao mtumwa” hata kama katibu wa KADIMA analikoroga aendelee tu.“Kivuli cha fimbo hakimstitiri mtu”

 
Sijakusikia wala kusoma post yako hata moja inayokemea biashara ya 'unga' hapa Tanzania, hebu tuonyeshe wapi umekemea maovu yoyote hapa Tanzania (kama vile ufisadi, rushwa, mikataba mibovu, mauaji, madawa ya kulevya, n.k).
Onyesha hapa tuone kweli wewe unakemea maovu, na sio kumkemea mtu mmoja tu kwa ushuhuda wa uongo.

Copy: Mamndenyi

Ni kweli kuwa sijawahi kukemea biashara ya unga hapa JF na sina mpango. Wengi wenu ni watu mnaoendeshwa na matukio. Sijaona kipya kwenye biashara hiyo na nina agenda za msingi zaidi za kushape public opinion.

Sio kweli kwamba sijawahi kukemea maovu. Tafuta thread yangu yenye heading "Pinda - a clueless PM" utaona nimeandika nini, just google that heading itakupeleka kwenye thread.

Unawaza pia kusoma michango yangu juu ya mishahara ya viongozi.
 
Last edited by a moderator:
Leo Slaa alikuwa anahojiwa na redio na WPFW Radio ya Washingyon DC Marekani.

Katika mahojiano hayo Dr. Slaa ametia aibu mno, lakini kilichosikitisha zaidi ni kwamba mtangazaji wa kipindi hicho Mwiza Munthali alishindwa kabisa kutamka neno CHADEMA na kila mara alikiita chama cha Slaa KADIMA.

Kwa lugha nyepesi ni kwamba interview ya Slaa imeshindwa hata kuuza jina la chama!

Kuna mambo kadhaa ambayo Slaa ameaibisha kama ifuatavyo:

1. Mara kadhaa Slaa alishindwa kutamka jina la kipindi anachohojiwa. Jambo hilo lilimfanya mtangazaji kumkumbusha several times kuwa kipindi kinaitwa africaNow baada ya Slaa kukiita AfricaOne. Tone ya mtangazaji ilionyesha wazi kuwa amechukizwa na lack of memory ya Slaa. Kwa wamarekani, kukosea jina la mtu ni offence ndio maana huyu mtangazaji alijisikia offended slaa kukoseakosea jina la kipindi chake.

2. Slaa alishindwa kujibu Chadema itafanya nini tofauti na CCM. Slaa aliishia kusema kuwa CCM ina sera nzuri sana na kwamba wao watakachofanya ni kuhakikisha sera za CCM zinatekelezwa kwa ufasaha zaidi. Wasikilizaji wa Marekani wakisikia hadithi kama hizo wanaona mtu anayesema hivyo is just a job seeker. Wamerakani wanataka kusikia tofauti ya sera, sio siasa za kusema mimi ndio ninajua zaidi kutekeleza sera za mwenzangu!!! Hapa Slaa kaabisha big time.

3. Mtangazaji alidhihirisha kuwa hamuamini Slaa kwa porojo zake mpaka akamwambia hapo inabidi tupate upande wa serikali nao tuusikie unasemaje. Slaa alizidisha chumvi.

4. Mtangazaji amefanya home work yake. Anajua composition ya parliament. Slaa alimdanganya mtangazaji kuwa Chadema (Kadima) ndio chama chenye absolute majority nchini Tanzania. Mtangazaji akamwambia lakini Bungeni mko wachache na chama chenu hakijapenetrate vijijini. Slaa akadanganya tena kuwa eti Chadema (Kadima) ina wafuasi wengi vijijini kuliko mijini. This is not true.
Kadima haina absolute majority kwenye Bunge wala mitaani. Slaa alidhani mtangazaji wa Marekani hajui mambo ya Tanzania, kumbe mtangazaji kajiandaa.

5. Slaa alianza kuongea hadithi za Mwangosi. Mtangazaji akamdhihirishia kuwa anaijua hadithi ya Mwangosi kwa undani na akamtajia jina la Mwangosi kabla hata slaa hajalitaja. Mtangazaji alishajua kuwa Mwangosi ndio single anayotumia Slaa ughaibuni kutafuta sympathy. Hata hivyo mtangazaji alibadilisha topic na kumuuliza Slaa mambo mengine kabla hajamaliza kusimulia hadithi yake pendwa ya Mwangosi.

Kiujumla Slaa katika majadiliano ya leo ametia aibu na ameshindwa kuinadi KADIMA kabisa!!!

My take:
Tunapowaambia kuwa Chadema (KADIMA) ni chama kinachoendeshwa katika misingi ya Kilaghai ndio muelewe nini tunamaanisha. Slaa kashaanza kuwageuka, sasa hivi anasema CCM ina sera nzuri.

Nyinyi kama mlikuwa mnaitukana CCM mwishowe mtajikuta kawaacha njia panda.

Ameenda Marekani amekuta sera za CCM zinasifiwa na yeye ameanza kusema ni sera nzuri!!!

Akili Kichwani, safari barabarani. Wajinga ndio waliwao...

Akili za Malechela mwaka fulani alisimama mnazi moja akiwa waziri mkuu akimtumia Miss Tanzania mwaka ule akidanganya umati kwamba Tanzanian inafahamika dunia nzima kumbe wengi wanaijua kwa ombamba na wakati wa Mwalimi ilijulikana kwa siasa zake safi .
 
Tanzania haihitaji chama kipya kiongoze ila inaitaji watu wa kuongoza.
 
Hauna TOfauti na Mr. Dhaifu kumjadili Lisu na kufanya ndio hotuba ya mwezi.
Na wewe hapa ni Slaa Slaa
 
Ni kweli kuwa sijawahi kukemea biashara ya unga hapa JF na sina mpango. Wengi wenu ni watu mnaoendeshwa na matukio. Sijaona kipya kwenye biashara hiyo na nina agenda za msingi zaidi za kushape public opinion.

Sio kweli kwamba sijawahi kukemea maovu. Tafuta thread yangu yenye heading "Pinda - a clueless PM" utaona nimeandika nini, just google that heading itakupeleka kwenye thread.

Unawaza pia kusoma michango yangu juu ya mishahara ya viongozi.

Okay,

Sasa soma hapa. Hotuba kamili imewekwa hapa, hakuna kuchakachua wala kudanganya.

This time mwandishi hakukosea kutamka Chadema.

Copy: duchi
 
Last edited by a moderator:
Tanzania haihitaji chama kipya kiongoze ila inaitaji watu wa kuongoza.

Watu wenye uwezo na uzalendo wa kuongoza, na sio watu wanaitia sahihi mikataba mibovu ya kuuza nchi.

Mfano mzuri wa watu hao ambao ni makini kabisa kwenye uongozi ni huu hapa...

Jamaa wa Rwanda... ndio mpango mzima....

images
 
Acha Uongo wako.Kama una ujasiri wa kudanganya kitu ambacho kila mtu alisikia ni mangapi ya siri umedanganya?

Alijibu sawasawa kuwa CHADEMA kina majority kwa kambi ya upinzani ndiyo kikaunda kambi hiyo.

Acha Uongo wako

Ninge shangaa kama usinge changia hapa maana wewe ni janga kwel kweli ata uyu babu akosee wewe kwako ni sawa tu
 
Ninge shangaa kama usinge changia hapa maana wewe ni janga kwel kweli ata uyu babu akosee wewe kwako ni sawa tu

Huyu kijana ni muajiriwa wa familia ya Slaa. Sasa hivi ameachiwa mtoto wa Josephine amlee wakati Josephine yuko Marekani anatalii...
 
Watu wenye uwezo na uzalendo wa kuongoza, na sio watu wanaitia sahihi mikataba mibovu ya kuuza nchi.

Mfano mzuri wa watu hao ambao ni makini kabisa kwenye uongozi ni huu hapa...

Jamaa wa Rwanda... ndio mpango mzima....

images

Una dalili za mtu asiyejitambua.
 
leo slaa alikuwa anahojiwa na redio na wpfw radio ya washingyon dc marekani.

Katika mahojiano hayo dr. Slaa ametia aibu mno, lakini kilichosikitisha zaidi ni kwamba mtangazaji wa kipindi hicho mwiza munthali alishindwa kabisa kutamka neno chadema na kila mara alikiita chama cha slaa kadima.

Kwa lugha nyepesi ni kwamba interview ya slaa imeshindwa hata kuuza jina la chama!

Kuna mambo kadhaa ambayo slaa ameaibisha kama ifuatavyo:

1. Mara kadhaa slaa alishindwa kutamka jina la kipindi anachohojiwa. Jambo hilo lilimfanya mtangazaji kumkumbusha several times kuwa kipindi kinaitwa africanow baada ya slaa kukiita africaone. Tone ya mtangazaji ilionyesha wazi kuwa amechukizwa na lack of memory ya slaa. Kwa wamarekani, kukosea jina la mtu ni offence ndio maana huyu mtangazaji alijisikia offended slaa kukoseakosea jina la kipindi chake.

2. Slaa alishindwa kujibu chadema itafanya nini tofauti na ccm. Slaa aliishia kusema kuwa ccm ina sera nzuri sana na kwamba wao watakachofanya ni kuhakikisha sera za ccm zinatekelezwa kwa ufasaha zaidi. Wasikilizaji wa marekani wakisikia hadithi kama hizo wanaona mtu anayesema hivyo is just a job seeker. Wamerakani wanataka kusikia tofauti ya sera, sio siasa za kusema mimi ndio ninajua zaidi kutekeleza sera za mwenzangu!!! Hapa slaa kaabisha big time.

3. Mtangazaji alidhihirisha kuwa hamuamini slaa kwa porojo zake mpaka akamwambia hapo inabidi tupate upande wa serikali nao tuusikie unasemaje. Slaa alizidisha chumvi.

4. Mtangazaji amefanya home work yake. Anajua composition ya parliament. Slaa alimdanganya mtangazaji kuwa chadema (kadima) ndio chama chenye absolute majority nchini tanzania. Mtangazaji akamwambia lakini bungeni mko wachache na chama chenu hakijapenetrate vijijini. Slaa akadanganya tena kuwa eti chadema (kadima) ina wafuasi wengi vijijini kuliko mijini. This is not true.
Kadima haina absolute majority kwenye bunge wala mitaani. Slaa alidhani mtangazaji wa marekani hajui mambo ya tanzania, kumbe mtangazaji kajiandaa.

5. Slaa alianza kuongea hadithi za mwangosi. Mtangazaji akamdhihirishia kuwa anaijua hadithi ya mwangosi kwa undani na akamtajia jina la mwangosi kabla hata slaa hajalitaja. Mtangazaji alishajua kuwa mwangosi ndio single anayotumia slaa ughaibuni kutafuta sympathy. Hata hivyo mtangazaji alibadilisha topic na kumuuliza slaa mambo mengine kabla hajamaliza kusimulia hadithi yake pendwa ya mwangosi.

Kiujumla slaa katika majadiliano ya leo ametia aibu na ameshindwa kuinadi kadima kabisa!!!

My take:
tunapowaambia kuwa chadema (kadima) ni chama kinachoendeshwa katika misingi ya kilaghai ndio muelewe nini tunamaanisha. Slaa kashaanza kuwageuka, sasa hivi anasema ccm ina sera nzuri.

nyinyi kama mlikuwa mnaitukana ccm mwishowe mtajikuta kawaacha njia panda.

ameenda marekani amekuta sera za ccm zinasifiwa na yeye ameanza kusema ni sera nzuri!!!

Akili kichwani, safari barabarani. Wajinga ndio waliwao...

mleta uzi sijawahi na wala sitarajii kabisa kuja kukuamini , mara zote umesukumwa na mahitaji binafsi ( wengine wanawaiteni buku 7 fc ) , nimeupuuza uzi wako .
 
Acha Uongo wako.Kama una ujasiri wa kudanganya kitu ambacho kila mtu alisikia ni mangapi ya siri umedanganya?

Alijibu sawasawa kuwa CHADEMA kina majority kwa kambi ya upinzani ndiyo kikaunda kambi hiyo.

Acha Uongo wako
Ndugu Ben acha kubishana na uyo mburura kwani sidhani kama lugha iliyotumika katika mahojiano anaifahamu vizuri.
 
Back
Top Bottom