Unakijua Chama Cha KADIMA?

Unakijua Chama Cha KADIMA?

mleta uzi sijawahi na wala sitarajii kabisa kuja kukuamini , mara zote umesukumwa na mahitaji binafsi ( wengine wanawaiteni buku 7 fc ) , nimeupuuza uzi wako .

Huna haja ya kuamini au kutokuamini, fungua mwenyewe audio ya interview hiyo umsikie Slaa alivyotia aibu...
 
wawakilishi wa ubalozi wakimbia kwenye mahojiano

Slaa tangu aingia Marekani anakaribia mwezi sasa, lakini hajakanyaga ofisi za Balozi ingawa alikuwa DC!!!

Hii ni dharau ya hali ya juu inayoonyesha kuwa Slaa sio mzalendo. Ndio maana ubalozi nao wamempotezea.

Slaa kagombana na JWTZ, Usalama wa Taifa, Polisi, BoT na sasa ameanzisha ugomvi mpya na Ubalozi wa Tanzania Marekani. Slaa ni mtu wa siasa za chuki...
 
Slaa alitakiwa kumrekebisha mtangazaji kuwa Chama Chake sio KADIMA ni Chadema ila tatizo la Slaa ni lack of confidence anadhani ni sahihi kwa mmarekani kukosea jina la chama chake!!!

Sawa, haya kachukue buku Saba zako Lumumba ili uingize siku.
 
Acha Uongo wako.Kama una ujasiri wa kudanganya kitu ambacho kila mtu alisikia ni mangapi ya siri umedanganya?

Alijibu sawasawa kuwa CHADEMA kina majority kwa kambi ya upinzani ndiyo kikaunda kambi hiyo.

Acha Uongo wako

Normal c.r.a.p from someone in period

Siku zote ukiwa na akili fupi utachukulia mambo kiufupiufupi, kama unasema CHADEMA haijaenea vijijini ebu jiulize kwa nini katika chaguzi ndogo mbalimbali zilizofanyika ambazo zilihusu Wenyeviti wa vitongoji, wenyeviti wa vijiji CHADEMA ilingara? je na chaguzi hizo waliopiga kura walitoka mijini?

Hapo kwenye RED jipange upya kwani unaleta vitu vya kusadikika sababu tu akili yako imekupeleka huko.

Kadima=chadema
Africaone=africa now
Alafu wamarekani wanachukia mtu akikosea jina???????mbna sielewi hapa!!mleta mada ebu jifkilie kabla ya kuleta mada hapa.

ulivyo kilaza kama mtangazaji mwenyewe alishindwa kutaja jina chadema iweje akasirike kwa dr.slaa kukosea jina la kipondi

Unahitaji exposure na lugha ya kiingereza ni tatizo kubwa kwako.

ili lijamaa lipo kama le mutuz ni lenyewe nini? HA HA HA HA1 HA1 NIMEPATA STORY AMEAJIRIWA KWA KAZI YA KUPAMBANA MTANDAONI NA VIJANA KADHAA MUDA SI MREFU NITALETA HABARI KUWAHUSU MAEASILIANO YAO NA MIPANGO YAO YA KUPAMBANA KWENYE MTANDAO NA CDM HASA KUMSHAMBULIA DR SLAA

Ukikutana na mmarekani anayeitwa Charles muite Chalesi halafu mwambie hiyo ndiyo accent ya kiswahili, utaona reaction yake.

Slaa katia aibu sana...
 
Acha Uongo wako.Kama una ujasiri wa kudanganya kitu ambacho kila mtu alisikia ni mangapi ya siri umedanganya?

Alijibu sawasawa kuwa CHADEMA kina majority kwa kambi ya upinzani ndiyo kikaunda kambi hiyo.

Acha Uongo wako

Normal c.r.a.p from someone in period

Siku zote ukiwa na akili fupi utachukulia mambo kiufupiufupi, kama unasema CHADEMA haijaenea vijijini ebu jiulize kwa nini katika chaguzi ndogo mbalimbali zilizofanyika ambazo zilihusu Wenyeviti wa vitongoji, wenyeviti wa vijiji CHADEMA ilingara? je na chaguzi hizo waliopiga kura walitoka mijini?

Hapo kwenye RED jipange upya kwani unaleta vitu vya kusadikika sababu tu akili yako imekupeleka huko.

Kadima=chadema
Africaone=africa now
Alafu wamarekani wanachukia mtu akikosea jina???????mbna sielewi hapa!!mleta mada ebu jifkilie kabla ya kuleta mada hapa.

ulivyo kilaza kama mtangazaji mwenyewe alishindwa kutaja jina chadema iweje akasirike kwa dr.slaa kukosea jina la kipondi

Unahitaji exposure na lugha ya kiingereza ni tatizo kubwa kwako.

Sawa, haya kachukue buku Saba zako Lumumba ili uingize siku.

Kama Chadema ni KADIMA, na wewe jina lako kwa kiingreza ni nani?

Mdekyuzai?
 
Kiingereza ni lugha kama ilivyo Kichaga cha Old Moshi, Kilimanjaro.

Turudi kwenye mada. Kwanini Dr. Slaa anadanganya kwenye vyombo vya habari?

Dr Slaa kadanganya!! Mimi nadhani mngetupa sentence inayoonyesha uongo wake au mngetupa link ya video ya mahojiano kama mliyotupa ya Naibu Waziri wa Elimu Dr Mheshimiwa Philip Mulugo

Na pia mnaikumbuka ile ya Fastjet, alipoulizwa sababu ya umaskini Tanzania akasema hajui?? Sio mnatuletea maneno ya kiswahili wakati majadiliano ni ya kiingereza

English for English

Swahili for swahili

Hizo hoja mnazo zisema hazipo

Joash
 
Dr Slaa kadanganya!! Mimi nadhani mngetupa sentence inayoonyesha uongo wake au mngetupa link ya video ya mahojiano kama mliyotupa ya Naibu Waziri wa Elimu Dr Mheshimiwa Philip Mulugo

Na pia mnaikumbuka ile ya Fastjet, alipoulizwa sababu ya umaskini Tanzania akasema hajui?? Sio mnatuletea maneno ya kiswahili wakati majadiliano ni ya kiingereza

English for English

Swahili for swahili

Hizo hoja mnazo zisema hazipo

Joash

Fuatilia mjadala huu. Uongo wa Slaa umefafanuliwa kinaga ubaga.

Btw uliona ile zawadi aliyopewa Slaa ambayo mtu pekee aliyewahi kupewa ni Rais wa Marekani?
 
Una dalili za mtu asiyejitambua.

Najitambua vizuri sana.
  • Wewe, honestly, linganisha utendaji wa Paul Kagame na utendaji wa Jakaya Kikwete.
  • Wewe, honestly, linganisha uzalendo wa Paul Kagame na uzalendo wa Jakaya Kikwete.
  • Wewe, honestly, linganisha mafanikio ya kiuchumi ya Rwanda, na mafanikio ya kiuchumi ya Tanzania.

Note:
  • Rwanda kwa sasa imeendelea kiuchumi na ki-huduma za jamii kuliko Tanzania.
  • Hapo Rwanda ndio kwanza imetoka kwenye vita, sisi tuko 'hoi' kiuchumi na ki-huduma za jamii miaka 52 baada ya uhuru, wakati nchi yetu ina utajiri mkubwa sana kuliko Rwanda, na ina amani saaana kuliko Rwanda...!!!!

Jiulizeni Kulikoni ??
What is wrong with Tanzania ??
Utajiri mwingi sana lakini maskini kuliko Rwanda na Burundi ..!!!


Copy:
Ritz, Lizaboni, duchi, na Mamndenyi.
 
Last edited by a moderator:
Najitambua vizuri sana.
  • Wewe, honestly, linganisha utendaji wa Paul Kagame na utendaji wa Jakaya Kikwete.
  • Wewe, honestly, linganisha uzalendo wa Paul Kagame na uzalendo wa Jakaya Kikwete.
  • Wewe, honestly, linganisha mafanikio ya kiuchumi ya Rwanda, na mafanikio ya kiuchumi ya Tanzania.

Note:
  • Rwanda kwa sasa imeendelea kiuchumi na ki-huduma za jamii kuliko Tanzania.
  • Hapo Rwanda ndio kwanza imetoka kwenye vita, sisi tuko 'hoi' kiuchumi na ki-huduma za jamii miaka 52 baada ya uhuru, wakati nchi yetu ina utajiri mkubwa sana kuliko Rwanda, na ina amani saaana kuliko Rwanda...!!!!

Jiulizeni Kulikoni ??
What is wrong with Tanzania ??
Utajiri mwingi sana lakini maskini kuliko Rwanda na Burundi ..!!!


Copy:
Ritz, Lizaboni, duchi, na Mamndenyi.

Huwezi kufananisha mtu anayeongoza Wilaya na mtu anayeongoza Nchi.

Rwanda ni sawa na Wilaya ya Kisarawe tu!
 
Leo Slaa alikuwa anahojiwa na redio na WPFW Radio ya Washingyon DC Marekani.

Katika mahojiano hayo Dr. Slaa ametia aibu mno, lakini kilichosikitisha zaidi ni kwamba mtangazaji wa kipindi hicho Mwiza Munthali alishindwa kabisa kutamka neno CHADEMA na kila mara alikiita chama cha Slaa KADIMA.

Kwa lugha nyepesi ni kwamba interview ya Slaa imeshindwa hata kuuza jina la chama!

Kuna mambo kadhaa ambayo Slaa ameaibisha kama ifuatavyo:

1. Mara kadhaa Slaa alishindwa kutamka jina la kipindi anachohojiwa. Jambo hilo lilimfanya mtangazaji kumkumbusha several times kuwa kipindi kinaitwa africaNow baada ya Slaa kukiita AfricaOne. Tone ya mtangazaji ilionyesha wazi kuwa amechukizwa na lack of memory ya Slaa. Kwa wamarekani, kukosea jina la mtu ni offence ndio maana huyu mtangazaji alijisikia offended slaa kukoseakosea jina la kipindi chake.

2. Slaa alishindwa kujibu Chadema itafanya nini tofauti na CCM. Slaa aliishia kusema kuwa CCM ina sera nzuri sana na kwamba wao watakachofanya ni kuhakikisha sera za CCM zinatekelezwa kwa ufasaha zaidi. Wasikilizaji wa Marekani wakisikia hadithi kama hizo wanaona mtu anayesema hivyo is just a job seeker. Wamerakani wanataka kusikia tofauti ya sera, sio siasa za kusema mimi ndio ninajua zaidi kutekeleza sera za mwenzangu!!! Hapa Slaa kaabisha big time.

3. Mtangazaji alidhihirisha kuwa hamuamini Slaa kwa porojo zake mpaka akamwambia hapo inabidi tupate upande wa serikali nao tuusikie unasemaje. Slaa alizidisha chumvi.

4. Mtangazaji amefanya home work yake. Anajua composition ya parliament. Slaa alimdanganya mtangazaji kuwa Chadema (Kadima) ndio chama chenye absolute majority nchini Tanzania. Mtangazaji akamwambia lakini Bungeni mko wachache na chama chenu hakijapenetrate vijijini. Slaa akadanganya tena kuwa eti Chadema (Kadima) ina wafuasi wengi vijijini kuliko mijini. This is not true.
Kadima haina absolute majority kwenye Bunge wala mitaani. Slaa alidhani mtangazaji wa Marekani hajui mambo ya Tanzania, kumbe mtangazaji kajiandaa.

5. Slaa alianza kuongea hadithi za Mwangosi. Mtangazaji akamdhihirishia kuwa anaijua hadithi ya Mwangosi kwa undani na akamtajia jina la Mwangosi kabla hata slaa hajalitaja. Mtangazaji alishajua kuwa Mwangosi ndio single anayotumia Slaa ughaibuni kutafuta sympathy. Hata hivyo mtangazaji alibadilisha topic na kumuuliza Slaa mambo mengine kabla hajamaliza kusimulia hadithi yake pendwa ya Mwangosi.

Kiujumla Slaa katika majadiliano ya leo ametia aibu na ameshindwa kuinadi KADIMA kabisa!!!

My take:
Tunapowaambia kuwa Chadema (KADIMA) ni chama kinachoendeshwa katika misingi ya Kilaghai ndio muelewe nini tunamaanisha. Slaa kashaanza kuwageuka, sasa hivi anasema CCM ina sera nzuri.

Nyinyi kama mlikuwa mnaitukana CCM mwishowe mtajikuta kawaacha njia panda.

Ameenda Marekani amekuta sera za CCM zinasifiwa na yeye ameanza kusema ni sera nzuri!!!

Akili Kichwani, safari barabarani. Wajinga ndio waliwao...
MIGAMBA mingine hata ipikwe kwenye tanuru la 1000000 centigrade hayaivi hebu soma ya hili ulinganishe na UKWELI. Hili ni gamba la kijitonyama!! linajambajamba kunusuru mijambazi menzie!! Eti linaponda Dr halielewi!! Kwa hiyo Vasco ange fanya vizuri kwa zey zey zey ahm au yule the "looker" wa mjengoni anayewalinda majambazi kwa jasho!!
 
MIGAMBA mingine hata ipikwe kwenye tanuru la 1000000 centigrade hayaivi hebu soma ya hili ulinganishe na UKWELI. Hili ni gamba la kijitonyama!! linajambajamba kunusuru mijambazi menzie!! Eti linaponda Dr halielewi!! Kwa hiyo Vasco ange fanya vizuri kwa zey zey zey ahm au yule the "looker" wa mjengoni anayewalinda majambazi kwa jasho!!

Hebu soma ulichoanbdika uone kama utakielewa. kama wewe mwenyewe hukielewi, unategemea wengine waelewe vipi?
 
Huwezi kufananisha mtu anayeongoza Wilaya na mtu anayeongoza Nchi.

Rwanda ni sawa na Wilaya ya Kisarawe tu!

Sawa kabisa.

Busara inasema mtu akiwa dhalimu kwenye jambo dogo, atakuwa dhalimu kwenye jambo kubwa pia.
Busara hiyo hiyo inasema kuwa mtu akiwa mwadilifu kwenye jambo dogo, atakuwa mwadilifu kwenye jambo kubwa pia.

Sasa Paul Kagame amekuwa mwadilifu kwenye nchi ndogo, unaonaje akipewa nchi kubwa ya Tanzania...???
Mwenyewe Paul Kagame alishawahi kusema kuwa akipewa bandari ya Dar es Salaam aiendeshe kwa miaka saba tu, ataugeuza mkoa wa Dar es Salaam kuwa kama Dubai (kimaendeleo) kwa kutumia mapato ya bandari tu.
Hapo hajagusa mapato ya dhahabu, gesi, mafuta, kilimo, tanzanite, utalii, n.k.

Waambie viongozi wako wafuate mfano wa uzalendo wa huyu jamaa hapa kwenye picha.....

Copies to:
FaizaFoxy, Lizaboni, Ritz na Mamndenyi.

Paul-Kagame-then-Rwanda-VP-RFP-saluting-1994-by-Alexander-Joe-AFP-Getty.jpg
 
Last edited by a moderator:
Mu-Israeli unataka tz ikabidhiwe kwa paul kagame
au unataka nini hasa;

Hayo maendeleo unayosema ni yapi kwani;
Na unataka nani akuletee usiposugua kichwa chako
ukisaidiana na wanaokuzunguka ili mjiletee hayo
maendeleo unayotaka.
 
Last edited by a moderator:
Leo Slaa alikuwa anahojiwa na redio na WPFW Radio ya Washingyon DC Marekani.

Katika mahojiano hayo Dr. Slaa ametia aibu mno, lakini kilichosikitisha zaidi ni kwamba mtangazaji wa kipindi hicho Mwiza Munthali alishindwa kabisa kutamka neno CHADEMA na kila mara alikiita chama cha Slaa KADIMA.

Kwa lugha nyepesi ni kwamba interview ya Slaa imeshindwa hata kuuza jina la chama!

Kuna mambo kadhaa ambayo Slaa ameaibisha kama ifuatavyo:

1. Mara kadhaa Slaa alishindwa kutamka jina la kipindi anachohojiwa. Jambo hilo lilimfanya mtangazaji kumkumbusha several times kuwa kipindi kinaitwa africaNow baada ya Slaa kukiita AfricaOne. Tone ya mtangazaji ilionyesha wazi kuwa amechukizwa na lack of memory ya Slaa. Kwa wamarekani, kukosea jina la mtu ni offence ndio maana huyu mtangazaji alijisikia offended slaa kukoseakosea jina la kipindi chake.

2. Slaa alishindwa kujibu Chadema itafanya nini tofauti na CCM. Slaa aliishia kusema kuwa CCM ina sera nzuri sana na kwamba wao watakachofanya ni kuhakikisha sera za CCM zinatekelezwa kwa ufasaha zaidi. Wasikilizaji wa Marekani wakisikia hadithi kama hizo wanaona mtu anayesema hivyo is just a job seeker. Wamerakani wanataka kusikia tofauti ya sera, sio siasa za kusema mimi ndio ninajua zaidi kutekeleza sera za mwenzangu!!! Hapa Slaa kaabisha big time.

3. Mtangazaji alidhihirisha kuwa hamuamini Slaa kwa porojo zake mpaka akamwambia hapo inabidi tupate upande wa serikali nao tuusikie unasemaje. Slaa alizidisha chumvi.

4. Mtangazaji amefanya home work yake. Anajua composition ya parliament. Slaa alimdanganya mtangazaji kuwa Chadema (Kadima) ndio chama chenye absolute majority nchini Tanzania. Mtangazaji akamwambia lakini Bungeni mko wachache na chama chenu hakijapenetrate vijijini. Slaa akadanganya tena kuwa eti Chadema (Kadima) ina wafuasi wengi vijijini kuliko mijini. This is not true.
Kadima haina absolute majority kwenye Bunge wala mitaani. Slaa alidhani mtangazaji wa Marekani hajui mambo ya Tanzania, kumbe mtangazaji kajiandaa.

5. Slaa alianza kuongea hadithi za Mwangosi. Mtangazaji akamdhihirishia kuwa anaijua hadithi ya Mwangosi kwa undani na akamtajia jina la Mwangosi kabla hata slaa hajalitaja. Mtangazaji alishajua kuwa Mwangosi ndio single anayotumia Slaa ughaibuni kutafuta sympathy. Hata hivyo mtangazaji alibadilisha topic na kumuuliza Slaa mambo mengine kabla hajamaliza kusimulia hadithi yake pendwa ya Mwangosi.

Kiujumla Slaa katika majadiliano ya leo ametia aibu na ameshindwa kuinadi KADIMA kabisa!!!

My take:
Tunapowaambia kuwa Chadema (KADIMA) ni chama kinachoendeshwa katika misingi ya Kilaghai ndio muelewe nini tunamaanisha. Slaa kashaanza kuwageuka, sasa hivi anasema CCM ina sera nzuri.

Nyinyi kama mlikuwa mnaitukana CCM mwishowe mtajikuta kawaacha njia panda.

Ameenda Marekani amekuta sera za CCM zinasifiwa na yeye ameanza kusema ni sera nzuri!!!

Akili Kichwani, safari barabarani. Wajinga ndio waliwao...
Rubbish
 
Mu-Israeli unataka tz ikabidhiwe kwa paul kagame
au unataka nini hasa;

Hayo maendeleo unayosema ni yapi kwani;
Na unataka nani akuletee usiposugua kichwa chako
ukisaidiana na wanaokuzunguka ili mjiletee hayo
maendeleo unayotaka.

Kweli we mamdenyi kwelikweli maendeleo huletwa na serikali madhubuti na yenye sera safi zenye kutekelezeka hivyo unataka kutuambia wananchi tutafute wakandarasi na tuwalipe waanze kutengeneza barabara? Je kodi tunakusanya sisi wananchi? Migodi ya madini tunamiliki sie? Kama vipi nenda kupika tu hutapungukiwa kitu.Kuliko kuja na michango isiyo na maana
 
Nina Mashaka sana NHS akili ya mtoa hoja. Nahisi akili yake haiko sawa Huyo Slaa anayemsema no huyu au mwingine. Acha mambo engine Elimu take (
 
Back
Top Bottom