ZeMarcopolo
Platinum Member
- May 11, 2008
- 14,279
- 7,685
- Thread starter
-
- #281
mleta uzi sijawahi na wala sitarajii kabisa kuja kukuamini , mara zote umesukumwa na mahitaji binafsi ( wengine wanawaiteni buku 7 fc ) , nimeupuuza uzi wako .
wawakilishi wa ubalozi wakimbia kwenye mahojiano
Slaa alitakiwa kumrekebisha mtangazaji kuwa Chama Chake sio KADIMA ni Chadema ila tatizo la Slaa ni lack of confidence anadhani ni sahihi kwa mmarekani kukosea jina la chama chake!!!
Acha Uongo wako.Kama una ujasiri wa kudanganya kitu ambacho kila mtu alisikia ni mangapi ya siri umedanganya?
Alijibu sawasawa kuwa CHADEMA kina majority kwa kambi ya upinzani ndiyo kikaunda kambi hiyo.
Acha Uongo wako
Normal c.r.a.p from someone in period
Siku zote ukiwa na akili fupi utachukulia mambo kiufupiufupi, kama unasema CHADEMA haijaenea vijijini ebu jiulize kwa nini katika chaguzi ndogo mbalimbali zilizofanyika ambazo zilihusu Wenyeviti wa vitongoji, wenyeviti wa vijiji CHADEMA ilingara? je na chaguzi hizo waliopiga kura walitoka mijini?
Hapo kwenye RED jipange upya kwani unaleta vitu vya kusadikika sababu tu akili yako imekupeleka huko.
Kadima=chadema
Africaone=africa now
Alafu wamarekani wanachukia mtu akikosea jina???????mbna sielewi hapa!!mleta mada ebu jifkilie kabla ya kuleta mada hapa.
ulivyo kilaza kama mtangazaji mwenyewe alishindwa kutaja jina chadema iweje akasirike kwa dr.slaa kukosea jina la kipondi
Unahitaji exposure na lugha ya kiingereza ni tatizo kubwa kwako.
ili lijamaa lipo kama le mutuz ni lenyewe nini? HA HA HA HA1 HA1 NIMEPATA STORY AMEAJIRIWA KWA KAZI YA KUPAMBANA MTANDAONI NA VIJANA KADHAA MUDA SI MREFU NITALETA HABARI KUWAHUSU MAEASILIANO YAO NA MIPANGO YAO YA KUPAMBANA KWENYE MTANDAO NA CDM HASA KUMSHAMBULIA DR SLAA
Acha Uongo wako.Kama una ujasiri wa kudanganya kitu ambacho kila mtu alisikia ni mangapi ya siri umedanganya?
Alijibu sawasawa kuwa CHADEMA kina majority kwa kambi ya upinzani ndiyo kikaunda kambi hiyo.
Acha Uongo wako
Normal c.r.a.p from someone in period
Siku zote ukiwa na akili fupi utachukulia mambo kiufupiufupi, kama unasema CHADEMA haijaenea vijijini ebu jiulize kwa nini katika chaguzi ndogo mbalimbali zilizofanyika ambazo zilihusu Wenyeviti wa vitongoji, wenyeviti wa vijiji CHADEMA ilingara? je na chaguzi hizo waliopiga kura walitoka mijini?
Hapo kwenye RED jipange upya kwani unaleta vitu vya kusadikika sababu tu akili yako imekupeleka huko.
Kadima=chadema
Africaone=africa now
Alafu wamarekani wanachukia mtu akikosea jina???????mbna sielewi hapa!!mleta mada ebu jifkilie kabla ya kuleta mada hapa.
ulivyo kilaza kama mtangazaji mwenyewe alishindwa kutaja jina chadema iweje akasirike kwa dr.slaa kukosea jina la kipondi
Unahitaji exposure na lugha ya kiingereza ni tatizo kubwa kwako.
Sawa, haya kachukue buku Saba zako Lumumba ili uingize siku.
Bora hiyo zawadi aliyopewa dr.Kuliko ile ya kondomu na net
Kiingereza ni lugha kama ilivyo Kichaga cha Old Moshi, Kilimanjaro.
Turudi kwenye mada. Kwanini Dr. Slaa anadanganya kwenye vyombo vya habari?
Dr Slaa kadanganya!! Mimi nadhani mngetupa sentence inayoonyesha uongo wake au mngetupa link ya video ya mahojiano kama mliyotupa ya Naibu Waziri wa Elimu Dr Mheshimiwa Philip Mulugo
Na pia mnaikumbuka ile ya Fastjet, alipoulizwa sababu ya umaskini Tanzania akasema hajui?? Sio mnatuletea maneno ya kiswahili wakati majadiliano ni ya kiingereza
English for English
Swahili for swahili
Hizo hoja mnazo zisema hazipo
Joash
Una dalili za mtu asiyejitambua.
Najitambua vizuri sana.
- Wewe, honestly, linganisha utendaji wa Paul Kagame na utendaji wa Jakaya Kikwete.
- Wewe, honestly, linganisha uzalendo wa Paul Kagame na uzalendo wa Jakaya Kikwete.
- Wewe, honestly, linganisha mafanikio ya kiuchumi ya Rwanda, na mafanikio ya kiuchumi ya Tanzania.
Note:
- Rwanda kwa sasa imeendelea kiuchumi na ki-huduma za jamii kuliko Tanzania.
- Hapo Rwanda ndio kwanza imetoka kwenye vita, sisi tuko 'hoi' kiuchumi na ki-huduma za jamii miaka 52 baada ya uhuru, wakati nchi yetu ina utajiri mkubwa sana kuliko Rwanda, na ina amani saaana kuliko Rwanda...!!!!
Jiulizeni Kulikoni ??
What is wrong with Tanzania ??
Utajiri mwingi sana lakini maskini kuliko Rwanda na Burundi ..!!!
Copy:
Ritz, Lizaboni, duchi, na Mamndenyi.
MIGAMBA mingine hata ipikwe kwenye tanuru la 1000000 centigrade hayaivi hebu soma ya hili ulinganishe na UKWELI. Hili ni gamba la kijitonyama!! linajambajamba kunusuru mijambazi menzie!! Eti linaponda Dr halielewi!! Kwa hiyo Vasco ange fanya vizuri kwa zey zey zey ahm au yule the "looker" wa mjengoni anayewalinda majambazi kwa jasho!!Leo Slaa alikuwa anahojiwa na redio na WPFW Radio ya Washingyon DC Marekani.
Katika mahojiano hayo Dr. Slaa ametia aibu mno, lakini kilichosikitisha zaidi ni kwamba mtangazaji wa kipindi hicho Mwiza Munthali alishindwa kabisa kutamka neno CHADEMA na kila mara alikiita chama cha Slaa KADIMA.
Kwa lugha nyepesi ni kwamba interview ya Slaa imeshindwa hata kuuza jina la chama!
Kuna mambo kadhaa ambayo Slaa ameaibisha kama ifuatavyo:
1. Mara kadhaa Slaa alishindwa kutamka jina la kipindi anachohojiwa. Jambo hilo lilimfanya mtangazaji kumkumbusha several times kuwa kipindi kinaitwa africaNow baada ya Slaa kukiita AfricaOne. Tone ya mtangazaji ilionyesha wazi kuwa amechukizwa na lack of memory ya Slaa. Kwa wamarekani, kukosea jina la mtu ni offence ndio maana huyu mtangazaji alijisikia offended slaa kukoseakosea jina la kipindi chake.
2. Slaa alishindwa kujibu Chadema itafanya nini tofauti na CCM. Slaa aliishia kusema kuwa CCM ina sera nzuri sana na kwamba wao watakachofanya ni kuhakikisha sera za CCM zinatekelezwa kwa ufasaha zaidi. Wasikilizaji wa Marekani wakisikia hadithi kama hizo wanaona mtu anayesema hivyo is just a job seeker. Wamerakani wanataka kusikia tofauti ya sera, sio siasa za kusema mimi ndio ninajua zaidi kutekeleza sera za mwenzangu!!! Hapa Slaa kaabisha big time.
3. Mtangazaji alidhihirisha kuwa hamuamini Slaa kwa porojo zake mpaka akamwambia hapo inabidi tupate upande wa serikali nao tuusikie unasemaje. Slaa alizidisha chumvi.
4. Mtangazaji amefanya home work yake. Anajua composition ya parliament. Slaa alimdanganya mtangazaji kuwa Chadema (Kadima) ndio chama chenye absolute majority nchini Tanzania. Mtangazaji akamwambia lakini Bungeni mko wachache na chama chenu hakijapenetrate vijijini. Slaa akadanganya tena kuwa eti Chadema (Kadima) ina wafuasi wengi vijijini kuliko mijini. This is not true.
Kadima haina absolute majority kwenye Bunge wala mitaani. Slaa alidhani mtangazaji wa Marekani hajui mambo ya Tanzania, kumbe mtangazaji kajiandaa.
5. Slaa alianza kuongea hadithi za Mwangosi. Mtangazaji akamdhihirishia kuwa anaijua hadithi ya Mwangosi kwa undani na akamtajia jina la Mwangosi kabla hata slaa hajalitaja. Mtangazaji alishajua kuwa Mwangosi ndio single anayotumia Slaa ughaibuni kutafuta sympathy. Hata hivyo mtangazaji alibadilisha topic na kumuuliza Slaa mambo mengine kabla hajamaliza kusimulia hadithi yake pendwa ya Mwangosi.
Kiujumla Slaa katika majadiliano ya leo ametia aibu na ameshindwa kuinadi KADIMA kabisa!!!
My take:
Tunapowaambia kuwa Chadema (KADIMA) ni chama kinachoendeshwa katika misingi ya Kilaghai ndio muelewe nini tunamaanisha. Slaa kashaanza kuwageuka, sasa hivi anasema CCM ina sera nzuri.
Nyinyi kama mlikuwa mnaitukana CCM mwishowe mtajikuta kawaacha njia panda.
Ameenda Marekani amekuta sera za CCM zinasifiwa na yeye ameanza kusema ni sera nzuri!!!
Akili Kichwani, safari barabarani. Wajinga ndio waliwao...
MIGAMBA mingine hata ipikwe kwenye tanuru la 1000000 centigrade hayaivi hebu soma ya hili ulinganishe na UKWELI. Hili ni gamba la kijitonyama!! linajambajamba kunusuru mijambazi menzie!! Eti linaponda Dr halielewi!! Kwa hiyo Vasco ange fanya vizuri kwa zey zey zey ahm au yule the "looker" wa mjengoni anayewalinda majambazi kwa jasho!!
Huwezi kufananisha mtu anayeongoza Wilaya na mtu anayeongoza Nchi.
Rwanda ni sawa na Wilaya ya Kisarawe tu!
RubbishLeo Slaa alikuwa anahojiwa na redio na WPFW Radio ya Washingyon DC Marekani.
Katika mahojiano hayo Dr. Slaa ametia aibu mno, lakini kilichosikitisha zaidi ni kwamba mtangazaji wa kipindi hicho Mwiza Munthali alishindwa kabisa kutamka neno CHADEMA na kila mara alikiita chama cha Slaa KADIMA.
Kwa lugha nyepesi ni kwamba interview ya Slaa imeshindwa hata kuuza jina la chama!
Kuna mambo kadhaa ambayo Slaa ameaibisha kama ifuatavyo:
1. Mara kadhaa Slaa alishindwa kutamka jina la kipindi anachohojiwa. Jambo hilo lilimfanya mtangazaji kumkumbusha several times kuwa kipindi kinaitwa africaNow baada ya Slaa kukiita AfricaOne. Tone ya mtangazaji ilionyesha wazi kuwa amechukizwa na lack of memory ya Slaa. Kwa wamarekani, kukosea jina la mtu ni offence ndio maana huyu mtangazaji alijisikia offended slaa kukoseakosea jina la kipindi chake.
2. Slaa alishindwa kujibu Chadema itafanya nini tofauti na CCM. Slaa aliishia kusema kuwa CCM ina sera nzuri sana na kwamba wao watakachofanya ni kuhakikisha sera za CCM zinatekelezwa kwa ufasaha zaidi. Wasikilizaji wa Marekani wakisikia hadithi kama hizo wanaona mtu anayesema hivyo is just a job seeker. Wamerakani wanataka kusikia tofauti ya sera, sio siasa za kusema mimi ndio ninajua zaidi kutekeleza sera za mwenzangu!!! Hapa Slaa kaabisha big time.
3. Mtangazaji alidhihirisha kuwa hamuamini Slaa kwa porojo zake mpaka akamwambia hapo inabidi tupate upande wa serikali nao tuusikie unasemaje. Slaa alizidisha chumvi.
4. Mtangazaji amefanya home work yake. Anajua composition ya parliament. Slaa alimdanganya mtangazaji kuwa Chadema (Kadima) ndio chama chenye absolute majority nchini Tanzania. Mtangazaji akamwambia lakini Bungeni mko wachache na chama chenu hakijapenetrate vijijini. Slaa akadanganya tena kuwa eti Chadema (Kadima) ina wafuasi wengi vijijini kuliko mijini. This is not true.
Kadima haina absolute majority kwenye Bunge wala mitaani. Slaa alidhani mtangazaji wa Marekani hajui mambo ya Tanzania, kumbe mtangazaji kajiandaa.
5. Slaa alianza kuongea hadithi za Mwangosi. Mtangazaji akamdhihirishia kuwa anaijua hadithi ya Mwangosi kwa undani na akamtajia jina la Mwangosi kabla hata slaa hajalitaja. Mtangazaji alishajua kuwa Mwangosi ndio single anayotumia Slaa ughaibuni kutafuta sympathy. Hata hivyo mtangazaji alibadilisha topic na kumuuliza Slaa mambo mengine kabla hajamaliza kusimulia hadithi yake pendwa ya Mwangosi.
Kiujumla Slaa katika majadiliano ya leo ametia aibu na ameshindwa kuinadi KADIMA kabisa!!!
My take:
Tunapowaambia kuwa Chadema (KADIMA) ni chama kinachoendeshwa katika misingi ya Kilaghai ndio muelewe nini tunamaanisha. Slaa kashaanza kuwageuka, sasa hivi anasema CCM ina sera nzuri.
Nyinyi kama mlikuwa mnaitukana CCM mwishowe mtajikuta kawaacha njia panda.
Ameenda Marekani amekuta sera za CCM zinasifiwa na yeye ameanza kusema ni sera nzuri!!!
Akili Kichwani, safari barabarani. Wajinga ndio waliwao...
Mu-Israeli unataka tz ikabidhiwe kwa paul kagame
au unataka nini hasa;
Hayo maendeleo unayosema ni yapi kwani;
Na unataka nani akuletee usiposugua kichwa chako
ukisaidiana na wanaokuzunguka ili mjiletee hayo
maendeleo unayotaka.