Kwani anashindwa kutengeneza pesa zaidi na akanunua hizo dola kwa pesa zetu wenyewe alafu akatukopesha!? Think out of the box na utaelewa!!Mkuu tunakopeshwa doller hatukukopeshwi shilingi.
Kwani anashindwa kutengeneza pesa zaidi na akanunua hizo dola kwa pesa zetu wenyewe alafu akatukopesha!? Think out of the box na utaelewa!!Mkuu tunakopeshwa doller hatukukopeshwi shilingi.
yaani hii makala utajua ni ya kichaa tuView attachment 3319531
Najua watu wengi walikua wanajiuliza sana Pesa ya Tanzania inatengenezwa wapi ? Ni maswali ambayo mimi na wewe tulia tunajiuliza sana? Je Tanzania Ina kiwanda cha kutengeneza pesa zake ??
View attachment 3319532
Maswali yote Leo utaweza kupata majibu yake kwa ufupi TU kupitia makala hii 😋, kwanza inapaswa kujua Pesa huwa azitengenezwi nchi moja TU hutengenezwa kupitia nchi mbalimbali hapa Duniani.
View attachment 3319533
Pesa zinatengenezwa kwenye nchi zilizoendelea kama vile Marekani, Ujerumani, Ufaransa, Uswizi, Saudi Arabia, Sweden na Uingereza. Ila kwa upande wa Afrika nchi zinazotengeneza pesa ziko Saba pekee
• misri
• Morocco
• Nigeria
• Ghana
• South Africa
• Ethiopia na Zimbabwe ilikuwepo lakini baadae ilizuiliwa kutokana na sheria maalum za kimataifa zinazo husika na taratibu za kumiliki kiwanda cha kutengeneza pesa.
View attachment 3319534
Nchini Kenya kuna kiwanda cha kutengeneza pesa lakini sio Cha Kenya ni Cha nchi toka Uingereza kwaiyo Kenya kipo kama Tawi kwa upande wa Afrika mashariki.
View attachment 3319535
Je pesa ya Tanzania inatengenezwa wapi sasa ?? Pesa ya Tanzania kamwe haitengenezwi nchini Tanzania mwanzoni baada ya uhuru ilikua inatengenezwa Nchini Uingereza kuanzia sarafu na Noti ambapo serikali ya Tanzania ilikua inaipa Tenda nchi ya Uingereza.
View attachment 3319536
Kwa sasa pesa za Tanzania haitengenezwi Tena Uingereza isipokuwa Ujerumani ndio inatengeneza pesa Za TANZANIA aina ya Noti ambazo ni;
⚡ ELFU KUMI
⚡ ELFU TANO
Wakati nchi ya Sweden inatengeneza Pesa za nchi ya Tanzania ambapo kuanzia NOTI na SARAFU;
⚡ ELFU MBILI
⚡ELFU MOJA
⚡SARAFU
Ulikua unajua hii au lah tuachie maoni yako??
Ni kama pumzi kwao kodokoaMbongo asipodokoa anakosa raha kabisa.
Hizo zinakua kama hela feki tu, maana BOT hela zote zilizoingia mtaani serial number zake wanazo. zikifichwa zitakua hazipo kwenye database yao so are not valid.Je km kiwanda kimeambiwa watengeneze Tri 3, afu wao wakatengeneza tri 5, 2 wakaficha sehemu, watoa tenda watajuaje? Lol
😂😂😂😂😂
Nami ni tag nichote maarifa.Nimekutag
Pesa yoyote lazima iwe registered Ndio Maana kuna namba kwenye notiKivipi em fafanua.
Na hao wenye viwanda vya kutengeneza pesa, wanalipwa nn? Je hawawezi kutengeneza pesa zaidi ya tenda ilivyo? Itakuajee?
Pesa ni namba au ni zile namba za pembeniNiko kusubiri majibu hapa.
Nilikuwa sijui hili, Leo nimepata kujuaView attachment 3319531
Najua watu wengi walikua wanajiuliza sana Pesa ya Tanzania inatengenezwa wapi ? Ni maswali ambayo mimi na wewe tulia tunajiuliza sana? Je Tanzania Ina kiwanda cha kutengeneza pesa zake ??
View attachment 3319532
Maswali yote Leo utaweza kupata majibu yake kwa ufupi TU kupitia makala hii 😋, kwanza inapaswa kujua Pesa huwa azitengenezwi nchi moja TU hutengenezwa kupitia nchi mbalimbali hapa Duniani.
View attachment 3319533
Pesa zinatengenezwa kwenye nchi zilizoendelea kama vile Marekani, Ujerumani, Ufaransa, Uswizi, Saudi Arabia, Sweden na Uingereza. Ila kwa upande wa Afrika nchi zinazotengeneza pesa ziko Saba pekee
• misri
• Morocco
• Nigeria
• Ghana
• South Africa
• Ethiopia na Zimbabwe ilikuwepo lakini baadae ilizuiliwa kutokana na sheria maalum za kimataifa zinazo husika na taratibu za kumiliki kiwanda cha kutengeneza pesa.
View attachment 3319534
Nchini Kenya kuna kiwanda cha kutengeneza pesa lakini sio Cha Kenya ni Cha nchi toka Uingereza kwaiyo Kenya kipo kama Tawi kwa upande wa Afrika mashariki.
View attachment 3319535
Je pesa ya Tanzania inatengenezwa wapi sasa ?? Pesa ya Tanzania kamwe haitengenezwi nchini Tanzania mwanzoni baada ya uhuru ilikua inatengenezwa Nchini Uingereza kuanzia sarafu na Noti ambapo serikali ya Tanzania ilikua inaipa Tenda nchi ya Uingereza.
View attachment 3319536
Kwa sasa pesa za Tanzania haitengenezwi Tena Uingereza isipokuwa Ujerumani ndio inatengeneza pesa Za TANZANIA aina ya Noti ambazo ni;
⚡ ELFU KUMI
⚡ ELFU TANO
Wakati nchi ya Sweden inatengeneza Pesa za nchi ya Tanzania ambapo kuanzia NOTI na SARAFU;
⚡ ELFU MBILI
⚡ELFU MOJA
⚡SARAFU
Ulikua unajua hii au lah tuachie maoni yako??
Hata hujaeleweka bado.Pesa ni namba au ni zile namba za pembeni
Mfano....unaweza kujiongezea sifuri kwenye mpesa yako ukiwa kama mfanyakazi kitengo nyeti cha fedha,...?
Basi ukiweza hilo utakuwa kuna sehemu umepunguza sifuri .
Kwa kweli, 😂😂😂😂Yaani hapa duniani ni mvurugano tu!
Nani ana register hizo pesa?Pesa yoyote lazima iwe registered Ndio Maana kuna namba kwenye noti
Je ikifika tenda, wakatengeneza nyingi, zingine wakaweka sehemu, kusubiri tenda ingine, inakuaje hapo?Hizo zinakua kama hela feki tu, maana BOT hela zote zilizoingia mtaani serial number zake wanazo. zikifichwa zitakua hazipo kwenye database yao so are not valid.
Zinakua hazina namba zinavyotoka kiwandani kwahio nchi husika ndio inapiga namba za utambuziWanalipwa pesa,
hawawezi, sheria inawabana.
Ninavyojua pesa mpaka ikamilike kwa mwatumizi na kuwa na thamani halisi ni lazima pia ipite bank kuu kufanyiwa "manyuvaa" flan flanSheria ipi? Na inawabana vipi? Na hizo wanazolipwa zinatoka wapi? Ikiwa wao ndo wanatengeneza?
Fafanua zaidi.
Oooh kumbe bas sawaNinavyojua pesa mpaka ikamilike kwa mwatumizi na kuwa na thamani halisi ni lazima pia ipite bank kuu kufanyiwa "manyuvaa" flan flan
Kuna safeguards za hali ya juu kuzuia mambo kama hayo ndio maana sio kila nchi ina uwezo wa kuchapisha pesaJe km kiwanda kimeambiwa watengeneze Tri 3, afu wao wakatengeneza tri 5, 2 wakaficha sehemu, watoa tenda watajuaje? Lol
😂😂😂😂😂
Fafanua hizo safeguards tujue.Kuna safeguards za hali ya juu kuzuia mambo kama hayo ndio maana sio kila nchi ina uwezo wa kuchapisha pesa