Unajua pesa ya Tanzania inatengenezwa wapi?

Unajua pesa ya Tanzania inatengenezwa wapi?

Bado napata mushkeli kuelewa hili, nafikiri umezungumzia kiasi kikubwa cha pesa, ila unakubaliana na mie inawezekana kiwanda kutengeneza pesa nyingi kuliko tenda, na pesa hizo zikatumika ktk mzunguko wa mauzo km kawaida? Achilia hilo la utakatishaji?
iko hivi,mfano tanzania inaweka tenda kwa nchi ya uswisi itengeneze kiasi cha 1trioni. Uswisi inatengeneza hicho kiasi lakini katika pesa hizo huwa hawaweki saini ya waziri wa fedha na gavana, pesa hizo zisizo na saini husafirishwa mpaka nchi husika,nchi husika huweka saini za viongozi hao,na ikitokea kampuni ya utengenezaji fedha imechapisha/imetengeneza pesa nyingi kuliko oda ya nchi husika pesa hizo haziwezi kutumika popote kwani saini hazipo,badala yake pesa hizo zinakuwa hazina utofauti na pesa bandia. Kwa hiyo,makampuni hayo ya ulaya huwa hayatengenezi pesa kamili.
 
Bado napata mushkeli kuelewa hili, nafikiri umezungumzia kiasi kikubwa cha pesa, ila unakubaliana na mie inawezekana kiwanda kutengeneza pesa nyingi kuliko tenda, na pesa hizo zikatumika ktk mzunguko wa mauzo km kawaida? Achilia hilo la utakatishaji?
Ndiyo inawezakana na ni pesa halali, kinachofanyika hapo ni kuaminiana tu. Ila unaweza kuta kuna syndicate inafanya hiyo michezo. So mtaani kuna kuwaga na aina nyingi za hela, genuine and known by BOT, genuine but not known by BOT(case yako), and counterfeits.
 
Hata sijakuelewa
Kumuelewa itakuwa mngumu. Ndugu yeye anachoshindwa kujua NI kwamba thamani ya Tsh. Si sawa na thamani ya dollar,euro au fedha ambazo printing companies wanataka Kama malipo Yao ya tenda.😁
 
Kumuelewa itakuwa mngumu. Ndugu yeye anachoshindwa kujua NI kwamba thamani ya Tsh. Si sawa na thamani ya dollar,euro au fedha ambazo printing companies wanataka Kama malipo Yao ya tenda.😁
Hapo sasa, 😂😂😂😂
 
Ha
Ndiyo inawezakana na ni pesa halali, kinachofanyika hapo ni kuaminiana tu. Ila unaweza kuta kuna syndicate inafanya hiyo michezo. So mtaani kuna kuwaga na aina nyingi za hela, genuine and known by BOT, genuine but not known by BOT(case yako), and counterfeits.
Sawa, nimefurahi umekubaliana na hoja yangu.
🙏🙏
 
Hizo saini za waziri na gavana, anaweka nani?
iko hivi,mfano tanzania inaweka tenda kwa nchi ya uswisi itengeneze kiasi cha 1trioni. Uswisi inatengeneza hicho kiasi lakini katika pesa hizo huwa hawaweki saini ya waziri wa fedha na gavana, pesa hizo zisizo na saini husafirishwa mpaka nchi husika,nchi husika huweka saini za viongozi hao,na ikitokea kampuni ya utengenezaji fedha imechapisha/imetengeneza pesa nyingi kuliko oda ya nchi husika pesa hizo haziwezi kutumika popote kwani saini hazipo,badala yake pesa hizo zinakuwa hazina utofauti na pesa bandia. Kwa hiyo,makampuni hayo ya ulaya huwa hayatengenezi pesa kamili.
 
Huko yawezekana zinatoka kwa codes...means kama ukishapewa huwe, kuja kuzalisha nyingine zikawq kweny mzunguko due tayar zitakuwa fake...ni kwa mtizamo wangu tu..ila wanauchumi waitwe hapa ..hili linawahusu sanaa
 
Je km kiwanda kimeambiwa watengeneze Tri 3, afu wao wakatengeneza tri 5, 2 wakaficha sehemu, watoa tenda watajuaje? Lol
😂😂😂😂😂
Tumeamua kuwaamini tu kuwa hawawezi fanya hivyo.
 
View attachment 3319531

Najua watu wengi walikua wanajiuliza sana Pesa ya Tanzania inatengenezwa wapi ? Ni maswali ambayo mimi na wewe tulia tunajiuliza sana? Je Tanzania Ina kiwanda cha kutengeneza pesa zake ??

View attachment 3319532

Maswali yote Leo utaweza kupata majibu yake kwa ufupi TU kupitia makala hii 😋, kwanza inapaswa kujua Pesa huwa azitengenezwi nchi moja TU hutengenezwa kupitia nchi mbalimbali hapa Duniani.

View attachment 3319533

Pesa zinatengenezwa kwenye nchi zilizoendelea kama vile Marekani, Ujerumani, Ufaransa, Uswizi, Saudi Arabia, Sweden na Uingereza. Ila kwa upande wa Afrika nchi zinazotengeneza pesa ziko Saba pekee
• misri
• Morocco
• Nigeria
• Ghana
• South Africa
• Ethiopia na Zimbabwe ilikuwepo lakini baadae ilizuiliwa kutokana na sheria maalum za kimataifa zinazo husika na taratibu za kumiliki kiwanda cha kutengeneza pesa.

View attachment 3319534

Nchini Kenya kuna kiwanda cha kutengeneza pesa lakini sio Cha Kenya ni Cha nchi toka Uingereza kwaiyo Kenya kipo kama Tawi kwa upande wa Afrika mashariki.

View attachment 3319535

Je pesa ya Tanzania inatengenezwa wapi sasa ?? Pesa ya Tanzania kamwe haitengenezwi nchini Tanzania mwanzoni baada ya uhuru ilikua inatengenezwa Nchini Uingereza kuanzia sarafu na Noti ambapo serikali ya Tanzania ilikua inaipa Tenda nchi ya Uingereza.

View attachment 3319536

Kwa sasa pesa za Tanzania haitengenezwi Tena Uingereza isipokuwa Ujerumani ndio inatengeneza pesa Za TANZANIA aina ya Noti ambazo ni;
⚡ ELFU KUMI
⚡ ELFU TANO

Wakati nchi ya Sweden inatengeneza Pesa za nchi ya Tanzania ambapo kuanzia NOTI na SARAFU;
⚡ ELFU MBILI

⚡ELFU MOJA
⚡SARAFU

Ulikua unajua hii au lah tuachie maoni yako??
Vipi kuhusu vocha za mitandao ya simu
 
Back
Top Bottom