Unajua pesa ya Tanzania inatengenezwa wapi?

Unajua pesa ya Tanzania inatengenezwa wapi?

Je km kiwanda kimeambiwa watengeneze Tri 3, afu wao wakatengeneza tri 5, 2 wakaficha sehemu, watoa tenda watajuaje? Lol
😂😂😂😂😂
Mm maana yangu kwa Sisi nchi zinazoendelea tukitaka trillion 5 watatengeneza labdah 5 na usheee(Io ya emergency)

Nimelenga wao wakitengeneza wanaweza Sema wanatengeneza 7 ila wanatengeneza 9(nyingine wanaficha ) Ndio maana hawatetereki
 
tunakoelekea tutatengeneza wenyewe tena buku itakuwa tunaibebea kwenye rambo
 
Namkumbuka yule mwamba aliyepokea mzigo wa noti sijui airport sijui wapi akalala nao mbele. Mpeni maua yake 🎋
 
Kuna uzi humu JF ilishajadiliwa hii mada kuna jamaa alikuwa anashusha madini maswali yote yaliyoulizwa humu na cocastic aliyajibu kiufasaha kabisaa
 
Kanitag ktk huo uzi, nataka niwe na ufahamu zaidi kuhusu hili.
Nikiupata nitakutag kuna kipindi niliutafuta sana nikaukosa sijui hawa mods wameufuta

Jamaa alikuwa anachambua kila kitu hadi yale manamba namba kwenye ela maana yake na umuhimu wake hadi the way pesa inavyosafirishwa material yake yanayotumika utofauti wake na pesa bandia

Yani kiufupi alimaliza kila kitu huu uzi ndo umenikumbusha nitautafuta tena
 
Back
Top Bottom