usinisahau tena kama jana...Poaa ngoja niutafute tena.
TEnda wanapewa uswisi,wanatengeneza kulingana na tenda waliopewa,kisha pesa hiyo inaletwa na saini za viongozi zinaprintiwa hukuHao printers wanajua kias sahihi cha kuprint hizo pesa kadri ya tenda?
Pesa inatengenezwa German, hizo pesa zinakuja zikiwa zina saini au laah? Km ndyo je wao wanajuaje km zilizoletwa ku printiwa ni kias sahihi kadri ya tenda, ?TEnda wanapewa uswisi,wanatengeneza kulingana na tenda waliopewa,kisha pesa hiyo inaletwa na saini za viongozi zinaprintiwa huku
pesa haziji na saini mkuuPesa inatengenezwa German, hizo pesa zinakuja zikiwa zina saini au laah? Km ndyo je wao wanajuaje km zilizoletwa ku printiwa ni kias sahihi kadri ya tenda, ?
Ko watia saini wanaweza kusaini pesa zote zilizoletwa kadri ya tenda? Na wanajuaje km kiasi ni mahususi?pesa haziji na saini mkuu
Naomba unitag huo uzi mkuuNimekutag
No reform no electionJe km kiwanda kimeambiwa watengeneze Tri 3, afu wao wakatengeneza tri 5, 2 wakaficha sehemu, watoa tenda watajuaje? Lol
😂😂😂😂😂
😂😂😂😂No reform no election
Hujaupata tu?Poaa ngoja niutafute tena.
Nautafuta siuoni. LolHujaupata tu?
Wanapewa kiwango cha noti cha kutengeneza na wanapewa Kodi namba pia. Kwa iyo mzigo ukifika ambao hauna kodi namba. Unamfata alipewa tenda kuhusu serial namba ya pesa ambayo haipo ktk record ndio apo mnapoanza kubanana umetengeneza yenye serial namba zaidi apo zikifika zinaingiza ktk mashine na kuwekewa record na scanning ya kujua kuna kiwango gani cha iyo sarafu iliyoingiaSheria ipi? Na inawabana vipi? Na hizo wanazolipwa zinatoka wapi? Ikiwa wao ndo wanatengeneza?
Fafanua zaidi.
Bado sijaelewa.Wanapewa kiwango cha noti cha kutengeneza na wanapewa Kodi namba pia. Kwa iyo mzigo ukifika ambao hauna kodi namba. Unamfata alipewa tenda kuhusu serial namba ya pesa ambayo haipo ktk record ndio apo mnapoanza kubanana umetengeneza yenye serial namba zaidi apo zikifika zinaingiza ktk mashine na kuwekewa record na scanning ya kujua kuna kiwango gani cha iyo sarafu iliyoingia