Lycaon pictus
JF-Expert Member
- Jan 31, 2021
- 11,618
- 20,556
Bora tunachapa nje. Tungechapa wenyewe tungeabuse hiyo power. Mtaani tungekuwa tu tunasikia, "Jamaa yuko kiwanda cha pesa, siyo mwenzako."
Na mie naombaNimekutag
Nitagi mkuuAhsantee
Mkuu naomba nami unitag hukoNimekutag
Ha ha ha wangeiba kama watu wa viwanda vya mikate wanavyoibaga.Bora tunachapa nje. Tungechapa wenyewe tungeabuse hiyo power. Mtaani tungekuwa tu tunasikia, "Jamaa yuko kiwanda cha pesa, siyo mwenzako."
Mbongo asipodokoa anakosa raha kabisa.Ha ha ha wangeiba kama watu wa viwanda vya mikate wanavyoibaga.
Pumbavu kabisa. Hayo mapicha ya huyo kibibi unaweka ili iweje.View attachment 3319531
Najua watu wengi walikua wanajiuliza sana Pesa ya Tanzania inatengenezwa wapi ? Ni maswali ambayo mimi na wewe tulia tunajiuliza sana? Je Tanzania Ina kiwanda cha kutengeneza pesa zake ??
View attachment 3319532
Maswali yote Leo utaweza kupata majibu yake kwa ufupi TU kupitia makala hii 😋, kwanza inapaswa kujua Pesa huwa azitengenezwi nchi moja TU hutengenezwa kupitia nchi mbalimbali hapa Duniani.
View attachment 3319533
Pesa zinatengenezwa kwenye nchi zilizoendelea kama vile Marekani, Ujerumani, Ufaransa, Uswizi, Saudi Arabia, Sweden na Uingereza. Ila kwa upande wa Afrika nchi zinazotengeneza pesa ziko Saba pekee
• misri
• Morocco
• Nigeria
• Ghana
• South Africa
• Ethiopia na Zimbabwe ilikuwepo lakini baadae ilizuiliwa kutokana na sheria maalum za kimataifa zinazo husika na taratibu za kumiliki kiwanda cha kutengeneza pesa.
View attachment 3319534
Nchini Kenya kuna kiwanda cha kutengeneza pesa lakini sio Cha Kenya ni Cha nchi toka Uingereza kwaiyo Kenya kipo kama Tawi kwa upande wa Afrika mashariki.
View attachment 3319535
Je pesa ya Tanzania inatengenezwa wapi sasa ?? Pesa ya Tanzania kamwe haitengenezwi nchini Tanzania mwanzoni baada ya uhuru ilikua inatengenezwa Nchini Uingereza kuanzia sarafu na Noti ambapo serikali ya Tanzania ilikua inaipa Tenda nchi ya Uingereza.
View attachment 3319536
Kwa sasa pesa za Tanzania haitengenezwi Tena Uingereza isipokuwa Ujerumani ndio inatengeneza pesa Za TANZANIA aina ya Noti ambazo ni;
⚡ ELFU KUMI
⚡ ELFU TANO
Wakati nchi ya Sweden inatengeneza Pesa za nchi ya Tanzania ambapo kuanzia NOTI na SARAFU;
⚡ ELFU MBILI
⚡ELFU MOJA
⚡SARAFU
Ulikua unajua hii au lah tuachie maoni yako??
shida ni 10% tenda inapewa printing company yenye uwezo mdogo madelu anachukua 10%Wakitengeneza watengeneze pesa zenye ubora
Ova
Aiseshida ni 10% tenda inapewa printing company yenye uwezo mdogo madelu anachukua 10%
MY classmate kasusuraNamkumbuka yule mwamba aliyepokea mzigo wa noti sijui airport sijui wapi akalala nao mbele. Mpeni maua yake 🎋
Where's is he now days?MY classmate kasusura
Poaa usijarNitagi mkuu