Unajua kwanini Mwakyembe alikaa kimya?

Unajua kwanini Mwakyembe alikaa kimya?

kukumdogo

JF-Expert Member
Joined
Feb 1, 2011
Posts
2,883
Reaction score
2,786
Katika sakata la escrow mh Harison Mwakymbe alitaka kusababisha mjadala usiendelee baada ya kuja na hoja ya Mahakama. Wabunge wengine walimshtukia kwamba ametumwa na wakampuuza. Sasa wakati sakata linaendelea aliona aibu sana maana kaidhalilisha taaluma yake ikambidi akaekimya mwanzo mwisho.
 
Katika sakata la escrow mh Harison Mwakymbe alitaka kusababisha mjadala usiendelee baada ya kuja na hoja ya Mahakama. Wabunge wengine walimshtukia kwamba ametumwa na wakampuuza. Sasa wakati sakata linaendelea aliona aibu sana maana kaidhalilisha taaluma yake ikambidi akaekimya mwanzo mwisho.

Mbona Lowasa naye alikaa kimya? Naye anaogopa kudhalilisha raalima?
 
Mwakyembe aliingia bungeeni na kutaka kutuaminisha kuwa mahakama imetuzuia kujadili mambo yatokanayo na PAC. Tena kwa kujifanya mkali akatuambia tuiombe radhi mahakama kumbe alikuwa katumwa na mafisadi. Hiki kitendo kimemshushia sana heshima huyu Harison
 
Katika sakata la escrow mh Harison Mwakymbe alitaka kusababisha mjadala usiendelee baada ya kuja na hoja ya Mahakama. Wabunge wengine walimshtukia kwamba ametumwa na wakampuuza. Sasa wakati sakata linaendelea aliona aibu sana maana kaidhalilisha taaluma yake ikambidi akaekimya mwanzo mwisho.

Alikuwa anataka kumlinda ndugu yake Mwambalaswa akachemka.
 
Lowasa alikuwa nje ya nchi kutibi mamvi baada ya jk kutaka vijana wagombee. Sasa safari hii anarudi na piko kibao. Hata hivyo atajitaidi kama roooney alivyopoteza upara.
 
mwakyembe hana lolote la maana yuko njia moja na MAFISADI alisha poteza uadilifu ndio maana yuko tayari kuwalinda name haaminiki kabisa.
 
Kuna deal la bandari likipita basi Escrow itakua chamtoto.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom