asakuta same
JF-Expert Member
- Mar 1, 2011
- 14,829
- 5,039
Alikuwa analia maana pesa za umma zimetafunwa mno.:confused2:
Alikuwa analia atatoa wapi pesa za kurudisha, wakati zingine alishazigawa kwa wajumbe wa NEC.
Usifanye mchezo na fagio la escrow.
Alikuwa analia maana pesa za umma zimetafunwa mno.:confused2:
Mwakyembe dili yake ya bandarini na
kiwanja cha bilioni moja alichonunua Bahari beach tayari wabunge kama akina Mdee wanajua. Aliogopa kulipuliwa bungeni.
Pia kuhusika kwa marafiki zake Werema na Mwambalaswa kulimfanya awe bubu.
Mwanzoni alijaribu kushauri bunge litii amri ya mahakama.
Sikumsikia selasini sijui yupo
Mwakyembe alikaa kimya kwasababu escrow ilikuwa inamkumbusha machungu ya richmond ambayo ilisababisha hadi ngozi ya mwili wake iwe kama ya tembo akaharibika hadi leo. the mwakyembe you see today is not the same mwakyembe he was at udsm those years. hivyo alijua kama kipindi kile alibadilika akawa na ngozi ya tembo sasaivi angewagusa mafisadi tu angebadilika na kuwa na sura ya chura. yaliyomkuta ni makuba anayajua yeye pekee.Katika sakata la escrow mh Harison Mwakymbe alitaka kusababisha mjadala usiendelee baada ya kuja na hoja ya Mahakama. Wabunge wengine walimshtukia kwamba ametumwa na wakampuuza. Sasa wakati sakata linaendelea aliona aibu sana maana kaidhalilisha taaluma yake ikambidi akaekimya mwanzo mwisho.
Alikuwa analia atatoa wapi pesa za kurudisha, wakati zingine alishazigawa kwa wajumbe wa NEC.
Usifanye mchezo na fagio la escrow.
Katika sakata la escrow mh Harison Mwakymbe alitaka kusababisha mjadala usiendelee baada ya kuja na hoja ya Mahakama. Wabunge wengine walimshtukia kwamba ametumwa na wakampuuza. Sasa wakati sakata linaendelea aliona aibu sana maana kaidhalilisha taaluma yake ikambidi akaekimya mwanzo mwisho.
Anajua kuweka ndugu zake kwenye mashirika yalio chiniyake
alikuwepo...
Sasa kuna walio safi kweli maana mkuu huyu alipiga kelele kweli za ufisadi kwenye sakata la RICHMOND tukajua ni jembe.Mwakyembe dili yake ya bandarini na
kiwanja cha bilioni moja alichonunua Bahari beach tayari wabunge kama akina Mdee wanajua. Aliogopa kulipuliwa bungeni.
Pia kuhusika kwa marafiki zake Werema na Mwambalaswa kulimfanya awe bubu.
Mwanzoni alijaribu kushauri bunge litii amri ya mahakama.