TUKUTUKU
JF-Expert Member
- Sep 14, 2010
- 11,763
- 4,046
Teh teh teh!alikuwa anataka kumtetea rafiki yake Victor Mwambalaswa mbunge wa Lupa!Mwakyembe aliingia bungeeni na kutaka kutuaminisha kuwa mahakama imetuzuia kujadili mambo yatokanayo na PAC. Tena kwa kujifanya mkali akatuambia tuiombe radhi mahakama kumbe alikuwa katumwa na mafisadi. Hiki kitendo kimemshushia sana heshima huyu Harison