Dogo jiandae kukwepa mawe kutoka kwa akina dada!!!!!!!!!
yaani dogo kanichefua saana rohoyangu! Atakuwa msengerema huyu.
Ye c anadengua, akijua wapo wengi huenda akalegeza kamba... we unaonaje kwani, nifanyeje yani
Hilo nalo nenoUsilazimishe pengine ana vvu anaogopa kukwambia.