Prakatatumba abaabaabaa
JF-Expert Member
- Aug 2, 2022
- 1,465
- 4,675
Mkuu ilo jambo lilinipa stress tukaenda na wenzangu pale ngome tukaishia kufukuzwa.Acha tu maisha hayana formula ni Afande ila kiumri very young,kila mtu na bahati yake hapa duniani.
Hiko hivi tulivyoenda kwa mujibu wa sheria walifanya usahili kambi tatu, sisi hawakufikia kambi yetu.
Tulivyoenda chuo wakapigiwa simu wakaacha chuo wakarudi jeshini wengine walipelekwa navy, urusi egpty n.k wapo mbali kiukweli na wanamiliki magari mazuri tu.
Na wengi tulipiga nao PCB matokeo yalikua yanafanana. Mimi nimeajiriwa vijijini huku.
Kuna watu wana bahati sana