Pupuchi hapo ina sakwa tu ,huuoni wanafiki walio mzunguka mkulu wanavo sifia kila kitu ili wapate kitu cha kuweka tumboniIla chakushangaza ukivaa wigi utasifiwa sana umependeza.....Tanzania.
sawa kabisa.Wigi linaficha vitu vingi sana kwa wanawake.
Mojawapo ni kipimo cha afya.
kumbe lipo original na fake?Wamekua brainwashed kwamba wanawake wenye nywele refu na laini ndio wazuri na wao wenye nywele ngumu za kipipili sio wazuri, mwanamke anapaswa kujiamini na kujikubali jinsi Mungu alivomuumba, kama mzuri ni mzuri tu, unaweza vaa wigi original la laki 5 na bado usivutie.