Unajifunza nini kuhusu tukio hili

Unajifunza nini kuhusu tukio hili

Kama umewahi kuwa na mtoto au kuishi na mtoto kwa muda mrefu usingeuliza swali hili.
Nadhani ingekua busara zaidi kwa wewe kujibu nilichouliza kuliko kuleta ujuaji usio na maana,jibu swali nililouliza kama hujui pita kimya tu.
 
Mkuu mimi mtoto wangu akiwa na umri wa miaka mitano, alilizwa na movie ya Baghban (2003) ya Amitabh Bachan!
Naona mnashindwa kutofautisha kati ya Uwoga na Imani, mtoto anaweza akalia kutokana na uwoga tu wa alichokiona na sio kwamba ni Imani/simanzi ndio kilichomliza.
 
Shukuruni kwa kila jambo maana hayo ndio Mapenzi ya Mungu kwenu...
1Thesalonike 5:18
Kuna mmoja kasema hiyo ni kazi ya Shetani ndio anayetesa watu hivyo! Comment # 2 na watu wamempa like juu yake..!!
 
Tukio la kupangwa.. Kwa akili za mi chokolaa zilivyo hapo dogo angetoka anamcheka mgonjwa ama kumzomea kabisa.. Naijua vizuri hiyo mitoto
Unamaanisha nini? huyo mgonjwa anajifanya tu ila siyo mgonjwa au huyo mtoto si ombaomba? Labda kama ni movie scene!
 
Nimejifunza mambo kadhaa kama ifuatavyo:
1.Nimehuzunika sana na tukio hilo,iwe ni hadithi au kweli.
2.Napata funzo kuwa kuna matatizo mengi sana kati yetu sisi binadamu.Hivyo,tunahitaji kusaidiana kila mara pale unapokuwa na uwepo,si tuu kwa fedha bali hata kwa hali.Angalia kuna watu wanamsaidia huyo mtoto baada ya kuona haki hiyo.
3.Haijalishi,unashida kiasi gani bado tusikate tamaa.Hata kama huwezi kupumua bado kuna mashine ya oxygen inaweza kukusaidia kupumua na maisha yakaendelea.
4.Kuwa omba omba si kigezo cha kukosa utu.Pamoja na umasikini wa kijana ombaomba bado ameguswa sana alipomuona mgonjwa,kiasi cha kuoata mshtuko na kutoka machozi.
5.Kuna baadhi yetu(members wa jamii forum) wameguswa na wengine kukejeli.Haidhuru,kwa vile jukwaa hili ni huru naheshimu maamuzi yao.Nimejifunza kuwa ni vyema pia kuheshimu maoni ya wengine hata kama hayafurahishi,cha msingi ni kuendelea kuwa pamoja na kuzidi kuchat tukiwa kama marafiki kundi na hata familia.Niko tayari kukosolewa kwa mchango wangu.Aksante na pongezi kwako KAJOLIJO kwa kuleta uzi huu.
 
Nimejifunza mambo kadhaa kama ifuatavyo:
1.Nimehuzunika sana na tukio hilo,iwe ni hadithi au kweli.
2.Napata funzo kuwa kuna matatizo mengi sana kati yetu sisi binadamu.Hivyo,tunahitaji kusaidiana kila mara pale unapokuwa na uwepo,si tuu kwa fedha bali hata kwa hali.Angalia kuna watu wanamsaidia huyo mtoto baada ya kuona haki hiyo.
3.Haijalishi,unashida kiasi gani bado tusikate tamaa.Hata kama huwezi kupumua bado kuna mashine ya oxygen inaweza kukusaidia kupumua na maisha yakaendelea.
4.Kuwa omba omba si kigezo cha kukosa utu.Pamoja na umasikini wa kijana ombaomba bado ameguswa sana alipomuona mgonjwa,kiasi cha kuoata mshtuko na kutoka machozi.
5.Kuna baadhi yetu(members wa jamii forum) wameguswa na wengine kukejeli.Haidhuru,kwa vile jukwaa hili ni huru naheshimu maamuzi yao.Nimejifunza kuwa ni vyema pia kuheshimu maoni ya wengine hata kama hayafurahishi,cha msingi ni kuendelea kuwa pamoja na kuzidi kuchat tukiwa kama marafiki kundi na hata familia.Niko tayari kukosolewa kwa mchango wangu.Aksante na pongezi kwako KAJOLIJO kwa kuleta uzi huu.
Umeongea point sana mkuu...
 
Hebu tusaidiane na toa mchango wako juu ya hili, Mtoto alijikuta anatokwa machozi baada ya kugundua kuwa aliyekuwa anataka kumuomba msaada wa hela kwenye gari amewekewa mitambo ya oksjeni imsaidie kupumua,... karibu uchangie ulichojifunza.

NB: mihemuko, matusi na mapovu ni ruksa kwa wale wenye tabia hizo.View attachment 444156View attachment 444157
Dogo ana UTU sana yaani kajiona bora yeye MUNGU kampa UHAI, na ni saw a na MTU Amalia hana viatu anakutana na mtu hana mguu ataacha Julia na kumsifu MUNGU hapohapo.
 
Tukio la kupangwa.. Kwa akili za mi chokolaa zilivyo hapo dogo angetoka anamcheka mgonjwa ama kumzomea kabisa.. Naijua vizuri hiyo mitoto
Mmmhhh! Ule utafiti wa mmoja kati ya wanne hapa unafit kabisa.
 
Please read this u may learn something.

A rich man looked through his window and saw a poor man picking something from his dustbin ... He said,
"Thank GOD I'm not poor"

The poor man looked around and saw a naked man misbehaving on the street ... He said, "Thank GOD I'm not mad"

The mad man looked ahead and saw an ambulance carrying a patient ... He said, "Thank GOD am not sick"

Then a sick person in hospital saw a trolley taking a dead body to the mortuary ... He said, "Thank GOD I'm not dead"

Only a dead person cannot thank God,

Why don't you thank GOD today for all your blessings and for the gift of life ... for another beautiful day?

*What is LIFE*?
To understand life better, you have to go to 3 locations :

1. Hospital
2. Prison
3. Cemetery

At the Hospital, you will understand that nothing is more beautiful than HEALTH.

In the Prison, you'll see that FREEDOM is the most precious thing.

At the Cemetery, you will realize that life is worth nothing. The ground that we walk today will be our roof tomorrow.

*Sad Truth* : We all come with *nothing* and we will go with *nothing* ... Let us, therefore, remain humble and be thankful & grateful to God at all times for everything.

CleverKING
 
Nawaza kwa sauti "MPIGA PICHA ALIJUAJE KUWA HILO TUKIO LITATOKEA " au ni filamu scene
 
1481308291488.png
 
Ujinga uuliopitiliza ,hujafa....
zaeni na kuwatunza vyema watoto wenu akili zao zinafyatuka vibaya sana huko mitaani, hao watoto huwa hawana chembe ya huruma kwa binadamu yoyote yule, na akikuomba ukimnyima yuko radhi akupore kwa nguvu na ikibidi akudhuru kabisa. sina hamu mimi na hao watoto kabisa.
 
Jamani mnisamehe tu. Nimeona tofauti na wengi. Nadhani dereva alimdhihaki huyo mtoto na labda kumtusi kuwa ondoka hapa, wenzio tumebeba mzigo huu halaf weye mzima unaomba hela. Chukua hii oxygen ukale. Angalia abiria wa nyuma na mwenye oxygen wanavyotoa mimacho,
Mtoto hakuweza kujibu bali alilia kwa kupewa mfano huo. Anauliza umati kuwa kwa nini mtu amtusi wakati yeye anaomba tu
 
Nadhani ingekua busara zaidi kwa wewe kujibu nilichouliza kuliko kuleta ujuaji usio na maana,jibu swali nililouliza kama hujui pita kimya tu.


Nami nimekujibu kwa busara kwa mtazamo wangu. Kama umekaa na watoto ni rahisi kuelewa kilichotokea tofauti na kusubiria jibu theoretical..hiyo ndiyo maana yangu!

pole kwa kukukwaza.
 
Wakati ukihuzunika huna kandambili kuna watu hawana miguu na wanamshukuru Mungu kwa uhai!!
Mungu ni Mwema sana kila kitu anatupa kwa sababu!! Ni ubinadamu tu unatufanya tushindwe kumwambia ASANTE!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom