We acha tu japo ni kwetu lakini dada zetu kwenye suala la kuwa romantic ni changamoto mdada anaweza akawa mwenye akili mpole na mrembo lakini siku akikucharukia hutaamini unachokiona mbele yako,we still love y'all anyways,unconditionaly.ahahaha pole kama yalikukuta
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] nime'imagineWe acha tu japo ni kwetu lakini dada zetu kwenye suala la kuwa romantic ni changamoto mdada anaweza akawa mwenye akili mpole na mrembo lakini siku akikucharukia hutaamini unachokiona mbele yako,we still love y'all anyways,unconditionaly.
Wat have u imagined mi lady[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] nime'imagine
unavocharukiwaWat have u imagined mi lady
Mi sio sana,saundi zangu sio za nchi hii,ukinijia na jazba unaondoka unakenua kama umeona bahasha ya mshaharaunavocharukiwa
ehehe sawaMi sio sana,saundi zangu sio za nchi hii,ukinijia na jazba unaondoka unakenua kama umeona bahasha ya mshahara
They are the rarest type of women you can find, huwezi kuishi nae unless wewe pia unatabia kama yake "Introversive". Akikushinda naomba no zake tufahamiane, binafsi siwezi kuishi nae ila napendelea challenge aliyonayo kiakili.Habarini,
Kwa wale wenye uelewa wa saikolojia au uzoefu wa mahusiano bila kuangalia umri wako, ili mradi usiwe mario.
Ni mwanamke anayeonekana ana mawazo kila saa, anafurahi dk 5, anakaa kimya dk 20, ananuna dk 40, ana maamuzi ambayo hajali kama yatakuumiza au yatakufurahisha, ni mtu wa kusimamia misimamo yake bila kuangalia madhara yake, anachoamua hicho ndicho atakachokifanya hata kama utamwambia madhara ya hicho kitu.
Mtu ambaye hapendi kabisa kelele za aina zozote zile, ila ni mtu anayeonekana ana mapenzi ya kweli, japo ni msiri, ukimuuliza una tatizo gani anasema hana, anaamini mambo yake atayamaliza mwenyewe, akisema hapana basi hawezi badilisha hayo maneno, hachelewi kughairi na akighairi basi ujue imetoka hiyo, ni mkali, hapendi kwenda sehemu yoyote ya kufurahi (out) anapenda kukaa ndani tu muda wote, anapenda kukaa peke yake mda mwingi.
Ni msichana mzuri, kila mwanaume akimuona basi atampenda.
we wanifaa maana ivyo vigezo nimevipendasanaa kwa 98% hizo 2 naziacha kwasababu sinunagi
SawaKuna jambo lipo moyoni mwake lililomkuta ndio maana yupo hivyo itamchukua muda kuwa sawa kikubwa ni endelea kuwa nae karibu
Brother rangi zao tuNa ww nani kakwambia uoe mmeru mixer mmachame?
Tusubiri wakat uongeeThey are the rarest type of women you can find, huwezi kuishi nae unless wewe pia unatabia kama yake "Introversive". Akikushinda naomba no zake tufahamiane, binafsi siwezi kuishi nae ila napendelea challenge aliyonayo kiakili.
Naomba uni-PM kama kutakua na haja.
wenzio hawavipendiwe wanifaa maana ivyo vigezo nimevipenda
Mmmh kwa majibu hayawenzio hawavipendi
Nimeelewa fasihi mkuuunaishi nae au mpenzi wako,kama mpenzi tuuu kwa mapungufu hayo inaonekana ni ndege wawili lkn safari zao tofauti kabisaaaaa sasa baba eeeeeeh mueleze asipobadika ndege wengi sana na bado wanazaliwa.