Unaishi vipi na mwanamke wa aina hii?

Unaishi vipi na mwanamke wa aina hii?

Mhh inaweza ikawa inachangiwa na aidha tabia yake(mazoea) , msongo wa mawazo au KIBRI (kiburi)
 
Dah umeniibia mke wangu nini!? Nipo nae hapa tupo kimya tu me naangalia na kuchat hapa
Lakini yeye yupo kimya na mambo yake.
Nimeamini siko pekeangu
Hahahahahaha mkuu alafu u hana hata mpango na ww kabisa mpaka akijisikia baadae
 
Back
Top Bottom