Unaishi vipi na mwanamke wa aina hii?

Unaishi vipi na mwanamke wa aina hii?

sanaa kwa 98% hizo 2 naziacha kwasababu sinunagi
Introverts
-Kingine huwa inakuchukua muda mrefu kuzoena na watu wageni.
-Watu wa hivi hawapendi kukurupuka iwe katika kazi au jambo lolote hufanya kwa ubora wa hali ya juu ili kupata matokeo bora.
-Mwoga kuongea mbele za watu/ darasani.
-Kuna muda mtu unapenda kujifungia tu ndani peke yako na unajihisi uko kamili na mwenye furaha.
-
-
-
 
Mbona yuko poa nenda naye taratibu mweleweshe kwa upendo watu kama hao wanapenda attention 100% ila hawezi kukwambia utavozidi kuwa karibu ndivo atazidi kuwa muwazi kwako
Usije mdanganya kitu huwa wakisema inatosha harudi tena
 
Itakuwa ww ndio una tatizo kwa nn uje ulalamike nje?dawa yk kila ukiwa nae ndani ww piga dole kwenye papuchi lzm atanyooka tu
 
Bado hakuamini, ..... Jitahidi akuamini, akupende kiasi cha kukuona ni sehemu ya maisha yake, kwa hapo bado sana
 
Habarini,

Kwa wale wenye uelewa wa saikolojia au uzoefu wa mahusiano bila kuangalia umri wako, ili mradi usiwe mario.

Ni mwanamke anayeonekana ana mawazo kila saa, anafurahi dk 5, anakaa kimya dk 20, ananuna dk 40, ana maamuzi ambayo hajali kama yatakuumiza au yatakufurahisha, ni mtu wa kusimamia misimamo yake bila kuangalia madhara yake, anachoamua hicho ndicho atakachokifanya hata kama utamwambia madhara ya hicho kitu.

Mtu ambaye hapendi kabisa kelele za aina zozote zile, ila ni mtu anayeonekana ana mapenzi ya kweli, japo ni msiri, ukimuuliza una tatizo gani anasema hana, anaamini mambo yake atayamaliza mwenyewe, akisema hapana basi hawezi badilisha hayo maneno, hachelewi kughairi na akighairi basi ujue imetoka hiyo, ni mkali, hapendi kwenda sehemu yoyote ya kufurahi (out) anapenda kukaa ndani tu muda wote, anapenda kukaa peke yake mda mwingi.

Ni msichana mzuri, kila mwanaume akimuona basi atampenda.
Daah.. mkuu hilo jiwe gizan... lmegonga weng..
 
Introverts
-Kingine huwa inakuchukua muda mrefu kuzoena na watu wageni.
-Watu wa hivi hawapendi kukurupuka iwe katika kazi au jambo lolote hufanya kwa ubora wa hali ya juu ili kupata matokeo bora.
-Mwoga kuongea mbele za watu/ darasani.
-Kuna muda mtu unapenda kujifungia tu ndani peke yako na unajihisi uko kamili na mwenye furaha.
-
-
-
yeuuuuwiii yani vyote unavoviongea ni vyakweli
 
Mbona yuko poa nenda naye taratibu mweleweshe kwa upendo watu kama hao wanapenda attention 100% ila hawezi kukwambia utavozidi kuwa karibu ndivo atazidi kuwa muwazi kwako
Usije mdanganya kitu huwa wakisema inatosha harudi tena
Ahsante kwa ushaur
 
Makuzi baba,huyo eidha ana matatizo ya kisaikoloji (PTSD,ADHD,trauma,bi polar etc) au ana majini.
Mpeleka kwa mtaalamu wa saikolojia ukifeli huko mtafute sheikh amsomee rukya
 
Habarini,

Kwa wale wenye uelewa wa saikolojia au uzoefu wa mahusiano bila kuangalia umri wako, ili mradi usiwe mario.

Ni mwanamke anayeonekana ana mawazo kila saa, anafurahi dk 5, anakaa kimya dk 20, ananuna dk 40, ana maamuzi ambayo hajali kama yatakuumiza au yatakufurahisha, ni mtu wa kusimamia misimamo yake bila kuangalia madhara yake, anachoamua hicho ndicho atakachokifanya hata kama utamwambia madhara ya hicho kitu.

Mtu ambaye hapendi kabisa kelele za aina zozote zile, ila ni mtu anayeonekana ana mapenzi ya kweli, japo ni msiri, ukimuuliza una tatizo gani anasema hana, anaamini mambo yake atayamaliza mwenyewe, akisema hapana basi hawezi badilisha hayo maneno, hachelewi kughairi na akighairi basi ujue imetoka hiyo, ni mkali, hapendi kwenda sehemu yoyote ya kufurahi (out) anapenda kukaa ndani tu muda wote, anapenda kukaa peke yake mda mwingi.

Ni msichana mzuri, kila mwanaume akimuona basi atampenda.
Ongezea na hii akutafuti hadi umtafute wewe na ukimtafuta anaonesha hana mpango
 
Back
Top Bottom