Unaikumbuka hii siku ya kwanza..??

Unaikumbuka hii siku ya kwanza..??

hahahahahahaha! pole sana watu8 jamani....mie mwenzako sitaki kukumbuka yaliyojiri kwa hao wa kabla ya huyu my husband...mi hupenda kukumbuka yaliyojiri nilipokutana kwa mara ya kwanza na huyu laaziz my husband tu....
Mmmh!!

Sredi yako imefanya nikumbuke kibao cha huyu kijana wa miziki ya Bongo Flavor...kile cha Inaniuma Sana by Juma Nature
 
Last edited by a moderator:
Si sana Patner .....sikuzid lakn wew....
Mekumic af naona umenchunia

hahaha mie na wasiwasi umenizidi bana....ah nikuchunie wapi bwana wakati wajua kabisa mie kwako nimeoza kabisa....uliniacha wewe kwenye makoroboi...maana ungeniacha kwenye mataa ningekuona lol. acha zako rudi basi partner in crime...kazi mpya imejitokeza
 
mi hupenda kukumbuka yaliyojiri nilipokutana kwa mara ya kwanza na huyu laaziz my husband tu....

Na hili ndio lengo la thread yangu ......
Hebu tuambie unachukumbuka!!!!!!!!!
 
^^
Ha ha ha Uchokozi huo! Hafu simuoni Shenazi, umemzuia kuja huku
^^

Ha,ha,ha,ha,ha,ha,ha,haaaaaaaaaaaaaaaaa!!!!!!!!!!!!!!
Hivi sijui kapotelea wapi aiseee

Ukimuona mwambie mbona kapotea hivyo??
 
Yule wa kwanza niliachana nae nilikutana nae kanisani wakati wa kutoa sadaka....siunajua tena mistari miwili ya katoliki...kutoka nyuma hadi mbele
 
Siku ya kwanza..mara ya kwanza! Nashindwa kutofautisha!!

Alianza kwa kunikonyeza...name nikapokea mkonyezo kwa tabasam.. nikikumbuka..aisee daaah,mbaaali
 
Siku ya kwanza..mara ya kwanza! Nashindwa kutofautisha!!

Alianza kwa kunikonyeza...name nikapokea mkonyezo kwa tabasam.. nikikumbuka..aisee daaah,mbaaali

Unajisikiaje sasa???????
 
Eiyer
Eiyer Eiyer...stick
to
preaching!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!:hand::hand::hand:
nilimuona church mwanzo nilihisi huyu dada analinga sana nikakutana nae ktk ofic moja upanga then mtoko wa wa kwanza ilikua kempsk level eight
 
Last edited by a moderator:
hahaha mie na wasiwasi umenizidi bana....ah nikuchunie wapi bwana wakati wajua kabisa mie kwako nimeoza kabisa....uliniacha wewe kwenye makoroboi...maana ungeniacha kwenye mataa ningekuona lol. acha zako rudi basi partner in crime...kazi mpya imejitokeza
Najua umenimic hyo kazi ni gia yako tu,lakin poa lakini nakuchek leoleo...ole uzingue...maana hapa nawaza 10percent tu
 
Damn....
Nilikuwa nimeshaisahau hii....!!!!!!!!!!!

Eiyer unani disappoint kwann unasahausahau af mwanzo wa mwaka huu?hata week haijaisha tangu mwaka uanze...
Me sisahaugi kirahisi had my man hua ananishangaa maana naeza kukumbuka kitu cha miaka kibao imepita naye alisahau siku nying
 
Himidini,can we start afresh?? :A S wink:
alaf siku yetu ya kwanza inaanzia hapa kwenye hii thread ya Eiyer..

^^
Halafu utang'ata kucha ukiniona hapa kwa thread! Hafu mi naongeza mapigo ya moyo wangu nikianza kukuambia, hivi "..Samahani Dada, natumai una nafasi moyöni mwako kwa ajili yangu! We ndie Nyota njema nilietumiwa na mbingu! Niambie tulizo la roho yangu, mbingu zimesema harusi yetu lini?.."
^^
 
Back
Top Bottom