Michael Amon
JF-Expert Member
- Dec 22, 2008
- 8,775
- 3,610
- Thread starter
- #41
Nakumbuka niliwahi kusoma kitabu chake miaka mingi iliyopita.
Kumbe ina kitabu chake? Sikujua hilo mkuu.
Nakumbuka niliwahi kusoma kitabu chake miaka mingi iliyopita.
Kipindi hicho ITV ilikuwa ITV kweli
Kumbe vikojozi wengi humu ndani, sisi tumekulia enzi za kuangalia mtambo wa ZnZ and KBC, that time bongo kiza kabisa kwenye hii mtambo. Tulikuwa tunasikiliza mzee jongo na pwagu na pwaguzi
yaani unamtongoza dogo wa watu hivihivi!!!khaa
Ni PM nitakwambia pa kunipata
nilikuwa radhi niende misa ya sa 12 asubuhi na nikifika kanisani full kulala ili mradi sa 3 inikutie hme nichek hyo movie.hehe monkey hiyo dia mwenyewe hata kanisani nilikuwa siendi,ilikuwa inarushwa kipindi cha watoto kila jumapili asubuhi saa 3.
hamna ila watoto walikuwa wanaipenda sasa ukiwakuta sebuleni uwezi kuwatoa inabidi tu ukae uangalie nao mwisho wa siku unakuta nawe unaipenda.Kumbe vikojozi wengi humu ndani, sisi tumekulia enzi za kuangalia mtambo wa ZnZ and KBC, that time bongo kiza kabisa kwenye hii mtambo. Tulikuwa tunasikiliza mzee jongo na pwagu na pwaguzi
nilikuwa radhi niende misa ya sa 12 asubuhi na nikifika kanisani full kulala ili mradi sa 3 inikutie hme nichek hyo movie.
hamna ila watoto walikuwa wanaipenda sasa ukiwakuta sebuleni uwezi kuwatoa inabidi tu ukae uangalie nao mwisho wa siku unakuta nawe unaipenda.
wewe si uliaga kwamba unaenda kusoma so hutapatikana mtaani wala jf? unaniudhi sana ninavyo endelea kukuona. au ndo umeanza utoro? potea tena mkuu la sivyo nakureport kwa invisible. potea sasa hivi.