Omerta
JF-Expert Member
- Jan 3, 2016
- 6,157
- 7,822
Keep on telling jamani!
ITS VERY HEALING!
Hapa malegend tumeelewa, imebidi nicheke.... Lol!
Keep on telling jamani!
ITS VERY HEALING!
Kuwa vijana hawana nguvu,au??
Naam,.jibu langu ni lilelile la awali,.Eeeeh, kwani kuna lingine hapa kwa mjadala wangu na wako?
Naam,.jibu langu ni lilelile la awali,.
Ahsante kwa kheri ya miaka mingi,.Aisee dunia haishi maajabu, nakuombea uishi miaka tele uje kushuhudia vinginevyo siku moja.
Em niambie..naona vinyota nyota[emoji41]
Hahahahha jomoniiiiiNimeshakuwa Sharukan tayari...yanii nijivunge vunge!!!!
Manyota yote hayo ya kwako pekee yako....na kofia naitoa kichwani.
Cc: no way acha tu niwe mateka....nimekuwekea mikono juu fundi wangu, kazi kwako sasa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona hushukuru na kukutana na mtu mtakayeendana mapigo na pumzi?Ahsante kwa kheri ya miaka mingi,.
Ooh kumbe na hilo lilikuwepo,.haha ahsante saaana tena hilo ni muhimu zaidi.😊Mbona hushukuru na kukutana na mtu mtakayeendana mapigo na pumzi?
Zote zilikuwa dua ujue
Ha ha ha aisee umeandika kwa hisia kali sana
👐👐👐
Gafura naona kipua kinamwaga jasho....kumbe kkumenuka huku.Ooh kumbe na hilo lilikuwepo,.haha ahsante saaana tena hilo ni muhimu zaidi.[emoji4]
Mmmh,.usikuwe hivyoo🙄