Unafurahia mahusiano yako?

Unafurahia mahusiano yako?

Wala sio kaujinga mamy, for real inafurahisha kusikia maneno mazuri kiac hiko....in one way or another kuna kitu kinajijenga kwa psychology yako.

Issue ya mwanaume kufunguka as brothers hapo juu, hii kwangu naiona ni impact ya kuwa na MKE BORA.....katika maisha yangu yote, I beliv "MAISHA YA MWANAUME, YAPO MIKONONI MWA MWANAMKE WAKE"....so acha tu watambe, na maneno kama yote. Hongera yao bhana.
MI NIMEAMUA KUFURAHI KUPITIA HISIA NA FURAHA ZAO!
wakati Fulani maisha ya wengine yanaweza kukupa furaha ukiyatizama kwa furaha zao nawe unajiambukiza!
Zuri zaidi wanaofuguka mioyo hivi ni wanaume!
Tumezoea kuona walio huru kushiriki hadithi nzuri za mapenzi nia wanawake, well kutokana na aina zetu za kurespond kihisia.
Sa ukikutana na jamaa anaielezea ndoa au mahusiano yake vizuri hivi!
safi sana!
mi nna kaujinga ka kufurahia mapenzi ya watu kiasi daah!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sijamaanisha chai mkuu hiyo ni chaiiiiiiiiii kama kushangaa kwa furaha..
Siku tano unajibana bwana kama uhakika wa kupata game upo.
Ila kwa kuwa mwenyewe karidhia uongeze inabidi mwanamke utakaempata yeye ndio amuinterview aone kama atafaa kuwa mwenziwe au la.
Usijempeleka gube gube mpaka atumbikiwe nyongo ajute kuomba mwenziwe

Sent using Jamii Forums mobile app
For real. Na ndio maana mpaka Leo sijaoa mke wa pili wala nini.

Ila acha kutetea, Siku tano nyingi sana
 
Umeongea bonge la point. Nanukuu "mimi na mwenza wangu"
Huonekani kuwa mbinafsi kabisa, time will come
Hahahaa... hapo kwenye ubinafsi ninako ka ubinafsi kwenye mahusiano. Furaha yangu kwanza yeye mwenzangu nae aitafute yake kupitia mimi. Lakini furaha yake ni furaha yangu kwahiyo nitahakikisha anakua na furaha ili na mimi pia niwe na furaha.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wala sio kaujinga mamy, for real inafurahisha kusikia maneno mazuri kiac hiko....in one way or another kuna kitu kinajijenga kwa psychology yako.

Issue ya mwanaume kufunguka as brothers hapo juu, hii kwangu naiona ni impact ya kuwa na MKE BORA.....katika maisha yangu yote, I beliv "MAISHA YA MWANAUME, YAPO MIKONONI MWA MWANAMKE WAKE"....so acha tu watambe, na maneno kama yote. Hongera yao bhana.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mtume Muhammad aliwahi kusema miongoni mwa zawadi Bora atakazopewa mwanamme ni mke mwema
 
Back
Top Bottom