Unafurahia mahusiano yako?

Unafurahia mahusiano yako?

Ninafurahia sana maisha yangu ya ndoa, natumai na mwenzangu pia!

Nilijifunza kupitia mahusiano niliyopitia kabla, namshukuru na mzee wangu kuna siku alinipa neno lililonipa akili!! "Mke si sura wala umbo, tabia na hakikisha nafsi yako imemridhia haswa"

Nukatafuta mwanamke kichwa balaa, kwa elimu ya darasani nikiamini na mengine atakuwa kichwa pia! Sikukosea, kwanza hana mambo mengi, ana reasoning ya hali ya juu then anajua anakokwenda (kimaisha)!

Nikamjenga nilivyotaka, naenjoy maisha kwa kweli!! Lake langu na langu lake zaidi ya yote ndiye msela wangu namba mojà!!
Safiiiiii. Big up sanaaa broo
 
Umeniwahi fundi wangu.

Nadhani tunapaswa kuwa WAPENSI WATAZAMAJI!!!.

Sent using Jamii Forums mobile app
MI NIMEAMUA KUFURAHI KUPITIA HISIA NA FURAHA ZAO!
wakati Fulani maisha ya wengine yanaweza kukupa furaha ukiyatizama kwa furaha zao nawe unajiambukiza!
Zuri zaidi wanaofuguka mioyo hivi ni wanaume!
Tumezoea kuona walio huru kushiriki hadithi nzuri za mapenzi nia wanawake, well kutokana na aina zetu za kurespond kihisia.
Sa ukikutana na jamaa anaielezea ndoa au mahusiano yake vizuri hivi!
safi sana!
mi nna kaujinga ka kufurahia mapenzi ya watu kiasi daah!
 
Nimependa unavyomwelezea alivyo wa pekee, but hukatai ukweli kuwa una vimeo unajua unazingua lakini unajirekebisha na unawajibika kufanya awe na furaha!
SAFI SANA!
HATULAZIMIKI KUWA WAKAMILIFU, (KWANZA HAYUPO MWANADAMU MKAMILIFU) ILI KUWA NA FURAHA KWENYE MAHUSIANO YETU!
[emoji106][emoji106][emoji106][emoji106]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ninafurahia sana maisha yangu ya ndoa, natumai na mwenzangu pia!

Nilijifunza kupitia mahusiano niliyopitia kabla, namshukuru na mzee wangu kuna siku alinipa neno lililonipa akili!! "Mke si sura wala umbo, tabia na hakikisha nafsi yako imemridhia haswa"

Nukatafuta mwanamke kichwa balaa, kwa elimu ya darasani nikiamini na mengine atakuwa kichwa pia! Sikukosea, kwanza hana mambo mengi, ana reasoning ya hali ya juu then anajua anakokwenda (kimaisha)!

Nikamjenga nilivyotaka, naenjoy maisha kwa kweli!! Lake langu na langu lake zaidi ya yote ndiye msela wangu namba mojà!!
[emoji122][emoji122][emoji122]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ahahaha nitaenda wapi na hela sina, sura makobazi, urefu fut 3, kichwani bwawa la samaki na ndani kipilipili kama sio k***mia!!!

Naomba usinikumbushe uchungu fundi wangu.....

Cc: vipimo vyote ni sawa fundi wangu.

Sent using Jamii Forums mobile app
😂😂😂😂unan'zingua bhanaaa


Cc: kweli vipimo vyote viko sawa
 
Sio chaiiiiiiii. Hahahahaahahahah

Sure sure lakini si unajua majanga yanatokeaga. Siku tano bila bila nyingi ujue
Sijamaanisha chai mkuu hiyo ni chaiiiiiiiiii kama kushangaa kwa furaha..
Siku tano unajibana bwana kama uhakika wa kupata game upo.
Ila kwa kuwa mwenyewe karidhia uongeze inabidi mwanamke utakaempata yeye ndio amuinterview aone kama atafaa kuwa mwenziwe au la.
Usijempeleka gube gube mpaka atumbikiwe nyongo ajute kuomba mwenziwe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
MI NIMEAMUA KUFURAHI KUPITIA HISIA NA FURAHA ZAO!
wakati Fulani maisha ya wengine yanaweza kukupa furaha ukiyatizama kwa furaha zao nawe unajiambukiza!
Zuri zaidi wanaofuguka mioyo hivi ni wanaume!
Tumezoea kuona walio huru kushiriki hadithi nzuri za mapenzi nia wanawake, well kutokana na aina zetu za kurespond kihisia.
Sa ukikutana na jamaa anaielezea ndoa au mahusiano yake vizuri hivi!
safi sana!
mi nna kaujinga ka kufurahia mapenzi ya watu kiasi daah!
Ntakupa siri flani hivi juu ya moyo wako huo. Sema tu sasa hivi siko free sana
 
Back
Top Bottom