Relief Mirzska
JF-Expert Member
- Jun 13, 2017
- 13,976
- 22,417
Remind me thenWAITING! anytime
Remind me thenWAITING! anytime
Tukienda anatupa hela??? Niwahi chaap[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]si anataka muende pm
Samahanini wajameni
Tuko kwenye mood nzuri ya kufurahia mapenzi ya watu mkuu Kizzy. Hiyo ya majonzi embu ilete kesho
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Tuambie tujifunze
Kuna zile safari za kwenda mamton ..mtahongwa na nyumba[emoji23]
Niko kwenye mkakati hapa. Na mimi mwakani mtu akiniongelea asababishe wengine wafurahi kwa niaba yetuTujitahidi basiii tusije ota janguu,.
[emoji113][emoji113][emoji113][emoji113][emoji113]
Mara ya tatu namwaga mboga[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]si anataka muende pm
Kumbeeeee😂😂😂chaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]si anataka muende pm
Lugha gonganaaaaaa🤣🤣🤣🤣🤣Hahahaa... hapo kwenye ubinafsi ninako ka ubinafsi kwenye mahusiano. Furaha yangu kwanza yeye mwenzangu nae aitafute yake kupitia mimi. Lakini furaha yake ni furaha yangu kwahiyo nitahakikisha anakua na furaha ili na mimi pia niwe na furaha.
Sent using Jamii Forums mobile app
Naanzaje sasa kukusahau my dyadya[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ukifika ulaya "bathi na mimi "uthinithahau[emoji23]
Hizo sasa anampa wife sio mpango wa kando.Kuna zile safari za kwenda mamton ..mtahongwa na nyumba[emoji23]
Hapa kwenye "janguuu" umeniacha fundi wangu.....Tujitahidi basiii tusije ota janguu,.
Errriiiiii badi say yeeeeeeeeyyyah💪Niko kwenye mkakati hapa. Na mimi mwakani mtu akiniongelea asababishe wengine wafurahi kwa niaba yetu
Sent using Jamii Forums mobile app
Niliwahi soma kitabu Fulani sina hakika ni cha Gary Chapman (pengine nimechanganya madesa) lakini mwandishi mmoja aliwahi ongea kuhusu ugumu wanaume kufunguka kihisia!Wala sio kaujinga mamy, for real inafurahisha kusikia maneno mazuri kiac hiko....in one way or another kuna kitu kinajijenga kwa psychology yako.
Issue ya mwanaume kufunguka as brothers hapo juu, hii kwangu naiona ni impact ya kuwa na MKE BORA.....katika maisha yangu yote, I beliv "MAISHA YA MWANAUME, YAPO MIKONONI MWA MWANAMKE WAKE"....so acha tu watambe, na maneno kama yote. Hongera yao bhana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kazi ntaiweza kweli jomoniii[emoji85]