Unafurahia mahusiano yako?

Unafurahia mahusiano yako?

Nafurahia ndoa yangu vilivyo, I am one of the luckiest and happiest guy when we talk about relationship.

I met my wife when I was in form five and married her some 7 fucking years later. In between I met too many girls but she was special and unique. She is my sapphire (open and loud).

She is that religious, she knows her God and fear him as well. Yeye ni Lulu ambayo Niko tayari kufanya lolote lakini nisimpoteze. Haimaanishi kwamba ndio siongei na wadada wengine, NO! I do, big times but yeah my wife is special.

Nshawahi kuamka saa nane usiku nkamkuta kakaa kwenye mswala analia, nkajifanya kama nimelala maana moyo ulinishtuka sana. Kumuuliza baadae imekuwaje bibie ananiambia nimeona msg zako ulizokuwa unachat na flani, imeniuma sana mume wangu nkaamua niamke nimuombe Allah akulinde mume wangu. I cried a lot na kuomba msamaha tele tele.

Kutokana na kazi zetu tunalazimika kukaa mbali mbali kama 55kms hivi mpaka Friday ndio tunakuwa pamoja, kwa namna anavyonipenda na kunijali amenishauri mara kadhaa kwa nini nisioe mke wa pili ili nisipate tabu?? Well, it reached a point nkaona inafaa kuoa mke wa pili kwa sababu za kidini zaidi. Hapo kwenye kitafuta mke sasa, manungaembe watupu na naona Bora nsioe nisije nkamletea mke wangu zimwi ndani bureeee.

Amenichanganya, ananikanga roho, ndio maana nafanya nifanyalo kila end of year mtoto lazima nimpeleke mamtoni.

Acha niishie hapa hebu
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] hapo kwny zimwi jamani kha!!

.... and she is very beautful
 
Nafurahia ndoa yangu vilivyo, I am one of the luckiest and happiest guy when we talk about relationship.

I met my wife when I was in form five and married her some 7 fucking years later. In between I met too many girls but she was special and unique. She is my sapphire (open and loud).

She is that religious, she knows her God and fear him as well. Yeye ni Lulu ambayo Niko tayari kufanya lolote lakini nisimpoteze. Haimaanishi kwamba ndio siongei na wadada wengine, NO! I do, big times but yeah my wife is special.

Nshawahi kuamka saa nane usiku nkamkuta kakaa kwenye mswala analia, nkajifanya kama nimelala maana moyo ulinishtuka sana. Kumuuliza baadae imekuwaje bibie ananiambia nimeona msg zako ulizokuwa unachat na flani, imeniuma sana mume wangu nkaamua niamke nimuombe Allah akulinde mume wangu. I cried a lot na kuomba msamaha tele tele.

Kutokana na kazi zetu tunalazimika kukaa mbali mbali kama 55kms hivi mpaka Friday ndio tunakuwa pamoja, kwa namna anavyonipenda na kunijali amenishauri mara kadhaa kwa nini nisioe mke wa pili ili nisipate tabu?? Well, it reached a point nkaona inafaa kuoa mke wa pili kwa sababu za kidini zaidi. Hapo kwenye kitafuta mke sasa, manungaembe watupu na naona Bora nsioe nisije nkamletea mke wangu zimwi ndani bureeee.

Amenichanganya, ananikanga roho, ndio maana nafanya nifanyalo kila end of year mtoto lazima nimpeleke mamtoni.

Acha niishie hapa hebu
Hongera Mkuu nadhani katika mia ya wanawake atakuwa kabaki yeye tu na mimi hahaha utani bwana, ila unatakiwa umpende sana ni wanawake wachache wenye moyo kama wake
 
Nafurahia ndoa yangu vilivyo, I am one of the luckiest and happiest guy when we talk about relationship.

I met my wife when I was in form five and married her some 7 fucking years later. In between I met too many girls but she was special and unique. She is my sapphire (open and loud).

She is that religious, she knows her God and fear him as well. Yeye ni Lulu ambayo Niko tayari kufanya lolote lakini nisimpoteze. Haimaanishi kwamba ndio siongei na wadada wengine, NO! I do, big times but yeah my wife is special.

Nshawahi kuamka saa nane usiku nkamkuta kakaa kwenye mswala analia, nkajifanya kama nimelala maana moyo ulinishtuka sana. Kumuuliza baadae imekuwaje bibie ananiambia nimeona msg zako ulizokuwa unachat na flani, imeniuma sana mume wangu nkaamua niamke nimuombe Allah akulinde mume wangu. I cried a lot na kuomba msamaha tele tele.

Kutokana na kazi zetu tunalazimika kukaa mbali mbali kama 55kms hivi mpaka Friday ndio tunakuwa pamoja, kwa namna anavyonipenda na kunijali amenishauri mara kadhaa kwa nini nisioe mke wa pili ili nisipate tabu?? Well, it reached a point nkaona inafaa kuoa mke wa pili kwa sababu za kidini zaidi. Hapo kwenye kitafuta mke sasa, manungaembe watupu na naona Bora nsioe nisije nkamletea mke wangu zimwi ndani bureeee.

Amenichanganya, ananikanga roho, ndio maana nafanya nifanyalo kila end of year mtoto lazima nimpeleke mamtoni.

Acha niishie hapa hebu
Kwa wazoef wa hiz kazi,nakuhakikishia kiongoz huyo mwanamke ana akili kukushinda wew,...na analiwa bila wew kujua..fatilia kwa undan haya nayokwambia...sabab hakuna mwanamke aishie hvyo na awe comfortable had akushaur et uoe ,..huyo mwanamke nimempigia magot,ana akil sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Na ndio uhalisia wa maisha yetu yalipo hapo.

Binafsi namrespect sana kiumbe anayeitwa MWANAMKE, huyu kiumbe anaweza kukufanya mwanaume kuwa weak au strong ndani ya NOCK OUT 3 ndani ya mshale.

Mwanamke mwema ni tunu bhana......hata ningekuwa mimi, ningeimba na mapambio kabisa humu ndani na hivi ninavyopenda YANGA-IGBO nadhani ningesumbua visima vya WIVU wa viumbe humu ndani. So tuwaache tu watambe mabrah....
Mtume Muhammad aliwahi kusema miongoni mwa zawadi Bora atakazopewa mwanamme ni mke mwema

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa wazoef wa hiz kazi,nakuhakikishia kiongoz huyo mwanamke ana akili kukushinda wew,...na analiwa bila wew kujua..fatilia kwa undan haya nayokwambia...sabab hakuna mwanamke aishie hvyo na awe comfortable had akushaur et uoe ,..huyo mwanamke nimempigia magot,ana akil sana

Sent using Jamii Forums mobile app
Noooooo , not here bana!
ACHENI LEO TUJIINJOIPO BILA NEGATIVITY please!
HE IS IN LOVE, THEY ARE IN LOVE AND WANAFURAHIA MAISHA PAMOJA!
that's a bottom line!
HAYO MENGINE NI YAKO!
 
Nafurahia ndoa yangu vilivyo, I am one of the luckiest and happiest guy when we talk about relationship.

I met my wife when I was in form five and married her some 7 fucking years later. In between I met too many girls but she was special and unique. She is my sapphire (open and loud).

She is that religious, she knows her God and fear him as well. Yeye ni Lulu ambayo Niko tayari kufanya lolote lakini nisimpoteze. Haimaanishi kwamba ndio siongei na wadada wengine, NO! I do, big times but yeah my wife is special.

Nshawahi kuamka saa nane usiku nkamkuta kakaa kwenye mswala analia, nkajifanya kama nimelala maana moyo ulinishtuka sana. Kumuuliza baadae imekuwaje bibie ananiambia nimeona msg zako ulizokuwa unachat na flani, imeniuma sana mume wangu nkaamua niamke nimuombe Allah akulinde mume wangu. I cried a lot na kuomba msamaha tele tele.

Kutokana na kazi zetu tunalazimika kukaa mbali mbali kama 55kms hivi mpaka Friday ndio tunakuwa pamoja, kwa namna anavyonipenda na kunijali amenishauri mara kadhaa kwa nini nisioe mke wa pili ili nisipate tabu?? Well, it reached a point nkaona inafaa kuoa mke wa pili kwa sababu za kidini zaidi. Hapo kwenye kitafuta mke sasa, manungaembe watupu na naona Bora nsioe nisije nkamletea mke wangu zimwi ndani bureeee.

Amenichanganya, ananikanga roho, ndio maana nafanya nifanyalo kila end of year mtoto lazima nimpeleke mamtoni.

Acha niishie hapa hebu
Maneno mazuri, except yanae muhusu hajui hata id yako.. Utakua a real gentleman kama right now(baada ya kusoma maandishi yangu) utachukua sim yako, call ur wife and tell her wat u've just written here..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Niliwahi soma kitabu Fulani sina hakika ni cha Gary Chapman (pengine nimechanganya madesa) lakini mwandishi mmoja aliwahi ongea kuhusu ugumu wanaume kufunguka kihisia!
Unaona vile watoto wa kiume wakiwa wadogo wakilia tunawaambia "WANAUME HAWALIII" , wakikua wakiumia "WANAUME WANAJIKAZA"
mwandishi wa hicho kitabu, anasema hii ndo inafanya wanaume hata wakiwa watu wazima!
hawafunguki hisia zao.
Wengi wetu hua tunaamini hawapendi lakini ukwlei ni kwamba KUJIELEZA KIHISIA alishaambiwa sio UANAUME!
kuonesha hisia SIO UANAUME
So ndo mana wanaume hawalii hadharani, hawasemi neon I LOVE I MISS YOU kwa mara nyingi kama wanawake.
Wanaume weng wana solid/physical language of love tofauti na wanawake , wengi tunatumia soft part of love language.
HATA MASOMO TUNAYOCHAGUA TUKIWA SHULENI, wavulana will go for mechanical na wasichana will focus kwenye arts. Mana huko ndiko kuna feelings feelings, hizi mambo za nyundo na mashine za mbao. HAPANA!
Yah huo ndio ukweli wenyewe. Ila mwanaume anapokutana na MWANAMKE SAHIHI katika maisha yake.....normally lazima furaha izidi mkoba wa furaha ulipo moyoni, so kufunguka ipo, we mwenyewe si umeprov hapo juu vidume vinavyomwagika!!!!

Me hadi kuna tyme nilikuwa naonekanaga as chizi fulani hivi.....mamy we acha tu, MAPENSI MAPENSI MAPENSI YANA RAHA YAKE BHANA. Ila yakikugeukia.....wafwaaaah kabisa.

Cc: acha tu nitunze kadi ya usenior bachela.....no way napumulia machine now.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa wazoef wa hiz kazi,nakuhakikishia kiongoz huyo mwanamke ana akili kukushinda wew,...na analiwa bila wew kujua..fatilia kwa undan haya nayokwambia...sabab hakuna mwanamke aishie hvyo na awe comfortable had akushaur et uoe ,..huyo mwanamke nimempigia magot,ana akil sana

Sent using Jamii Forums mobile app
She is one of a kind, i know her.
Wanawake dizain hii wapo wengi tu hasa walioshika dini. Anajielewa na anajua misingi ya dini ndo maana kamruhusu mumewe aoe kuliko kufanya zinaa ambayo ni dhambi.

Kusema analiwa hapana. Usikariri mkuu. Malaika tunao duniani
 
Unafurahia mahusiano yako na kimapenzi, Ndoa,Urafiki,Ama unajutia.????

Kama ndiyo kwa nini ?

Hapana kwa nini ?

Ninyi wenye mahusiano yaliyofanikiwa ni Mambo gani/Hatua mlizopitia mpaka kufurahia mahusiano yenu.

Mnaojutia mli/Mmekosea wapi mpaka mnajutia?



Sent using Jamii Forums mobile app
"Being a woman/man is never a privilege but a responsibility".. Sijawah kufurahia maana sijawahi pata mwanamke anaeelewa phyilosophy yangu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom