La Quica
JF-Expert Member
- Dec 19, 2017
- 1,335
- 3,140
Wakuu kuna jambo ambalo nimelitafakari bila kupata majibu toka serikali ilipofungia mtandao wa X almaarufu Twitter.
Nimeshindwa kuelewa hii serikali inaendeshwa na wendawazimu ama vichaa kwakuwa kwa yanayoendelea ni udhihirisho tosha kuwa ni watu wasio na weledi, reasoning na hata common sense ndio waliopewa mamlaka ya kufanya maamuzi.
Hili la kufungia mtandao wa X ni uthibitisho usio na shaka kuhusu hilo.
Yani serikali inafungia X, kwa maana hiyo hakuna mtanzania anaetakiwa kuweza ku access X (achana na VPNs, yani dhumuni la serikali ni kuwa hakuna Mtanzania anaetakiwa kuwa na access na X).
Hiyo sio shida iko sawa.
Sasa changamoto inaanza kuja kuwa hao hao waliofungia X wanaendelea kupost huko X kila siku, sio rais wa nchi, sio msemaji wa serikali, sio jeshi la polisi n.k
Sasa unajiuliza kama mamlaka zimezuia watanzania kutumia X je hizo post wanazotuma huko huwa wanatuma ili zisomwe na nani?
Kuna logic hapo?
Yani hapo ni sawa na, kwamfano. Wewe una mamlaka una kanisa lako na lina waumini halafu unawakataza waumini wako wasije kanisani halafu wewe unaenda kanisani unaanza kuhubiri penye hamna watu.
Hivi sisi hii nchi tupoje?
Nimeshindwa kuelewa hii serikali inaendeshwa na wendawazimu ama vichaa kwakuwa kwa yanayoendelea ni udhihirisho tosha kuwa ni watu wasio na weledi, reasoning na hata common sense ndio waliopewa mamlaka ya kufanya maamuzi.
Hili la kufungia mtandao wa X ni uthibitisho usio na shaka kuhusu hilo.
Yani serikali inafungia X, kwa maana hiyo hakuna mtanzania anaetakiwa kuweza ku access X (achana na VPNs, yani dhumuni la serikali ni kuwa hakuna Mtanzania anaetakiwa kuwa na access na X).
Hiyo sio shida iko sawa.
Sasa changamoto inaanza kuja kuwa hao hao waliofungia X wanaendelea kupost huko X kila siku, sio rais wa nchi, sio msemaji wa serikali, sio jeshi la polisi n.k
Sasa unajiuliza kama mamlaka zimezuia watanzania kutumia X je hizo post wanazotuma huko huwa wanatuma ili zisomwe na nani?
Kuna logic hapo?
Yani hapo ni sawa na, kwamfano. Wewe una mamlaka una kanisa lako na lina waumini halafu unawakataza waumini wako wasije kanisani halafu wewe unaenda kanisani unaanza kuhubiri penye hamna watu.
Hivi sisi hii nchi tupoje?