UNAFIKI unatawala Bavicha...

Status
Not open for further replies.
hata slaa alipo mchukua mushumbushi mke wa mtu alisema mjadala umefungwa hivi hivi
 
chadema kamwe haiwez kuchukua ingawa kitabaki kuwa cha cha upinzan,kimepoteza malengo yake,hakina mbinu mpya zaid ya maandamano,binafsi sijaona tanzania mpya kutoka cdm

Huu ni ukweli...
 

Leta ushahidi hapa !
 
Leta ushahidi hapa !

Ushahidi ni historia ambayo wana JF wote wanaijua.

Wewe ni mtumishi wa Dr. Slaa, hata mjumbe wa kamati Kuu Dr. Kitila Mkumbo analijua hilo na ameliandika kwenye waraka wake. Ushahidi gani zaidi unaotaka? Ulifurahia pongezi za kufanya kazi ya upelelezi, sasa unaona upelelezi wako umekuwa hukumu kwa boss wako Dr. Slaa unaanza kulialia.

Chadema ni chama kinachoendeshwa katika misingi ya kilaghai...
 

This is pathetic.Wana-JF wote wanaijua?Umefanya wapi utafiti?Speak for yourself!
 
This is pathetic.Wana-JF wote wanaijua?Umefanya wapi utafiti?Speak for yourself!

Umeanza kuandika kama mtu aliyepoteza fahamu.

Nani asiyejua sakata la Bavicha kuwafukuza the so called "masalia" lilivyofanyika na jinsi Mida Eight ulivyopewa credit kwa sakata hilo?

Waambie wana JF, upelelezi wako kwa "masalia" ulikuwa unaripoti kwa nani? na hadidu za rejea za upelelezi huo ulipewa na nani?
 
Dr ZeMarcopolo huyu pimbi asha mohamed ukimfuatilia vizuri akili yake inafanana jinga moja laitwa matola kwa 100% tulishamsoma.

Mwanaume anayeamua kujipa jina la kike ni lazima awe na matatizo kichwani. Mungu kamuumba mwanaume yeye anaona Mungu amekosea!!!
 
Kuna unafiki Tanzania kama huu, "Ari mpya, nguvu mpya na kasi mpya" "Maisha bora kwa kila Mtanzania yanawezekana" "Tumethubutu tumeweza na sasa tunasonga mbele" kwi kwi kwi kwi MACCM banaa mapumbavu kweli!!!! LoL!!!!
 
Dr Hamza kazi unafanya saa ngapi na Lumumba unakwenda saa ngapi kupokea posho?

 
Pasco mzee wa Bonafide Genuine naamini unaweka hifadhi nzuri ya kumbukumbu ya haya yanayoendelea.

Hatua tuliyofika sasa Ben Saanane anakana kuhusika na upelelezi ndani ya Chama chake. tafadhali usisahau kuingiza ili kwenye kumbukumbu zako ili utakapobarikiwa kuandika kitabu cha historia ya sakata hili mambo kama haya yasikose.

Hili linawahusu waandishi wengine pia
maggid Ritz THE BIG SHOW
 

umeombwa utoe ushahidi wa madai yako lakini unaendelea kuongea bila fact,

rejea majibu ya Ben
 

Unajua kiswahili?

umeambiwa lete ushahidi usio na shaka,


Mods simamieni huyu ndugu ahakikishe analeta ushahidi alioamriwa na bwana Ben aulete ndani ya masaa matatu.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…