UNAFIKI unatawala Bavicha...

UNAFIKI unatawala Bavicha...

Status
Not open for further replies.
Slaa na Genge lake Maji yamewafika kwenye Mustach anakimbilia kufunga Mjadala, Hili ni Jipu la Kwapa halifichiki
 
Maziwa yanatolewa na ng´ombe, lakini ukienda kuulizia maziwa buchani watu watakushangaa.

Mipasho, just as I expected, you're not even an inch better... conforming to each one's standards..
 
Utafanyaje uspy pasipo regulations? Lazima ziwepo regulations za kumbana spy ili asimchochee anayemspy kufanya makosa ambayo kimsingi mpelelezwa hakua na dhamira ya kuyafanya. It was a dirt mission.
 
!
!
kiuamnifu kabisa nimechoka kusikia habari za chadema jamani, khaaaaaaaaaaaaa kila thread chademaaa chadema chademaaa chadema loh aaaaah inatosha jamani
 
Unafiki ndani ya bavicha ulianza pale tu baada ya kupata mwenyekiti ambaye hakushinda kihalali.
 
Watu wengi wamekata tamaa. Hasa waliposikia kuwa Chadema walitaka watonywe ili warekebishe mahesabu!

Watu werevu wameshaanza kuachana na Chadema mmoja baaada ya mwingine.

Oooopppss...!!
Umeandika neno 'watu werevu'...!!
Watu werevu mpaka leo wanajiuliza, hivi hii meli iliishia wapi...??

1.png
 
Dr Slaa amesema suala la zitto na CDM limefugwa sasa tuongelee suala la rasilimali zetu kama gesi, Umeme kupanda, hali mbaya ya maisha na wizi wa mali , wabakaji kama yle mbunge wa huko Tabora. kwahiyo tusubiri siku 14 tusikilizie maamuzi magumu ya CC

Dr.Slaa hana authority ya kuzuia watu kujadili ulaghai wa Chadema.
 
Chadema ni chama kinachoendeshwa katika misingi ya kilaghai.

Miezi kadhaa iliyopita jumuiya ya vijana ya Chadema, Bavicha, ilitangaza kumvua uongozi na kumfukuza uanachama aliyekuwa makamu mwenyekiti wa jumuiya hiyo Bi. Juliana Shonza. Kosa lake lilitangazwa kuwa ni "usaliti".

Aliyefichua "usaliti" huo ni Ben Saanane a.k.a Mida Eight ambaye alielezwa kuwa alipewa kazi maalum ya kuspy vijana wenzake.

Katika katiba na kanuni za chama HAKUNA kazi hii ya uspy aliyopewa Ben Saanane.

Vijana wengi wa bavicha hasa hapa JF walimpongeza Ben Saanane na kumuona shujaa. Mpaka leo uspy huo alioufanya Ben Saanane ndio jambo pekee linalomfanya aonekane insider wa Chadema.

Mkakati wa siri wa kumpa Ben Saanane kazi ya kuspy ndani ya chama haukuhusisha vikao halali vya chama. Ndio maana viongozi wakuu wa Chama na wajumbe wa Kamati Kuu hawakuwa na taarifa yoyote juu ya kazi hii ya Ben Saanane. Hii ilikuwa ni kazi binafsi ya Dr. Slaa. Ben Saanane alikiri kwenye kikao halali cha Bavicha kuwa alifanya kazi ya uspy na kikao hicho kikampongeza kwa kazi nzuri!

Ni UNAFIKI wa hali ya juu kuona vijana waliounga mkono uwepo wa mikakati ya siri ya Dr. Slaa kumtumia Ben Saanane wakipinga mwanazuoni Dr. Kitila Mkumbo kuwa na mikakati ya siri.

Je, kuna mtu mwenye hati miliki ya mikakati ya siri ndani ya Chadema?

Jumuiya ya vijana katika chama chochote ndio nguzo na dira ya chama. Unafiki huu unaotawala Bavicha unadhihirisha kuwa Chadema sasa haina dira na nguyo yake imeliwa na mchwa.


nape na baiskeli.jpg

Wajinga ndio waliwaoo sema AAAMEEEN
Hivi kwa akili yako wanachokifanya hawa viongozi wako kama hiki kitenda cha NAPE ni ukweliiiiiiii???? na lengo ni nini hasa?
 
Dr.Slaa hana authority ya kuzuia watu kujadili ulaghai wa Chadema.

Hapo kwenye blue,
Muulize huyu jamaa hapa kwenye picha....
Alileta ulaghai bungeni, jasho ikamtoka pale shujaa Lema alipomwaga ushahidi hadharani..
Pinda.jpg
 
Ni kweli kabisa.

Hata kile kitendo cha Lema kumpora Mwigamba kompyuta yake ni uvunjifu wa sheria.

Chadema hawaheshimu sheria za nchi.

Hasa Lema ndio mbumbumbu kabisa wa sheria. ndio maana mara nyingi anaishia mikononi mwa vyombo vya dola halafu anawadanganya misukule yake kuwa anaonewa na serikali.
 
Uko nje ya hoja.

Tunajadili unafiki wa bavicha kuunga mkono mikakati ya siri ya Dr. Slaa na kuipinga mikakati ya siri ya mwanazuoni Kitila...


1. Unamaa Pinda mnafiki kwa kumuunga mkono Radhani Ighondu kutendea madhambi Ulimboka?

2. Unamaana serikali ya ccm ni ya kinafiki kwa kuamua kumficha Ramadhani Ighondu-Usalama wa taifa kwa kutesa na kujeruhi ulimboka?

3. Unamaana serikali ya ccm ni ya kinafiki kwa kulifungia mwanahalisi kwa kuweka hadharani madhambi na utesaji wa usalama wa Taifa (Ramadhani Ighondu) kwa ulimboka.

4. Unamaana serikali ya ccm ni ya kinafiki na kikwete pia kwa kumpandisha cheo

i. Andengenye baada ya kuamuru mauwaji kwa raia wasio na hatia Arusha?

ii. Kamuhanda baada ya kuamuru mauwaji kwa mwandishi wa habari kule nyororo iringa

Hebu fafanua tafadhali..............

Narejirea maswali yangu kwako na sio niko nje ya mada jadili na leta majibu sahihi kwa maswali haya hapa chini kulingana na hoja yako hapo juu. Acha majibu ya kitoto au nimmoja wa waliohitimu chini ya kawambwa na Mulugo?

quote_icon.png
By Balali

Kwanza geuka nyuma angalia chama chako ccm na madhila kwa raia wasio na makosa

Tuambie nini kilitokea baada ya Ramadhani Ighondu kumjeruhi Dakitari bwana Ulimboka

1. Ramadhani yuko wapi na Bwana Pinda na Nchimbi walisema nini kuhusu usalama wa Taifa nanini kilitokea

2. Gazeti la mwanahalisi likowapi baada ya kuchapisha mtiririko mzima wa madhambi ya Rama Ighondu kwa ulimboka?

3. Nini maana ya neno upelelezi kwa chama au Taifa............

i) kuathiri chama kwa kukiendeleza (+ve impact)

ii) kuathiri chama kwa kukiangamiza (-ve impact)

Ukinijibu haya tutaendelea kujadili hoja yako
 
Hapo kwenye blue,
Muulize huyu jamaa hapa kwenye picha....
Alileta ulaghai bungeni, jasho ikamtoka pale shujaa Lema alipomwaga ushahidi hadharani..
Pinda.jpg

Lema ni shujaa wa nini? misukule mnalaghaika kirahisi mno.
 
Hasa Lema ndio mbumbumbu kabisa wa sheria. ndio maana mara nyingi anaishia mikononi mwa vyombo vya dola halafu anawadanganya misukule yake kuwa anaonewa na serikali.


Ispokuwa mzee wa video za uzushi yaan bwana Mwigulu madelu nchemba Je amshatoa ushahidi kwenye mahakama ya mungu?
 
dr. Slaa hata ule mjadala wa ufisadi alioufanya kwenye halmashauri kule Karatu kwenye mradi wa maji alisema umefungwa.

Kufunga mijadala ndio njia pekee ya Slaa kukimbia uwajibikaji. Mtu kama huyu HAFAI kuwa Rais wa nchi, ndio maana Mungu aliwaongoza watanzania wasimchague...

Mmmmh kwani hata kama wewe huwa unaongoza kwa matoke darasani
Siku ukifeli
Unataka ufaulishweeee

Tueshim maamuzii
 
Hasa Lema ndio mbumbumbu kabisa wa sheria. ndio maana mara nyingi anaishia mikononi mwa vyombo vya dola halafu anawadanganya misukule yake kuwa anaonewa na serikali.

Lema is a natural disaster...
 
Lema ni shujaa wa nini? misukule mnalaghaika kirahisi mno.


Muulize Anna makinda kwanini amekalia ushahidi wa jinsi Pinda alivolidanganya Bunge na watanzania kwa ujumla wake

kuhusiana na mauwaji ya watanzania wasio na hatia Mjini Arusha?
 
Chadema ni chama kinachoendeshwa katika misingi ya kilaghai.

Miezi kadhaa iliyopita jumuiya ya vijana ya Chadema, Bavicha, ilitangaza kumvua uongozi na kumfukuza uanachama aliyekuwa makamu mwenyekiti wa jumuiya hiyo Bi. Juliana Shonza. Kosa lake lilitangazwa kuwa ni "usaliti".

Aliyefichua "usaliti" huo ni Ben Saanane a.k.a Mida Eight ambaye alielezwa kuwa alipewa kazi maalum ya kuspy vijana wenzake.

Katika katiba na kanuni za chama HAKUNA kazi hii ya uspy aliyopewa Ben Saanane.

Vijana wengi wa bavicha hasa hapa JF walimpongeza Ben Saanane na kumuona shujaa. Mpaka leo uspy huo alioufanya Ben Saanane ndio jambo pekee linalomfanya aonekane insider wa Chadema.

Mkakati wa siri wa kumpa Ben Saanane kazi ya kuspy ndani ya chama haukuhusisha vikao halali vya chama. Ndio maana viongozi wakuu wa Chama na wajumbe wa Kamati Kuu hawakuwa na taarifa yoyote juu ya kazi hii ya Ben Saanane. Hii ilikuwa ni kazi binafsi ya Dr. Slaa. Ben Saanane alikiri kwenye kikao halali cha Bavicha kuwa alifanya kazi ya uspy na kikao hicho kikampongeza kwa kazi nzuri!

Ni UNAFIKI wa hali ya juu kuona vijana waliounga mkono uwepo wa mikakati ya siri ya Dr. Slaa kumtumia Ben Saanane wakipinga mwanazuoni Dr. Kitila Mkumbo kuwa na mikakati ya siri.

Je, kuna mtu mwenye hati miliki ya mikakati ya siri ndani ya Chadema?

Jumuiya ya vijana katika chama chochote ndio nguzo na dira ya chama. Unafiki huu unaotawala Bavicha unadhihirisha kuwa Chadema sasa haina dira na nguyo yake imeliwa na mchwa.

Umeandika ulaghai na uzandiki hebu uje ufute huu ugolo
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom