Baba V
JF-Expert Member
- Dec 29, 2010
- 19,479
- 9,546
Fungua thread yako, acha kututoa nje ya topic...
Kama ni nje ya topic umewezaje kuiona!? au na wewe uko nje ya topic!??
Fungua thread yako, acha kututoa nje ya topic...
Maziwa yanatolewa na ng´ombe, lakini ukienda kuulizia maziwa buchani watu watakushangaa.
Watu wengi wamekata tamaa. Hasa waliposikia kuwa Chadema walitaka watonywe ili warekebishe mahesabu!
Watu werevu wameshaanza kuachana na Chadema mmoja baaada ya mwingine.
Dr Slaa amesema suala la zitto na CDM limefugwa sasa tuongelee suala la rasilimali zetu kama gesi, Umeme kupanda, hali mbaya ya maisha na wizi wa mali , wabakaji kama yle mbunge wa huko Tabora. kwahiyo tusubiri siku 14 tusikilizie maamuzi magumu ya CC
Unafiki ndani ya bavicha ulianza pale tu baada ya kupata mwenyekiti ambaye hakushinda kihalali.
Chadema ni chama kinachoendeshwa katika misingi ya kilaghai.
Miezi kadhaa iliyopita jumuiya ya vijana ya Chadema, Bavicha, ilitangaza kumvua uongozi na kumfukuza uanachama aliyekuwa makamu mwenyekiti wa jumuiya hiyo Bi. Juliana Shonza. Kosa lake lilitangazwa kuwa ni "usaliti".
Aliyefichua "usaliti" huo ni Ben Saanane a.k.a Mida Eight ambaye alielezwa kuwa alipewa kazi maalum ya kuspy vijana wenzake.
Katika katiba na kanuni za chama HAKUNA kazi hii ya uspy aliyopewa Ben Saanane.
Vijana wengi wa bavicha hasa hapa JF walimpongeza Ben Saanane na kumuona shujaa. Mpaka leo uspy huo alioufanya Ben Saanane ndio jambo pekee linalomfanya aonekane insider wa Chadema.
Mkakati wa siri wa kumpa Ben Saanane kazi ya kuspy ndani ya chama haukuhusisha vikao halali vya chama. Ndio maana viongozi wakuu wa Chama na wajumbe wa Kamati Kuu hawakuwa na taarifa yoyote juu ya kazi hii ya Ben Saanane. Hii ilikuwa ni kazi binafsi ya Dr. Slaa. Ben Saanane alikiri kwenye kikao halali cha Bavicha kuwa alifanya kazi ya uspy na kikao hicho kikampongeza kwa kazi nzuri!
Ni UNAFIKI wa hali ya juu kuona vijana waliounga mkono uwepo wa mikakati ya siri ya Dr. Slaa kumtumia Ben Saanane wakipinga mwanazuoni Dr. Kitila Mkumbo kuwa na mikakati ya siri.
Je, kuna mtu mwenye hati miliki ya mikakati ya siri ndani ya Chadema?
Jumuiya ya vijana katika chama chochote ndio nguzo na dira ya chama. Unafiki huu unaotawala Bavicha unadhihirisha kuwa Chadema sasa haina dira na nguyo yake imeliwa na mchwa.
Dr.Slaa hana authority ya kuzuia watu kujadili ulaghai wa Chadema.
Ni kweli kabisa.
Hata kile kitendo cha Lema kumpora Mwigamba kompyuta yake ni uvunjifu wa sheria.
Chadema hawaheshimu sheria za nchi.
Uko nje ya hoja.
Tunajadili unafiki wa bavicha kuunga mkono mikakati ya siri ya Dr. Slaa na kuipinga mikakati ya siri ya mwanazuoni Kitila...
By Balali![]()
![]()
Kwanza geuka nyuma angalia chama chako ccm na madhila kwa raia wasio na makosa
Tuambie nini kilitokea baada ya Ramadhani Ighondu kumjeruhi Dakitari bwana Ulimboka
1. Ramadhani yuko wapi na Bwana Pinda na Nchimbi walisema nini kuhusu usalama wa Taifa nanini kilitokea
2. Gazeti la mwanahalisi likowapi baada ya kuchapisha mtiririko mzima wa madhambi ya Rama Ighondu kwa ulimboka?
3. Nini maana ya neno upelelezi kwa chama au Taifa............
i) kuathiri chama kwa kukiendeleza (+ve impact)
ii) kuathiri chama kwa kukiangamiza (-ve impact)
Ukinijibu haya tutaendelea kujadili hoja yako
Hapo kwenye blue,
Muulize huyu jamaa hapa kwenye picha....
Alileta ulaghai bungeni, jasho ikamtoka pale shujaa Lema alipomwaga ushahidi hadharani..
![]()
Hasa Lema ndio mbumbumbu kabisa wa sheria. ndio maana mara nyingi anaishia mikononi mwa vyombo vya dola halafu anawadanganya misukule yake kuwa anaonewa na serikali.
dr. Slaa hata ule mjadala wa ufisadi alioufanya kwenye halmashauri kule Karatu kwenye mradi wa maji alisema umefungwa.
Kufunga mijadala ndio njia pekee ya Slaa kukimbia uwajibikaji. Mtu kama huyu HAFAI kuwa Rais wa nchi, ndio maana Mungu aliwaongoza watanzania wasimchague...
Hasa Lema ndio mbumbumbu kabisa wa sheria. ndio maana mara nyingi anaishia mikononi mwa vyombo vya dola halafu anawadanganya misukule yake kuwa anaonewa na serikali.
Lema ni shujaa wa nini? misukule mnalaghaika kirahisi mno.
Chadema ni chama kinachoendeshwa katika misingi ya kilaghai.
Miezi kadhaa iliyopita jumuiya ya vijana ya Chadema, Bavicha, ilitangaza kumvua uongozi na kumfukuza uanachama aliyekuwa makamu mwenyekiti wa jumuiya hiyo Bi. Juliana Shonza. Kosa lake lilitangazwa kuwa ni "usaliti".
Aliyefichua "usaliti" huo ni Ben Saanane a.k.a Mida Eight ambaye alielezwa kuwa alipewa kazi maalum ya kuspy vijana wenzake.
Katika katiba na kanuni za chama HAKUNA kazi hii ya uspy aliyopewa Ben Saanane.
Vijana wengi wa bavicha hasa hapa JF walimpongeza Ben Saanane na kumuona shujaa. Mpaka leo uspy huo alioufanya Ben Saanane ndio jambo pekee linalomfanya aonekane insider wa Chadema.
Mkakati wa siri wa kumpa Ben Saanane kazi ya kuspy ndani ya chama haukuhusisha vikao halali vya chama. Ndio maana viongozi wakuu wa Chama na wajumbe wa Kamati Kuu hawakuwa na taarifa yoyote juu ya kazi hii ya Ben Saanane. Hii ilikuwa ni kazi binafsi ya Dr. Slaa. Ben Saanane alikiri kwenye kikao halali cha Bavicha kuwa alifanya kazi ya uspy na kikao hicho kikampongeza kwa kazi nzuri!
Ni UNAFIKI wa hali ya juu kuona vijana waliounga mkono uwepo wa mikakati ya siri ya Dr. Slaa kumtumia Ben Saanane wakipinga mwanazuoni Dr. Kitila Mkumbo kuwa na mikakati ya siri.
Je, kuna mtu mwenye hati miliki ya mikakati ya siri ndani ya Chadema?
Jumuiya ya vijana katika chama chochote ndio nguzo na dira ya chama. Unafiki huu unaotawala Bavicha unadhihirisha kuwa Chadema sasa haina dira na nguyo yake imeliwa na mchwa.
ZeMarcopolo is a natural calamityLema is a natural disaster...