demigod
JF-Expert Member
- Jan 2, 2015
- 8,250
- 15,116
Kama tukiamua kuitaja Klabu Katika Tanzania inayoongiza kwa Ushirikina basi bila shaka ni Simba SC.
Tamaduni hii wamekuwa nayo tangu Kitambo. Na wamekuwa wakitumia Ushirikina Katika Maeneo tofauti tofauti.
Iwe kwa lengo la Kuwapunguzia Uwezo Wapinzani wake au kujiongezea Ushindani wao wenyewe.
Zifuatazo Ni Sababu Kuu 5 Kwanini Ushirikina Umekuwa Sehemu ya Maisha yao ya Kila Siku:-
1. Kushindana na Yanga SC Kimafanikio.
Simba hawaamini tu katika uwekezaji kuwa wana uwezo wa kufanya Makubwa. Bali wanaona tija kubwa sana kuboost jitihada kwa ushirikina kuhakikisha wanafika mbali zaidi kuwashinda wapinzani wao wa jadi Yanga SC.
2. Katiba Ya Klabu Inasupport Na Kutambua Ushirikina.
Ibara ya (4)
Ibara ndogo ya (2)
Kipengele b: Lengo la Klabu ni kushiriki na kishindana kikamilifu katika michuano ya ndani na nje ya nchi kwa kutumia nyenzo zote zilizopo ambazo hazienendi kinyume na taratibu ikiwa pamoja kamati za ufundi za kisasa na kijadi.
3. Pressure Kutoka Kwa Wachambuzi Na Sifa Kutoka Kwa Vyombo Vya Habari.
Vyombo vya habari vimekuwa kipaumbele kusifia na kutoa hoja ambazo kimsingi haziendani na uhalisia. Kwa mfano moja ya Kipindi kinaeleze kuwa ndani ya Miaka 4 Simba wamefanikiwa pakubwa kimataifa ikiwa ili hali kila msimu wanakomea nafasi ile ile walio komea msimu ulopita.
4. Idadi Kubwa Ya Waajiriwa Wasio Na Weledi Kwenye Klabu Yao.
Simba SC inajitapa wameajiri wafanya kazi proffessional katika klabu yao ili hali ukifuatilia kwa kina utagundua kuwa walio wengi ni waswahili mno na wengi wamepitia elimu za michongo michongo na za kuunga unga.
5. Hofu ya Kushindwa Kimafanikio na Yanga SC.
Kihistoria Yanga ndio Klabu yenye mafanikio makubwa sana ndani ya nchi. Hilo halina shaka wala ubishi. Wameshindana kwa kipindi kirefu na kusurrender, hivyo basi matamanio yao yamekuwa makubwa zaidi kuhakikisha wana set standard kwenye uwanja wa kimataifa.
Hilo lina wapa hamasa kubwa katika matumizi ya Ushirikina kuhakikisha lina wafikisha mapema katika eneo hilo.
Kiufupi ni kwamba kama kutakuwa na klabu kutoka Tanzania kushinda taji lolote la kimataifa basi hiyo Klabu itakuwa ni Dar es Salaam Young Africans SC.
ALAMSIKI.
Tamaduni hii wamekuwa nayo tangu Kitambo. Na wamekuwa wakitumia Ushirikina Katika Maeneo tofauti tofauti.
Iwe kwa lengo la Kuwapunguzia Uwezo Wapinzani wake au kujiongezea Ushindani wao wenyewe.
Zifuatazo Ni Sababu Kuu 5 Kwanini Ushirikina Umekuwa Sehemu ya Maisha yao ya Kila Siku:-
1. Kushindana na Yanga SC Kimafanikio.
Simba hawaamini tu katika uwekezaji kuwa wana uwezo wa kufanya Makubwa. Bali wanaona tija kubwa sana kuboost jitihada kwa ushirikina kuhakikisha wanafika mbali zaidi kuwashinda wapinzani wao wa jadi Yanga SC.
2. Katiba Ya Klabu Inasupport Na Kutambua Ushirikina.
Ibara ya (4)
Ibara ndogo ya (2)
Kipengele b: Lengo la Klabu ni kushiriki na kishindana kikamilifu katika michuano ya ndani na nje ya nchi kwa kutumia nyenzo zote zilizopo ambazo hazienendi kinyume na taratibu ikiwa pamoja kamati za ufundi za kisasa na kijadi.
3. Pressure Kutoka Kwa Wachambuzi Na Sifa Kutoka Kwa Vyombo Vya Habari.
Vyombo vya habari vimekuwa kipaumbele kusifia na kutoa hoja ambazo kimsingi haziendani na uhalisia. Kwa mfano moja ya Kipindi kinaeleze kuwa ndani ya Miaka 4 Simba wamefanikiwa pakubwa kimataifa ikiwa ili hali kila msimu wanakomea nafasi ile ile walio komea msimu ulopita.
4. Idadi Kubwa Ya Waajiriwa Wasio Na Weledi Kwenye Klabu Yao.
Simba SC inajitapa wameajiri wafanya kazi proffessional katika klabu yao ili hali ukifuatilia kwa kina utagundua kuwa walio wengi ni waswahili mno na wengi wamepitia elimu za michongo michongo na za kuunga unga.
5. Hofu ya Kushindwa Kimafanikio na Yanga SC.
Kihistoria Yanga ndio Klabu yenye mafanikio makubwa sana ndani ya nchi. Hilo halina shaka wala ubishi. Wameshindana kwa kipindi kirefu na kusurrender, hivyo basi matamanio yao yamekuwa makubwa zaidi kuhakikisha wana set standard kwenye uwanja wa kimataifa.
Hilo lina wapa hamasa kubwa katika matumizi ya Ushirikina kuhakikisha lina wafikisha mapema katika eneo hilo.
Kiufupi ni kwamba kama kutakuwa na klabu kutoka Tanzania kushinda taji lolote la kimataifa basi hiyo Klabu itakuwa ni Dar es Salaam Young Africans SC.
ALAMSIKI.