Scott junior
JF-Expert Member
- Mar 24, 2022
- 3,202
- 4,607
Mwenyekiti?😀Mkuu nikutafunie ad mumeza Nako uwez Wacha uvivu
Mwenyekiti?😀Mkuu nikutafunie ad mumeza Nako uwez Wacha uvivu
1. Naona tasnia ya Bongo Fleva ikipata pigo kubwa.Mkuu nikutafunie ad mumeza Nako uwez Wacha uvivu
Sijataja mtu Mimi 😆😆Mwenyekiti?😀
Tumia ubongo1. Naona tasnia ya Bongo Fleva ikipata pigo kubwa.
2. Naona katika Bongo Movie yakitokea matukio mawili ya huzuni yanayowahusu wasanii wawili wanaopendwa na watu wengi.
Hapa utupe code
Kule wengne inajulikana
Kwahyo CHIBU hatunaeTumia ubongo
Naam usemwa mapema Ili watu kuchukua tahadhar kinga ni Bora kuliko tiba ✍🏾✍🏾🙏🏽Hivi nyie watabiri,ni kwanini hua mnatabiri majanga tu?
Nje ya kuona hayo majanga,huo utabiri wenu hua hauoni vitu vingine?
Asilimia kubwa ya hawa watabiri hutabiri majanga tu kama vile Vifo,ajali,moto na mengineyo.
😁😁Mbingu zitatulia kujibu watu wanao mtafuta kwa imani ila umetaja matukio ya kuhuzunisha😏,,
hiyo ya bongo fleva naomba lisimkute kiba au mbosso maan uweeh nawapenda sana
😂😂pepo mbaya sijui pepo msafi yupoje
Wewe umeamua kutanua goli sio.?huu naufatili hadi tarehe 30 mwez wa nne
Msaidizi5. Naona atatoka, lakini hatabadilika; badala yake atarudi akiwa na msimamo mkali zaidi kuliko ule wa kwanza.
Who?