Zaburi 33:12
"Heri taifa ambalo Mungu wake ni Bwana, Watu aliowachagua kuwa urithi wake."
"Blessed is the nation whose God is the Lord; and the people whom he hath chosen for his own inheritance.
2 Mambo ya Nyakati 7:14
"Ikiwa watu wangu, walioitwa kwa jina langu, watanyenyeka, na kuomba, na kunitafuta uso wangu, na kuacha njia zao mbaya; basi nitasikia toka mbinguni, nitawasamehe dhambi yao, na kuponya nchi yao."
"If my people, which are called by my name, shall humble themselves, and pray... then will I hear from heaven, and will heal their land.