Unabii mzito kwa nchi

Unabii mzito kwa nchi

Marco Seth

JF-Expert Member
Joined
Oct 21, 2022
Posts
4,680
Reaction score
5,653
Unabii uliotolewa kuhusu Nchi ya Tanzania
Mungu hajafurahishwa na Madaraka ya sasa
Watanzania Tuungane Tuombe kwa Pamoja kuombea Nchi kuhusu Utawala

Mungu atatusikiliza (Tumuombe) hii ndio Option tuliyonayo tuliopewa na Mungu

Kabla ya Roho ya Vita kuachiliwa
Kwa muda mrefu Tumepewa Amani

Kuna viongozi wengi Mungu aliwaweka ila wamekuja kunsahau

Angalia hii Video

View: https://youtu.be/7y9SiP8UOt0?si=oVrX35L1rBFL8F1q
 
Unabii uliotolewa kuhusu Nchi ya Tanzania
Mungu hajafurahishwa na Madaraka ya sasa
Watanzania Tuungane Tuombe kwa Pamoja kuombea Nchi kuhusu Utawala

Mungu atatusikiliza (Tumuombe)

Kabla ya Roho ya Vita kuachiliwa
Angalia hii Video

View: https://youtu.be/7y9SiP8UOt0?si=oVrX35L1rBFL8F1q

Hizi amabzo kwa sasa mnaziita nabii sijuii mahubiri ni mawazo ya haohao manabii wanaamua kutrend na matukio ya sasa ili na wao wapate pa kutokea..

Actually pamoja na hali yetu ya sasa bado Tanzania nchi ambayo ni sehemu salama sana ukilinganisha na nchi nyingi ambazo zinakila aina ya balaa huko duniani. Na bado nchi hizo zinaviongozi wa mabavu(dictators) na nothing happens there!
 
Tuna changamoto ya manabii, nashauri kikao cha manabii wote tuitwe, upembuzi ufanyike, nabii mwongo afungiwe kabla ya kanisa zima kutukanwa.
Mtu kalewa pombe anasema Dar itaangamizwa kwa mafuriko, hayajatokea anaangaliwa tu, Mara sijui mwezi flani kutakuwa na tukio kubwa, miezi inapita na yeye anachekewa tu, sio sawa.
Utamjuaje nabii mwongo?

Biblia Ina jibu..
Kumbukumbu 18:22 Atakaponena nabii kwa jina la BWANA, lisifuate jambo lile wala kutimia, hilo ndilo neno asilolinena BWANA; kwa kujikinai amelinena huyo nabii, usimwogope.
 
Hizi amabzo kwa sasa mnaziita nabii sijuii mahubiri ni mawazo ya haohao manabii wanaamua kutrend na matukio ya sasa ili na wao wapate pa kutokea..
Sio kila umdhanie ni hivyo

Manabii wa Uongo waliwekwa ili msiwatambue manabii wa kweli

Ili mkiona manabii wa kweli mseme ni wa Uongo

Kama umeshindwa kabisa Muombe Mungu akuonyeshe kama huyo nabii ni wa kweli au wa Uongo
Utapata jibu
 
HAya sawa kila mtu anamaono yake .
Amin Amin nawaambieni
Mungu huachilia Ujumbe wake kwa Watumishi Wake

Fanya observation utaona the same message inatolewa na watu tofauti tofauti
 
Amin Amin nawaambieni
Mungu huachilia Ujumbe wake kwa Watumishi Wake

Fanya observation utaona the same message inatolewa na watu tofauti tofauti
Ila samia taongoza nakumalizia uongozi wake .
Nahakuna mtu atakayemfanya kitu unaona kawachukua mazombi yote ya na matshirts ccm mbele kwa mbele
 
Tuna changamoto ya manabii, nashauri kikao cha manabii wote tuitwe, upembuzi ufanyike, nabii mwongo afungiwe kabla ya kanisa zima kutukanwa.
Mtu kalewa pombe anasema Dar itaangamizwa kwa mafuriko, hayajatokea anaangaliwa tu, Mara sijui mwezi flani kutakuwa na tukio kubwa, miezi inapita na yeye anachekewa tu, sio sawa.
Utamjuaje nabii mwongo?

Biblia Ina jibu..
Kumbukumbu 18:22 Atakaponena nabii kwa jina la BWANA, lisifuate jambo lile wala kutimia, hilo ndilo neno asilolinena BWANA; kwa kujikinai amelinena huyo nabii, usimwogope.
Kabisa
 
Mungu huwa anamsaidia mtu anaeonesha nia, ndio maana hata kuvuka bahari Mungu alimuuliza Musa una nini mkononi? Nae akajibu nina fimbo.... Na fimbo ile akaionyooshea bahari maji yakagawanyika.

Haya wamalawi Mungu anatuuliza tuna nini mkononi? Tuna da mange 😁
 
Back
Top Bottom