Unaamka: Umenuna, unaoga umenuna(HASIRA)

Unaamka: Umenuna, unaoga umenuna(HASIRA)

Afadhali mwanamke lakini dume kununa siku nzima haipendezi
 
Nikiwa mama kijacho hapo ni issue nyingine..itategemea dogo amekaaje huko tumboni...
Ila jinsi nilivyo ni kwamba sijui kununa...labda niigize but siwezi hata mtu anikere kiasi gani....sana sana nitamwambia ukweli.

..nimeipensa hiyo..
hivi kununa na kukasirika vinaenda pamoja, au mtu anaweza kununa ilhali hajakasirika??
 
..nimeipensa hiyo..
hivi kununa na kukasirika vinaenda pamoja, au mtu anaweza kununa ilhali hajakasirika??

Me naamini kununa ni matokeo ya kukasirika...inawezekana hasira zishaisha basi tu mtu unanuna ili kufikisha ujumbe kwa aliyekuudhi.
 
Me naamini kununa ni matokeo ya kukasirika...inawezekana hasira zishaisha basi tu mtu unanuna ili kufikisha ujumbe kwa aliyekuudhi.

..naomba physical address yako, nina parcel nimetumwa kwako asap!!..teh!!
 
..naomba physical address yako, nina parcel nimetumwa kwako asap!!..teh!!

Hahahaaa! ukifika hapo mtaa wa pili kata kushoto, kuna kichochoro hapo...nyoosha nacho, hesabu nyumba ya kwanza, ya pili...weka tu huo mzigo hapo chini ntaupata.
 
Kununa sometimes hakuepukiki, hivi mtu anaangalia World Cup baa mpaka saa kumi na mbili asubuhi! ...Mi lazima ntanuna..
 
mtu wa hivyo akiwa na wengine/sehem nyingine anacheka mpaka pengo la utoton linaonekana....
....
 
kwani sifananiii?
si unasemaga unatafutaga wakuchuna wewe?,au huwa mnachangamsha genge?.

Ndo maana nishakataa kutongoza watu wa mtandaoni,tangia nitongoze Aviantie binti wa kifilipino na tukadumu katika mapenzi ya mtandaoni kwa karibu mwaka mzima na hatimae kuja kugundua kumbe laaziz wangu wa kifilipino jina lake halisi ni Kamau Njoroge,mpaka leo sinaga hamu kabisaaa.
 
ooh..ila jana umesema wewe ni student,tena under 18.

Hahahah...daah mkuu mtu akiongea kitu hebu angalia kwanza na nature ya thread then ndo uhitimishe....nlikuwa namaanisha kwenye ile thread yanaongelewa mambo ya chumbani sana...
 
...hayo maneno ymeyatamka kabla ya kuolewa, tukutane hapa baada ya miaka miwili ukiitwa 'mama kijacho', it's gonna be a different story rafiki..

Kumbe wewe ushaoa??? Huea yapo hayo ndani ua ndoa?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom