Unaamka: Umenuna, unaoga umenuna(HASIRA)

Unaamka: Umenuna, unaoga umenuna(HASIRA)

Kununa sometimes hakuepukiki, hivi mtu anaangalia World Cup baa mpaka saa kumi na mbili asubuhi! ...Mi lazima ntanuna..

...bora wewe umesemaa ukweli, mwanamke asiyenuna anatoka wapi huyo!!
 
si unasemaga unatafutaga wakuchuna wewe?,au huwa mnachangamsha genge?.

Ndo maana nishakataa kutongoza watu wa mtandaoni,tangia nitongoze aviantie binti wa kifilipino na tukadumu katika mapenzi ya mtandaoni kwa karibu mwaka mzima na hatimae kuja kugundua kumbe laaziz wangu wa kifilipino jina lake halisi ni kamau njoroge,mpaka leo sinaga hamu kabisaaa.

mkuuu acha kuchokonoa ya ndani mkuu tuliaaga bwana.kwa more info nione.vichakani
 
Hahahaaa! ukifika hapo mtaa wa pili kata kushoto, kuna kichochoro hapo...nyoosha nacho, hesabu nyumba ya kwanza, ya pili...weka tu huo mzigo hapo chini ntaupata.

ha ha ha, teeh! Haya natuma mtoto ailere!!
 
waambie bwana,maaasira asira yanawasaidia nini,
from,Mkude Simba
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom