Unaamka: Umenuna, unaoga umenuna(HASIRA)

Unaamka: Umenuna, unaoga umenuna(HASIRA)

Kibo10

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2013
Posts
11,278
Reaction score
8,868
UNAAMKA umenuna, unaoga umenuna, unavaa umenuna, unakwenda kazini umenuna. Jioni unarudi umenuna! Inasaidia nini?

Kama una dukuduku na mke au mumeo/mpenzi mwambie.

Zungumza naye. Unanununa nini?

Haitakusaidia kitu.

Njia njema zaidi ya kumaliza matatizo ndani ya nyumba ni mazungumzo.

Chukua hili kutoka kwangu Kibo10
 
hapo anakua anajikomesha mwenyewe.........

ukute alomnunia sasa ndio hana hata mpango
 
kununa suna ndg, ila hiyo ya all time, whole day kiboko
 
UNAAMKA umenuna, unaoga umenuna, unavaa umenuna, unakwenda kazini umenuna. Jioni unarudi umenuna! Inasaidia nini? Kama una dukuduku na mke au mumeo/mpenzi mwambie. Zungumza naye. Unanununa nini? Haitakusaidia kitu. Njia njema zaidi ya kumaliza matatizo ndani ya nyumba ni mazungumzo. Chukua hili kutoka kwangu Kibo10
akiwa ofisini anacheka, anaimba na hata ku-share sahani na office mate, akianza tu kurudi home ananuna

shtukaaaa... you are the reason for his/her sadness

jipange, ongea we kasa wa, au jikate
 
Yani me sijui kununa kwa kweli, ukinikera nakuchambaaaa.....nikimaliza nshasahau, nacheka kama jana.
Siwezi kukaa na vitu rohoni.
 
Dawa ya Mtu mnnunaji ni ndogo tu. Humuulizi amenunia nini, unamuonesha unamuona kawaida tu, humbembelezi wala nini. Unakua kauzu mazima. lazima itamshinda tu achague njia nyingine ya kuonesha kutoridhishwa kwake kuliko kununu nuna. Wengine anahamisha mnunuio kutoka kwa muhusika hadi kwa wafanyakazi wenzake, wahudumu etc. Too bad. Mtu umepewa mdogo ili useme...

Ila sasa mtu mnnunaji akishakupatia.. akijua kila akinuna tu amekukamata attention kila kitu chako... hapo imekula kwako mazima. Dontry try it at home though. act responsibly

UNAAMKA umenuna, unaoga umenuna, unavaa umenuna, unakwenda kazini umenuna. Jioni unarudi umenuna! Inasaidia nini? Kama una dukuduku na mke au mumeo/mpenzi mwambie. Zungumza naye. Unanununa nini? Haitakusaidia kitu. Njia njema zaidi ya kumaliza matatizo ndani ya nyumba ni mazungumzo. Chukua hili kutoka kwangu Kibo10
 
Yaani kitendo tu cha kusoma hii sredi nimejisikia kununa tayari
 
tofauti kati ya kununa na kukasirika ni nini?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom