Unaamka: Umenuna, unaoga umenuna(HASIRA)

Unaamka: Umenuna, unaoga umenuna(HASIRA)

andika kwenye notebook yako coz hii inatolea sana kwa wanandoa, I bet utaolewa ndani ya miaka miwili, teh!!

hahaha hata nikiolewa sijui kununa mie namtu akininunia wala siwazi namweka kitako dk mbili nyingi anieleze kiunagaubaga lol
 
Yani nawachukia watu wanaopenda kununa nuna
Wanakera kwakweli mwisho wa siku unajikuta na wewe umeambukizwa maana kama ni jumamosi mnashinda home mtu kajinunisha weee! mwisho wa siku na wewe unajikuta umenuna
 
Nilikuwa na roommate chuo yaani yeye alikuwa ni balaa anaweza akanuna hadi siku mbili au tatu hadi chumba kina kuwa kizito na hakina raha! Mood ikirudi sasa atajichekesha, atajiongelesha inakeraa!
 
Mojawapo ya sababu ya kununa ni wasiwasi wa kuwa amechapiwa lakini ushahidi usio na shaka hana. Sio jambo la kupuuzia sana km ambavyo naona mjadala unaendelea kwa kuwa kuna uwekano wa mnunaji kuchepuka ili kujifariji
 
hapo anakua anajikomesha mwenyewe.........

ukute alomnunia sasa ndio hana hata mpango

Hahahah...haiwezekani mtu umpendae amenuna af usiwe na mpango labda tu unajifanya huna mpango ila unakuwa nao sana tu....
 
akiwa ofisini anacheka, anaimba na hata ku-share sahani na office mate, akianza tu kurudi home ananuna

shtukaaaa... you are the reason for his/her sadness

jipange, ongea we kasa wa, au jikate

Amen....
 
Unanyemelea vitasa for sure.....

Utaanzaje unadhani? Manake nakupa makavu huku nimekulalia kifuani, sauti ya upolee kama namfundisha mtoto wa chekechea....yani hapo utaishia kusema "nimekusikia mke wangu".... lakini michambo ndo ishafika....
 
Ili kuepukana na tatizo hili ni lazima tuwajue vizuri wenzi wetu na kuwaelewa.. naamini ukifanya hivi haitakusumbua!! Pili tujitahidi kujizuia hasira zetu! Kwanini umalize siku mbili au tatu hata mwezi umemnunia mpenzi wako ukiona hivyo sio chaguo lako. Hatukatai makwazo yapo lakini usiku ni muda mzur sana wa wenzi kukaa pamoja na kumaliza tofauti zao pale ndio unatakiwa utoe dukuduku lote na pia tuwe wepesi kusamehe na sio kukumbushia na juzi ulifanya hiv na jana hivi hapana tuongee tusameheana tuendelee kula maisha...
Ukiwa na tabia ya kunununa utamchukia mwenzi wako siku zote na pia utakaribisha mchepuko kwani atatoka kwenda kutafuta furaha nje...
Halafu na ww ukiona mwenzio kanuna sio unajifanya bizy kua mbunifu utafute njia ya kumfurahisha basi!!!
 
bado umenuna na ucheki tena najuta naogopa we umenuuuna kwani sio langu kusudio we uumie vile umenuna unaniweka roho juu baby


marlaw ft chid benz
 
...hayo maneno ymeyatamka kabla ya kuolewa, tukutane hapa baada ya miaka miwili ukiitwa 'mama kijacho', it's gonna be a different story rafiki..

Nikiwa mama kijacho hapo ni issue nyingine..itategemea dogo amekaaje huko tumboni...
Ila jinsi nilivyo ni kwamba sijui kununa...labda niigize but siwezi hata mtu anikere kiasi gani....sana sana nitamwambia ukweli.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom