Unaongea mkopo..ungesema mortgage ukaona kwanza...mortgage unalipa mara 2 YA hela uliyocbukua Na watu bado Wana hukuaMillion 10 ya leo si sawa na Million 10 ya mwaka 2030.
Nauli za daladala zitakuwa 2500 au zaidi
Yaani udundulizi kuweka milion 18 Kwa mipaka mi5 ..hivi unajua maana YA Shida mkuu..just imagine umeweka Akiba hiyo..Kisha mtoto wako akaugua saana hapo ni mwaka Wa 3 wa saving..una milion 7 ..Na mtoto matibabu yanahitaji atalist 6 milion Je utaacha mtoto afe au utaendelea kusave bila kuchukua mtoto