Una mshahara wa laki nane, kwanini uchukue mkopo na kuanza kukatwa karibu laki nne?

Championship

JF-Expert Member
Aug 7, 2019
5,499
10,540
Mtu analipwa laki 8 kwa mwezi baada ya makato yote halafu anachukua mkopo wa milioni 10+ na anaanza kukatwa karibu laki 4 kwa miaka mitano.

Hizi akili watu wanatoa wapi? Hela zenyewe hamna cha maana mnafanya na matokeo yake mnasumbua watu kwa kuombaomba na mnapoteza ufanisi kazini.

Unachangia mabenki asilimia 16 kwa mwaka ambayo ni asilimia 80 ya pesa yako unayoipata kwa shida katika miaka mitano. Benki zinanufaika kwa ujinga wa watu wengi.

Kwanini wewe usihifadhi hata UTT shilingi laki 3 kwa mwezi? Kwa mwaka utakuwa na 3.6m na miaka mitano itakuwa 18m, tena hapo bila kuweka faida yake.
 
Hoja yako ni kukopa ama UTT?

UTT umeijua leo ama?

Ni mtu asieelewa vyanzo vya uwezkezaji tu anaeweza kupeleka hela zake UTT.

UTT return yake haizidi 5% kwa mwaka sasa hiyo laki 3 na upate 3.6 kwa ambazo jumla na return haitazidi 3.8, hii sio akili.

Weka fixed deposit ya bank ambayo wanatoa kuanzia 9% to 11% ambazo ndio bank nyingi wanatoa sasa.

Tukirudi kwenye kukopa, kuna kitu kinaitwa opportunity cost, uangalie, uchukue leo mkopo ufanyie jambo lako ama usubiri ukusanye kidogo kidogo kwa miaka 3 ama 5 ndio ufanye hilo jambo.

Mwisho inabaki kwenye maamuzi ya mtu kutokana na kipaumbele chake.
 
Hoja yako ni kukopa ama UTT?

UTT umeijua leo ama?

Ni mtu asieelewa vyanzo vya uwezkezaji tu anaeweza kupeleka hela zake UTT.

UTT return yake haizidi 5% kwa mwaka sasa hiyo laki 3 na upate 3.6 kwa ambazo jumla na return haitazidi 3.8, hii sio akili.

Weka fixed deposit ya bank ambayo wanatoa kuanzia 9% to 11% ambazo ndio bank nyingi wanatoa sasa.
Mkuu jiongezee maarifa, UTT ni asilimia 12+ kwenye liquid fund. Bank wanaokupa mpaka asilimia 11 ni wale ambao usipokaa vizuri wanaweza kufa muda wowote.
Tukirudi kwenye kukopa, kuna kitu kinaitwa opportunity cost, uangalie, uchukue leo mkopo ufanyie jambo lako ama usubiri ukusanye kidogo kidogo kwa miaka 3 ama 5 ndio ufanye hilo jambo.

Mwisho inabaki kwenye maamuzi ya mtu kutokana na kipaumbele chake.
Watu wachache sana walioajiriwa wakikopa wanafanya kitu cha maana.
 
Hoja yako ni kukopa ama UTT?

UTT umeijua leo ama?

Ni mtu asieelewa vyanzo vya uwezkezaji tu anaeweza kupeleka hela zake UTT.

UTT return yake haizidi 5% kwa mwaka sasa hiyo laki 3 na upate 3.6 kwa ambazo jumla na return haitazidi 3.8, hii sio akili.

Weka fixed deposit ya bank ambayo wanatoa kuanzia 9% to 11% ambazo ndio bank nyingi wanatoa sasa.

Tukirudi kwenye kukopa, kuna kitu kinaitwa opportunity cost, uangalie, uchukue leo mkopo ufanyie jambo lako ama usubiri ukusanye kidogo kidogo kwa miaka 3 ama 5 ndio ufanye hilo jambo.

Mwisho inabaki kwenye maamuzi ya mtu kutokana na kipaumbele chake.
Umenikumbusha macho ya economics,, opportunity cost,
 
Mkuu jiongezee maarifa, UTT ni asilimia 12+ kwenye liquid fund. Bank wanaokupa mpaka asilimia 11 ni wale ambao usipokaa vizuri wanaweza kufa muda wowote.

Watu wachache sana walioajiriwa wakikopa wanafanya kitu cha maana.
Sio kweli, bank nyingi stable kubwa Tanzania wanatoa deposit rate kuanzia 10%+.

Pili why upelele pesa zako UTT wakati unaweza kununua hati Fungani za serikalini ambazo sasa zinatoa riba nzuri tu.

Kupeleka pesa zako UTT ni kama unakua unacheza kamari, una bet wakati kuna vyanzo vingine vya kuwekeza vya uhakika ambavyo unaweka pesa zako ukaa kunywa juice na kuku kwa mrija mpunga unaingia bila jasho.

Kuhusu waajiriwa, watu hawatoki kwenye same background, mtu mwingine ndio kichwa cha familia, wanategemewa kubadilisha hali za nyumbani kwao sasa aache kukopa kisa ni maamuzi ya hivyo sio kweli.

Acha watu wakope watatue matatizo yao, ya huko mbele hayajulikani.
 
Hoja yako ni kukopa ama UTT?

UTT umeijua leo ama?

Ni mtu asieelewa vyanzo vya uwezkezaji tu anaeweza kupeleka hela zake UTT.

UTT return yake haizidi 5% kwa mwaka sasa hiyo laki 3 na upate 3.6 kwa ambazo jumla na return haitazidi 3.8, hii sio akili.

Weka fixed deposit ya bank ambayo wanatoa kuanzia 9% to 11% ambazo ndio bank nyingi wanatoa sasa.

Tukirudi kwenye kukopa, kuna kitu kinaitwa opportunity cost, uangalie, uchukue leo mkopo ufanyie jambo lako ama usubiri ukusanye kidogo kidogo kwa miaka 3 ama 5 ndio ufanye hilo jambo.

Mwisho inabaki kwenye maamuzi ya mtu kutokana na kipaumbele chake.
Boss utt inafika 10%+ kwa mwaka
 
Sio kweli, bank nyingi stable kubwa Tanzania wanatoa deposit rate kuanzia 10%+.
Hakuna kitu kama hicho, nimefanya sana consultancies kwenye mabenki.
Pili why upelele pesa zako UTT wakati unaweza kununua hati Fungani za serikalini ambazo sasa zinatoa riba nzuri tu.

Kupeleka pesa zako UTT ni kama unakua unacheza kamari, una bet wakati kuna vyanzo vingine vya kuwekeza vya uhakika ambavyo unaweka pesa zako ukaa kunywa juice na kuku kwa mrija mpunga unaingia bila jasho.
Hivi unafahamu UTT ni kitu gani? Unajua kwamba ipo chini ya wizara ya fedha?
Kuhusu waajiriwa, watu hawatoki kwenye same background, mtu mwingine ndio kichwa cha familia, wanategemewa kubadilisha hali za nyumbani kwao sasa aache kukopa kisa ni maamuzi ya hivyo sio kweli.

Acha watu wakope watatue matatizo yao, ya huko mbele hayajulikani.
Waajiriwa wengi hawana financial literary. Wanaishia kupoteza hizo pesa.
 
Mtu analipwa laki 8 kwa mwezi baada ya makato yote halafu anachukua mkopo wa milioni 10+ na anaanza kukatwa karibu laki 4 kwa miaka mitano.

Hizi akili watu wanatoa wapi? Hela zenyewe hamna cha maana mnafanya na matokeo yake mnasumbua watu kwa kuombaomba na mnapoteza ufanisi kazini.

Unachangia mabenki asilimia 16 kwa mwaka ambayo ni asilimia 80 ya pesa yako unayoipata kwa shida katika miaka mitano. Benki zinanufaika kwa ujinga wa watu wengi.

Kwanini wewe usihifadhi hata UTT shilingi laki 3 kwa mwezi? Kwa mwaka utakuwa na 3.6m na miaka mitano itakuwa 18m, tena hapo bila kuweka faida yake.
Ebwna eeh yaani laki tatu klawezi napata million 3.6 baada ya miezi 12? Ebu nipe maujanja niwe naweka million kila mwezi sii nitakuwa na million 10
 
Mtu analipwa laki 8 kwa mwezi baada ya makato yote halafu anachukua mkopo wa milioni 10+ na anaanza kukatwa karibu laki 4 kwa miaka mitano.

Hizi akili watu wanatoa wapi? Hela zenyewe hamna cha maana mnafanya na matokeo yake mnasumbua watu kwa kuombaomba na mnapoteza ufanisi kazini.

Unachangia mabenki asilimia 16 kwa mwaka ambayo ni asilimia 80 ya pesa yako unayoipata kwa shida katika miaka mitano. Benki zinanufaika kwa ujinga wa watu wengi.

Kwanini wewe usihifadhi hata UTT shilingi laki 3 kwa mwezi? Kwa mwaka utakuwa na 3.6m na miaka mitano itakuwa 18m, tena hapo bila kuweka faida yake.
Inategemea na biashara au uwekezaji unaoenda kuufanya ila kama unaenda kununua gari au nyumba hapo ndio umeyumba
 
Back
Top Bottom