Una Miaka 30+ unafata nini night club?

Mimi sioni shida maana kila mtu na maisha yake. Wewe ambaye huendi club huenda una vitu vyako unafanya ni vya hovyo kuliko hao waenda club ila wewe unajionea sawa. Muhimu ni kuwa busy na yanayotuhusu ya wengine tuachane nayo.
 
Ukiona unaamkiwa shikamoo na mabinti jua unaenda club kufedheheka, au ukiona unaanza kuitwa mjomba badala ya bro, jua umeaga mashindano
Tatizo watoto wazuri wa 2000 wanataka watu wazima maana nyie watoto wenzao hamjui mapenzi +hamna maokoto!acheni wivu!..na tunavila kweli
 
Me sioni shida maana kila mtu na maisha yake. Wewe ambaye huendi club huenda una vitu vyako unafanya ni vya hovyo kuliko hao waenda club ila wewe unajionea sawa. Muhimu ni kuwa busy na yanayotuhusu ya wengine tuachane nayo.
Nimetokea kukupenda, siwezi kuishi bila wewe, nakuhitaji😭
 
Only weak man abuse women
Ndio uwe unawashikia bango kama ulivyoshikia hapa au nyuzi za kutukana KE humu huwa huzioni, na kwa hoja yako wewe maana yake hata Serikali zote duniani, ziache kuzuia madawa ya kulevya sababu watumiaji wanayapenda wenyewe au siyo
 
Ndio uwe unawashikia bango kama ulivyoshikia hapa au nyuzi za kutukana wanawake humu huwa huzioni, na kwa hoja yako wewe maana yake hata serikali zote duniani, ziache kuzuia madawa ya kulevya sababu watumiaji wanayapenda wenyewe au siyo
Unapaniki sana anyway nitaanza kufanya hivyo!ila huwa nawatetea mara kadhaa Hawa rafiki na ndugu zetu.
 
Ndio uwe unawashikia bango kama ulivyoshikia hapa au nyuzi za kutukana KE humu huwa huzioni, na kwa hoja yako wewe maana yake hata Serikali zote duniani, ziache kuzuia madawa ya kulevya sababu watumiaji wanayapenda wenyewe au siyo
Madawa ya kulevya unayafananisha na mtu kwenda zake sehem ya starehe na kujipumzisha!?
Kuwa serious Jadda sio Kila mada utashinda bhana hapa kubali umeingilia affair za watu
 
Unapaniki sana anyway nitaanza kufanya hivyo!ila huwa nawatetea mara kadhaa Hawa rafiki na ndugu zetu.
Sasa hapo panic iko wapi, si kwamba nakulazimisha kufanya hivyo, ila najaribu kuonesha tu jinsi binadamu tulivyo wanafiki
Madawa ya kulevya unayafananisha na mtu kwenda zake sehem ya starehe na kujipumzisha!?
Kuwa serious Jadda sio Kila mada utashinda bhana hapa kubali umeingilia affair za watu
Dooh kumbe wewe ulikuwa unashindana mimi nikadhani tulikuwa tunajadiliana, sasa how comes kukataza pombe na starehe nyingine unakuwa umeingilia affairs za watu ila kukataza madawa ya kulevya unakuwa hujaingilia ndio huo unafiki niliousema hapo juu, wewe unadhani pombe na hizo starehe nyinginezo ndio hazina madhara kwa watu au napo utasema hata wakipata madhara ni wao hivyo sisi hayatuhusu siyo
 
Una miaka 30+ unafata nini club? Ushakuwa mtu mzima, unaenda club kusumbua na kuleta taharuki kwa wanafunzi wa chuo na watoto waliozaliwa 2005.

Unajaza tu nafasi club watoto wanashindwa kuenjoy. Acha usumbufu!, Kaa nyumbani fundisha wanao Maths na muandiko

Kama unapenda sana night outs, tafuta kanisa lenye mkesha au msikiti ukamrudie Mungu, umri wako umeenda, wewe ni wakufa muda wowote, waache vijana wafurahie ujana wao bila usumbufu wako mzee mwenzangu.
we jamaa, unatafuta laana ya wazee wa 30
 
Una miaka 30+ unafata nini club? Ushakuwa mtu mzima, unaenda club kusumbua na kuleta taharuki kwa wanafunzi wa chuo na watoto waliozaliwa 2005.

Unajaza tu nafasi club watoto wanashindwa kuenjoy. Acha usumbufu!, Kaa nyumbani fundisha wanao Maths na muandiko

Kama unapenda sana night outs, tafuta kanisa lenye mkesha au msikiti ukamrudie Mungu, umri wako umeenda, wewe ni wakufa muda wowote, waache vijana wafurahie ujana wao bila usumbufu wako mzee mmwenzan

Wasipoenda, madanga ya kuwafunua marinda mtatoa wapi?
Dogo
Una miaka 30+ unafata nini club? Ushakuwa mtu mzima, unaenda club kusumbua na kuleta taharuki kwa wanafunzi wa chuo na watoto waliozaliwa 2005.

Unajaza tu nafasi club watoto wanashindwa kuenjoy. Acha usumbufu!, Kaa nyumbani fundisha wanao Maths na muandiko

Kama unapenda sana night outs, tafuta kanisa lenye mkesha au msikiti ukamrudie Mungu, umri wako umeenda, wewe ni wakufa muda wowote, waache vijana wafurahie ujana wao bila usumbufu wako mzee mwenzangu.
Dogo underage kama ulichukuliwa demu tulia huna hela subiri ukifika 30plus
 
lakini kama kuna kaukweli hivi umri huu wa 30+ umefika saivi nikiwa club naona aibu kubanjuka
Hahaha I'm 35 huwa nikiwa club sielewi kabisaaa naona madogo wa siku hizi wanavaa ma t-shirt marefu meupe ili wawake sijui, ndio shida ya huku vijijini ila town unakunywa vinywaji vyako hotels, pubs na pisi unadaka you feel comfortable.
 
Nakumbuka nilienda clubs za Dsm nimechomekea .

Watoto hawana adabu wale kwa kunishangaa sana ...😅
Ni ushamba wa vijana mkuu, majuu huko watu wanatoka ofisini na suits wanaacha makoti lounge wanapata vinywaji wakiwa mkanda nje na kudance, huku wapori pori wanavaa masneaker meupe na matshirt meupe ili mataa ya club yareflect mwanga ule awe anang'aa kama taa, pisi nazo zinapaka rangi za kucha rangi flani showy! Hahaha age is a blessing
 
Una miaka 30+ unafata nini club? Ushakuwa mtu mzima, unaenda club kusumbua na kuleta taharuki kwa wanafunzi wa chuo na watoto waliozaliwa 2005.

Unajaza tu nafasi club watoto wanashindwa kuenjoy. Acha usumbufu!, Kaa nyumbani fundisha wanao Maths na muandiko

Kama unapenda sana night outs, tafuta kanisa lenye mkesha au msikiti ukamrudie Mungu, umri wako umeenda, wewe ni wakufa muda wowote, waache vijana wafurahie ujana wao bila usumbufu wako mzee mwenzangu.
Nani huwa anawaambia miaka 30 ni mtu mzima?
Hebu acheni hizo.

Kwanza ukioa una miaka 30 umewahi sana.
 
Ni ushamba wa vijana mkuu, majuu huko watu wanatoka ofisini na suits wanaacha makoti lounge wanapata vinywaji wakiwa mkanda nje na kudance, huku wapori pori wanavaa masneaker meupe na matshirt meupe ili mataa ya club yareflect mwanga ule awe anang'aa kama taa, pisi nazo zinapaka rangi za kucha rangi flani showy! Hahaha age is a blessing
Naaaaaam!
 
Una miaka 30+ unafata nini club? Ushakuwa mtu mzima, unaenda club kusumbua na kuleta taharuki kwa wanafunzi wa chuo na watoto waliozaliwa 2005.

Unajaza tu nafasi club watoto wanashindwa kuenjoy. Acha usumbufu!, Kaa nyumbani fundisha wanao Maths na muandiko

Kama unapenda sana night outs, tafuta kanisa lenye mkesha au msikiti ukamrudie Mungu, umri wako umeenda, wewe ni wakufa muda wowote, waache vijana wafurahie ujana wao bila usumbufu wako mzee mwenzangu.

Wengine kwenda club sio hobby zetu.

Lakini nachangia fairly Kwamba naamini kwenda club sio kwaajili ya kwenda kufanya mambo ya kuhuni tu.

Sio kwaajili ya kwenda kutafuta mabwana na mademu tu

Wengine wanaenda ku-reflesh minds kitu ambacho ni one the health requirements kwa mtu mzima.

Maisha unakutana na mambo mengi mengine yanavuruga vichwa, ili kupata relief ni kusikiliza muziki, kucheza, kukaa mazingira yenye watu kupita pita n.k

Hayo ni kwa mujibu wa studies mbalimbali.
 
Back
Top Bottom