Hujamaizia hesabu, hapo kwenye mchemsho haiwezi kuwa 2000 labda 5000.
Hiyo mechi kama inachezewa uwanja wa ugenini itakuwa na gharama za kiwanja, kwa viwanja vya kawaida kabisa 30000.
Timu pinzani haitaingia uwanjani moja kwa moja lazima kutakuwa na viburudisho kidogo tuseme kama 10,000.
Kunaweza kuwa na gharama za kuja na kuondoka kwa timu pinzani, hapo weka 20,000
baada ya mechi huwa kuna mgawanyo wa mapato ya pambano hapo kiwango cha chini kiwe 30,000 kutegemeana na aina ya timu.
kwa hiyo kwenye total ongoza 93,000 hapo
30,000 + 93,000=123,000/=
mwingine aongeze expenses ambazo hazijatajwa kwenye hii mechi
Jiandae kwa diet hii
Asubuhi saa moja: maziwa fresh ya moto na mayai ya kuchemsha mawili
Saa nne asubuhi: glass mbili za juice ya miwa
Saa saba mchana: ugali wa dona na foil ya samaki au nyama na mbogamboga
Saa tisa adhuhuri: glass 2 za fresh juice ya ukwaju/ miwa
Kumi na mbili jioni: mchemsho wowote
Saa mbili usiku: supu ya pweza na pweza wake, valuer bapa na redbul moja
Saa nne usiku: kama timu pinzani ishaingia uwanjani anza mtanange
Hujamaizia hesabu, hapo kwenye mchemsho haiwezi kuwa 2000 labda 5000.
Hiyo mechi kama inachezewa uwanja wa ugenini itakuwa na gharama za kiwanja, kwa viwanja vya kawaida kabisa 30000.
Timu pinzani haitaingia uwanjani moja kwa moja lazima kutakuwa na viburudisho kidogo tuseme kama 10,000.
Kunaweza kuwa na gharama za kuja na kuondoka kwa timu pinzani, hapo weka 20,000
baada ya mechi huwa kuna mgawanyo wa mapato ya pambano hapo kiwango cha chini kiwe 30,000 kutegemeana na aina ya timu.
kwa hiyo kwenye total ongoza 93,000 hapo
30,000 + 93,000=123,000/=
mwingine aongeze expenses ambazo hazijatajwa kwenye hii mechi
Kwa Mwezi ni 360k hadi 480k kuwekeza kwenye uzinzi halafu wanalalamika mshahara hauwatoshi.
Jiandae kwa diet hii
Asubuhi saa moja: maziwa fresh ya moto na mayai ya kuchemsha mawili
Saa nne asubuhi: glass mbili za juice ya miwa
Saa saba mchana: ugali wa dona na foil ya samaki au nyama na mbogamboga
Saa tisa adhuhuri: glass 2 za fresh juice ya ukwaju/ miwa
Kumi na mbili jioni: mchemsho wowote
Saa mbili usiku: supu ya pweza na pweza wake, valuer bapa na redbul moja
Saa nne usiku: kama timu pinzani ishaingia uwanjani anza mtanange
mimi nipo pekeangu hakutanoga..
Jiandae kwa diet hii
Asubuhi saa moja: maziwa fresh ya moto na mayai ya kuchemsha mawili
Saa nne asubuhi: glass mbili za juice ya miwa
Saa saba mchana: ugali wa dona na foil ya samaki au nyama na mbogamboga
Saa tisa adhuhuri: glass 2 za fresh juice ya ukwaju/ miwa
Kumi na mbili jioni: mchemsho wowote
Saa mbili usiku: supu ya pweza na pweza wake, valuer bapa na redbul moja
Saa nne usiku: kama timu pinzani ishaingia uwanjani anza mtanange
Jiandae kwa diet hii
Asubuhi saa moja: maziwa fresh ya moto na mayai ya kuchemsha mawili
Saa nne asubuhi: glass mbili za juice ya miwa
Saa saba mchana: ugali wa dona na foil ya samaki au nyama na mbogamboga
Saa tisa adhuhuri: glass 2 za fresh juice ya ukwaju/ miwa
Kumi na mbili jioni: mchemsho wowote
Saa mbili usiku: supu ya pweza na pweza wake, valuer bapa na redbul moja
Saa nne usiku: kama timu pinzani ishaingia uwanjani anza mtanange
Asubuhi saa moja: maziwa fresh ya moto na mayai ya kuchemsha mawili: 3000
Saa nne asubuhi: glass mbili za juice ya miwa:2000
Saa saba mchana: ugali wa dona na foil ya samaki au nyama na mbogamboga:10,000
Saa tisa adhuhuri: glass 2 za fresh juice ya ukwaju/ miwa:3000
Kumi na mbili jioni: mchemsho wowote:2000
Saa mbili usiku: supu ya pweza na pweza wake, valuer bapa na redbul moja:10,000
yaani elfu thelathini kujiandaa tu wakati huo ni mshahara wa mfanyakazi wa ndani mkuu upo seriously kweli na maisha!!!
Don't tell me is no longer...! Au unatania?