Una mechi kesho usiku?


Mkuu usijaribu kumtokea miss chagga na mahesabu yako hayo!!!
 
Last edited by a moderator:
mimi huwa nikishitukizwa ndo nashinda game kiustadi, nikijiandaa sana nakuwa nervous
 

mimi nipo pekeangu hakutanoga..
 

hapo lazima mtatoka wote kama huna usafiri lazima umpe hela ya usafiri nje na za mwanzo sasa hapo ongeza minimum 10,000 duuh.......
 
Yetooo!!!!!
 

Anaetakiwa kula ivo ni mwanamke ama mwanaume?
 

Badala ya kufaya hayo yote mpinzani wako mwandalie yafutayo li mechi inoge:
1. Mkaribishe kwa ukarimu wa hali ya juu
2. Mwandalie chakula kizuri na mkile wote kwa pamoja hukumkipiga stories za mapenzi
3.Mandalie kinywa laini kwa yule asiyetumia kikali
4. Andaa eneo tulivu
5. weka mziki mwororo
6.Kama ni usiku weka dimlight
7.Taratibu anza process

Ni hayo tu kama unamenine utaongeza
 

Siwezi kumshangaa kwini watu wengine ndo wameinvest ktk nyanja hizo
 
Vyakula vyote hivo vya nini wakati kwetu milo mitatu ni ya kubahatisha.
 
Ng'ombe hanenepi mnadani, mlo kamili sio jambo la siku moja tu, hiyo ni tabia ya mtu, Roma haikujengwa kwa siku moja!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…