jje's
JF-Expert Member
- Sep 3, 2014
- 10,886
- 16,584
Wewe ushawahi? Na ulijibu aje?Mzee vipi haujawahi kuulizwa
Wewe ushawahi? Na ulijibu aje?Mzee vipi haujawahi kuulizwa
Siwap hata hyo nafas ya kuuliza Nan anataka kucheka na ngedereMzee vipi haujawahi kuulizwa
Haha binafsi sijawahi kuulizwa na sijui kwanini. Sijui huyo mwanamke nitakuwa nimemwokota wapi aseeWewe ushawahi? Na ulijibu aje?
Siwap hata hyo nafas ya kuuliza Nan anataka kucheka na ngedere
shem shemGud for uHaha binafsi sijawahi kuulizwa na sijui kwanini. Sijui huyo mwanamke nitakuwa nimemwokota wapi asee
Hahah nakuelewa kwa hiyo mwanzo mwisho wewe ndiye unatawala mada tehtehSiwap hata hyo nafas ya kuuliza Nan anataka kucheka na ngedere
Ulishawahi kuuliza weweGud for u
Alah unamplekesha mpka anaanza kuuliza hvi ugomv wa north Korea na trump kisa ni nn?Hahah nakuelewa kwa hiyo mwanzo mwisho wewe ndiye unatawala mada tehteh
Hapana kwanza alivyoniambia nakupenda nilitetemeka na kumuuliza are you sure? Sikuamin kbsa na kitendo hicho kilininyima nafas ya kuulizaUlishawahi kuuliza wewe
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
shem shem
Tehteh..Alah unamplekesha mpka anaanza kuuliza hvi ugomv wa north Korea na trump kisa ni nn?
Nawe pia shem wangu. Naona hutaki kucheka na ngedere kbsaaHa ha ha ha mambo shem heri ya pasaka
Leo umuulize una hela?Hapana kwanza alivyoniambia nakupenda nilitetemeka na kumuuliza are you sure? Sikuamin kbsa na kitendo hicho kilininyima nafas ya kuuliza
Yah ki ukwel kabisa na anakua kashakusoma sasa jins ya kukutoa kwwnye mstar anauliza hvyoTehteh..
Mwanamke akikuuliza ni njia ya kukukataaa tu
Weeee naanzaje? Hunitakii mema weweLeo umuulize una hela?
Ha ha ha ha we acha tu kuna Ile mazoea mazoea utajikuta umezoea majiniNawe pia shem wangu. Naona hutaki kucheka na ngedere kbsaa
Na wewe unanichekeshaga sana, kumbe ndo zako kuuliza watu "Una hela wewe?" Khaaaa!!!![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
unajua umenichekesha sana hujui tu
![]()
Yah ki ukwel kabisa na anakua kashakusoma sasa jins ya kukutoa kwwnye mstar anauliza hvyo
Na lazima mwanaume upanic

hahaha