Una hela wewe?

Una hela wewe?

Hiv unajua naogopa kuachwa na huyu mpnz wangu? Unalijua hilo? Km yes naomba ufute ushauri wako
Shemeji usitaniwee..haya basi nimefuta. Mbona leo hamjanialika kilau cha sikukuu
 
Ha ha ha inaonekana ulimpenda wewe kabla ukawa unasubr aanze
Hahahahahaha bhana sijawah muona b4. Hivyo alivyo gentleman na maneno yake tu mie hoi siku hiyo hiyo ya kwanza duuuh
 
una hela wewe?
wewe na hela wapi ? waapi ? hii taarabu ilibamba sana kipindi hicho kumbe inaaply maisha ya kitaa siku hizi.wanawake wabaya!
 
Back
Top Bottom