Una hela wewe?

Una hela wewe?

Hahahahahaha bhana sijawah muona b4. Hivyo alivyo gentleman na maneno yake tu mie hoi siku hiyo hiyo ya kwanza duuuh
Daaaah kwahyo watu waliokota dodo kwenye mnazi daah
 
Mzee ebu angalia avatar ya beibi wako then leta mrejesho
Mzee acha kabisa hapo sasa ndio ukiulizwa una Hela utazimia maana inataka uwe na Hela na pumzi pia
 
Mzee acha kabisa hapo sasa ndio ukiulizwa una Hela utazimia maana inataka uwe na Hela na pumzi pia
Hajavaa kitu au ni macho yangu.. maana haya macho yakishaona miss bantu yanajiona X-ray bwana
 
Campany slogan
Sharing is Caring
Sharing is charity but not to zet eksitent.
Ha ha ha ha hapa mzee mtanisamehe kwanza maana we mwenyewe Umeona jinsi alivyo
 
Back
Top Bottom