Natamani Sana ungesoma mkasa wa naipenda jmosi yangu unaoandikwa na Irene mbowe
Kuna maneno Fulani huwa nayapenda Sana anakwambia kahaba ni shimo ndefu
Kwako Dada uliyeandikiwa huu ujumbe naamini upo humu Ila mtafute Sana Mungu ,mbingu zinakujua Kama mke halali hata Kama danga limekupokonya usilie usimrushie vijembe ,lilia magotini omba Sana Kuna majibu ya kila chozi
Kwako mwanaume uliyechepuka na kuacha mke anasutwa huku karma is near
Ujumbe wenu: Mbingu hutaiona otherwise umebadilika na kutubu machozi ya mwanamke mwenzio hayataenda bure miaka itapita lakini lazima Mungu atalipa kwa namna usiyojua
#Huu ugomvi nimetamani uwe wangu Mana ningeupangua spiritual Mimi Ni mwanamke naelewa maumivu ya ndoa