Una aina ipi ya hasira kati ya hizi?

Una aina ipi ya hasira kati ya hizi?

Pindi unapokosewa ni kipi kati ya hivi hutawala hasira zako

1.KUKAA KIMYA / KUMCHUNIA / KUTOMUONGELESHA ALIEKUKOSEA

2.KUSHOUT / KUGOMBA / KUTUKANA

3. KUONDOKA ENEO LA TUKIO / KUSEPA

4.KULIA MACHOZI

5. KULIANZISHA VARANGA / KUPIGA / KUVUNJA VITU

6. VILEVI / POMBE / NGONO

Namba moja + kunywa maji mengi.

Ila baadae upepo ukipoa nakuongeresha in reasonable sound.

Ukiendelea kuleta pumba nakupiga chini.
 
basi km ndiyo hivyo mi utaniua kwa ndoo maana nikiona unajishusha ndiyo nazidi kuongea nitalalamika mpaka

Kuna ulalamikaji wa kudeka na kubwatiza! Kama unadeka nitakubembeleza, tutabembelezana mpaka kesho asubuhi!! Kuna ulalamikaji wa kike! Anajua umemkosea, anachotaka ni kujishusha kwako! Ila sio anibwatize km mtoto mdogo siwezi! Kama nimekosea, kuna uongeaji wa kike, kadri unavyoshuka mie najishusha mpaka suala liishe!! Mie mtu akinikosea ni nadra saana kumbwatiza labda awe ana kana kosa! Ila akikiri! Nampenda mtu kanikosea namvuta chini namueleza a b c d! Sijapenda hiki na hiki basi tunamaliza, sio kupigizana kelele kama ngedere wameona ndizi
 
7.Kusikiliza Mziki.
Unaweza usiamini lakini mziki husaidia sana pindi ukiwakwa na hasira kali sana.
Kwa mfano mimi nina playlist yangu kabisa nasikiliza nikiwa na hasira kali.namba moja kwenye hio list ni wimbo wa Thunderstruck by AC/DC.
It works.
 
Nikikasilika sana huwa nafanya shopping yangu ya maana. Ni kipindi ambacho matumizi yangu ya fedha huwa makubwa.
 
Pindi unapokosewa ni kipi kati ya hivi hutawala hasira zako

1.KUKAA KIMYA / KUMCHUNIA / KUTOMUONGELESHA ALIEKUKOSEA

2.KUSHOUT / KUGOMBA / KUTUKANA

3. KUONDOKA ENEO LA TUKIO / KUSEPA

4.KULIA MACHOZI

5. KULIANZISHA VARANGA / KUPIGA / KUVUNJA VITU

6. VILEVI / POMBE / NGONO
Namba sita
 
Pindi unapokosewa ni kipi kati ya hivi hutawala hasira zako

KUKAA KIMYA / KUMCHUNIA / KUTOMUONGELESHA ALIEKUKOSEA

KUSHOUT / KUGOMBA / KUTUKANA

KUONDOKA ENEO LA TUKIO / KUSEPA

KULIA MACHOZI

KULIANZISHA VARANGA / KUPIGA / KUVUNJA VITU

VILEVI / POMBE / NGONO
Kwenye kitengo cha hasira kikishaguswa na kuamka hapa maajabu ndo huanza kutokea maana pamoja na ufupi nilionao lakini hadi Dari ya nyumba inakua kama ndani kuna kiumbe kikubwa sana kinaleta mtikisiko wa jengo zima kinachofata ni majirani na wazee was heshima kuja dirishani wakaniomba punguza hasira nione mm .Ww mama Muu kama unajua kitu ambacho hapendi usimfanyie mwenzio.
 
Najiona mimi kabisa, when I was too young, nikiwa na hasira sana, nilikuwa nahisi baridi kali, hadi natetemeka, nashindwa kuongea naishia tu kumuangalia aliyenikosea. Hasira sio kitu chema, tunatakiwa tu balance sana.
We acha tu
 
Mi hua nakaa kimya na katika kipindi hicho nikiwa kimya sitaki kabisa kuongeleshwa hasa na huyo alienikosea. Ila baada ya mda hua nasahau kabisa na nakua poa tu wala sitalizungumzia tena hilo swala.
 
Pindi unapokosewa ni kipi kati ya hivi hutawala hasira zako

KUKAA KIMYA / KUMCHUNIA / KUTOMUONGELESHA ALIEKUKOSEA

KUSHOUT / KUGOMBA / KUTUKANA

KUONDOKA ENEO LA TUKIO / KUSEPA

KULIA MACHOZI

KULIANZISHA VARANGA / KUPIGA / KUVUNJA VITU

VILEVI / POMBE / NGONO
None of the above
 
Back
Top Bottom