Una aina ipi ya hasira kati ya hizi?

Una aina ipi ya hasira kati ya hizi?

1 & 4
Kama mazingira hayaruhusu kulia namba moja ufanya kazi yake.
Nikiwa na hasira huwa siwezi hata kuongea
 
Mimi hata sijijui ngoja nimuulize Mama zakaria
 
Depends on how angry I am, if it doesn't do any real damage, tryna think of something else than what is making me angry.

Kama ina demage, hasira namalizia kwenye kufanya usafi, kutoa nguo zote kabatini na kupanga tena huku naongea mwenyewe.
Hasira ni mbaya,sumu iliyo hatari zaidi,

I remember few years i used to be such kind of person,mwenye hasira sana,ila nilikuja kugundua ni kutokana na uchungu wa vitu vingi na kutokuwa na uwezo wa kuhandle jambo kwa namna ya kawaida...

But nilikutana na dr mmoja akanipa somo,haki sitarudia kuweka hasira moyon

Otherwise nitakaa kimya au kutembea tembea nje.....

Life is too short
Kama mnaandika kiswahili kwanini msiandike tu kiswahili moja kwa moja, ukizingatia mada imeletwa kwa kiswahili.
Au nyie kiswahili akipandi vyema?
 
Pindi unapokosewa ni kipi kati ya hivi hutawala hasira zako

1.KUKAA KIMYA / KUMCHUNIA / KUTOMUONGELESHA ALIEKUKOSEA
2.KUSHOUT / KUGOMBA / KUTUKANA
3. KUONDOKA UKIKOSEWA / KUSEPA / KUMFUKUZA ALIEKUKOSEA
4.KULIA MACHOZI
5. VITENDO / KUMPIGA ALIEKUKOSEA / KUVUNJA VITU
Yote hayo ni psychology,kila MTU anatenda tofauti kutokana na mazingira aliyokulia au kutokana vinasaba alivyoshea kwa family tree,na kila mmoja amepewa nguvu yakutawala hisia kama hasira

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama mnaandika kiswahili kwanini msiandike tu kiswahili moja kwa moja, ukizingatia mada imeletwa kwa kiswahili.
Au nyie kiswahili akipandi vyema?
Hivi kwanini unajipa shughuli zisizo za lazima? It's a free country ninaweza kutumia lugha zote kwa sababu katiba ya nchi inaonesha TZ tunaongea kiswahili na kingereza.
20200314_212957.jpeg
 
1 & 4
Kama mazingira hayaruhusu kulia namba moja ufanya kazi yake.
Nikiwa na hasira huwa siwezi hata kuongea
Naongea kama kinandaa weee yani mi mpk nilie ni kwamba sikuwezi labda umenizidi umri na vitu km hivyo ila km nakumudu nitaongea mpk ..
Nitaongea kama cherehani
 
Mimi nikiwa na hasira kali huwa siwezi kuongea vzr na huwa natetemeka, hivyo basi huwa naamua kukaa kimya au kuondoka eneo la Tukio

Asanteni
 
Naongea kama kinandaa weee yani mi mpk nilie ni kwamba sikuwezi labda umenizidi umri na vitu km hivyo ila km nakumudu nitaongea mpk ..
Nitaongea kama cherehani
Dah! Hongera mwaya, me kuongea siwezi kabisa, ntakuangalia tu au nitakuacha hapo uendelee mwenyewe na kelele zako 😀
 
Pindi unapokosewa ni kipi kati ya hivi hutawala hasira zako

1.KUKAA KIMYA / KUMCHUNIA / KUTOMUONGELESHA ALIEKUKOSEA
2.KUSHOUT / KUGOMBA / KUTUKANA
3. KUONDOKA UKIKOSEWA / KUSEPA / KUMFUKUZA ALIEKUKOSEA
4.KULIA MACHOZI
5. VITENDO / KUMPIGA ALIEKUKOSEA / KUVUNJA VITU
Dhaaa mimi kukaa kimyaaa yaniii huwa siongeii wala.

Tuna weza pisha hata mwezii mmoja.

Sema manzi alikuwa ananiwezaaa akinipa PUNANI basii kifusii chaa jazba kina ishaa maana unakuta nime kasirishwa na harakati zangu hukoo.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom