MR LINKO
JF-Expert Member
- Aug 20, 2016
- 3,034
- 3,544
Na nikishikwa ba hasiraa zamani nilikiwa naenda kunywa bia nasikiliza mziki keshii ina ishaaa nakuwa na amani kabisaaa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Namba 3 ila hasira ikipoa na nikabahatika kirudi aisee omba sana.Pindi unapokosewa ni kipi kati ya hivi hutawala hasira zako
1.KUKAA KIMYA / KUMCHUNIA / KUTOMUONGELESHA ALIEKUKOSEA
2.KUSHOUT / KUGOMBA / KUTUKANA
3. KUONDOKA UKIKOSEWA / KUSEPA / KUMFUKUZA ALIEKUKOSEA
4.KULIA MACHOZI
5. VITENDO / KUMPIGA ALIEKUKOSEA / KUVUNJA VITU
Najiona mimi kabisa, when I was too young, nikiwa na hasira sana, nilikuwa nahisi baridi kali, hadi natetemeka, nashindwa kuongea naishia tu kumuangalia aliyenikosea. Hasira sio kitu chema, tunatakiwa tu balance sana.Mimi nikiwa na hasira kali huwa siwezi kuongea vzr na huwa natetemeka, hivyo basi huwa naamua kukaa kimya au kuondoka eneo la Tukio
Asanteni
1Pindi unapokosewa ni kipi kati ya hivi hutawala hasira zako
1.KUKAA KIMYA / KUMCHUNIA / KUTOMUONGELESHA ALIEKUKOSEA
2.KUSHOUT / KUGOMBA / KUTUKANA
3. KUONDOKA UKIKOSEWA / KUSEPA / KUMFUKUZA ALIEKUKOSEA
4.KULIA MACHOZI
5. VITENDO / KUMPIGA ALIEKUKOSEA / KUVUNJA VITU
anatwanga mtu ndoo
🤣
Nakwepa sana kukasirika. Ila nimeifunza PRIMITIVE CORTEX yangu kuwa ikitokea nina hasira niondoke nyumbani nende kilabuni kupata ulabu hadi niwe ndii. Nikirudi ni usingizi tuMara zote hasira au ghadhabu ikitawala akili inaacha kufanya kazi..
Hili ni jukwaa huru hata ukiamua kuongea kichini kuna wachina wamo humu ndani wanajua kiswahili,Kama mnaandika kiswahili kwanini msiandike tu kiswahili moja kwa moja, ukizingatia mada imeletwa kwa kiswahili.
Au nyie kiswahili akipandi vyema?
Huwa naenda Kilingeni Msata kufanya yanguPindi unapokosewa ni kipi kati ya hivi hutawala hasira zako
1.KUKAA KIMYA / KUMCHUNIA / KUTOMUONGELESHA ALIEKUKOSEA
2.KUSHOUT / KUGOMBA / KUTUKANA
3. KUONDOKA UKIKOSEWA / KUSEPA / KUMFUKUZA ALIEKUKOSEA
4.KULIA MACHOZI
5. VITENDO / KUMPIGA ALIEKUKOSEA / KUVUNJA VITU
6. KUNYWA BIA / SEX / KULA / KULALA





Mimi nimejifunza na ninajitahidi sana kuishi namba 1&3. Namba 1&3 ni bora sana, ninamshauri kila mmoja ajaribu ku-practice maishani. Ukiweza itakuepusha sana na mengi. Ila mtoa mada namba 3 mwishoni pale nadhani umechanganya- hii ya kumfukuza aliyekukosea ikae sehemu nyinginePindi unapokosewa ni kipi kati ya hivi hutawala hasira zako
1.KUKAA KIMYA / KUMCHUNIA / KUTOMUONGELESHA ALIEKUKOSEA
2.KUSHOUT / KUGOMBA / KUTUKANA
3. KUONDOKA UKIKOSEWA / KUSEPA / KUMFUKUZA ALIEKUKOSEA
4.KULIA MACHOZI
5. VITENDO / KUMPIGA ALIEKUKOSEA / KUVUNJA VITU
6. KUNYWA BIA / SEX / KULA / KULALA


basi km ndiyo hivyo mi utaniua kwa ndoo maana nikiona unajishusha ndiyo nazidi kuongea nitalalamika mpaka
Eehh!! Bibie maana mie mdomoni sina maneno mengi nikikasirika! Siwezi kabisa kubwabwaja! Mie nataka nikae chini tuzungumze! Hata km nimekosea sio mtu kunikoromea au kunibwatiza! Ndio kuepusha haya huwa najiondokea tu! Laa sivyo napiga mtu ndoo nzito!! Bichwa la boyka![]()
Kukaa kimya ndio jibu kwa mjinga.1.KUKAA KIMYA / KUMCHUNIA / KUTOMUONGELESHA ALIEKUKOSEA