Chief Majinge heritage
Senior Member
- May 21, 2019
- 102
- 225
Aseee mm hukaa kimya tu then naweka nyimbo zangu za kirasta/ reggae tu
Ok,ilikuwa ni kwa faida ya wote lakin (naheshimu maoni yako)Hivi kwanini unajipa shughuli zisizo za lazima? It's a free country ninaweza kutumia lugha zote kwa sababu katiba ya nchi inaonesha TZ tunaongea kiswahili na kingereza.View attachment 1388779