Umuhimu wa kutozima Simu usiku

Umuhimu wa kutozima Simu usiku

Lastmost

JF-Expert Member
Joined
Jan 30, 2022
Posts
881
Reaction score
1,021
Salaam wana jukwaa,Kuna hii tabia ya kuzima simu usiku mwa kuepuka usumbufu wa calls na sms.

Je, ulishawahi kuzima simu usiku then ukajutia? Tujitahidi kuacha simu zetu on kila wakati.

Mimi Kuna siku nilizima simu usiku then nikalala,kumbe usiku wa Kama saa sita Kuna gari ilikuja ikapaki barabarani,karibu na nyumba yangu,(Mimi naishi pembezoni mwa barabara,Tena kilimani).

Sasa majirani zangu wanaokaa bondeni kidogo wakaiona ile gari,imewasha taa,Ila haiondoki wakajaribu kunipigia wakakuta simu iko off.

Ashukuriwe Mungu baada ya muda gari ikaondoka.

Asubuhi ndo wananiuliza kwanini ulizima simu?

Km wenye gari walikuwa na lengo baya ungesaidikaje?

Nami nikajifunza kitu,ikiwezekana acha simu yako on usiku.

Kazi iendelee.
 
changamoto ni kuhofia kupigiwa ama kutumiwa sms na mpango wa kandoo endapo amepata tukio la ghafula

ama kupigiwa simu za ofisini uende ukatatue matatizooo
Hahahaha,achana na mpango wa kando,bakia njia kuuu
 
Salaam wana jukwaa,Kuna hii tabia ya kuzima simu usiku mwa kuepuka usumbufu wa calls na sms.
Je ulishawahi kuzima simu usiku then ukajutia?tujitahidi kuacha simu zetu on kila wakati.

Mimi Kuna siku nilizima simu usiku then nikalala,kumbe usiku wa Kama saa sita Kuna gari ilikuja ikapaki barabarani,karibu na nyumba yangu,(Mimi naishi pembezoni mwa barabara,Tena kilimani).
Sasa majirani zangu wanaokaa bondeni kidogo wakaiona ile gari,imewasha taa,Ila haiondoki.wakajaribu kunipigia wakakuta simu iko off.Ashukuriwe Mungu baada ya muda gari ikaondoka.
Asubuhi ndo wananiuliza kwa Nini ulizima simu?
Km wenye gari walikuwa na lengo baya ungesaidikaje??

Nami nikajifunza kitu,ikiwezekana acha simu yako on usiku.
Kazi iendelee.
Uzime usizime simu ilipangwa hivyo pindi tu tangu uzaliwe. Kwa iyo siyo eti kwasabab usizime simu usiku. Hata huko kuzima simu usiku na gari kupaki na kuwasha taa ilishapangwa long time time pindi tu ulipozaliwa. Chochote ufanyacho kilipangwa. Hata wewe kuandika hii sreedi leo ilishapangwa long time.
 
Uzime usizime simu ilipangwa hivyo pindi tu tangu uzaliwe. Kwa iyo siyo eti kwasabab usizime simu usiku. Hata huko kuzima simu usiku na gari kupaki na kuwasha taa ilishapangwa long time. Chochote ufanyacho kilipangwa. Hata wewe kuandika hii sreedi leo ilishapangwa long time.
Sawa mkuuu,sibishi neno,Ila simu ikiwa on waweza msaidia mtu usiku au ukasaidika pia
 
Aah mie hata ukinipigia nitakuta msd call asubuhi, kwahiyo nizime nisizime yote sawa tu
 
Mimi sizimi simu na pia naweka antitheft active yani simu ikibebwa tu inaanza kupiga mikelele .....hii ni baada ya wezi kunichapa pc, na simu zangu usiku mimi nikiwa bize kucheki mpila
 
Daa watu mna mawazo mazuri sana asee but kwenye hayo mawazo yenu sioni positive thinking za uoande wa pili, kila mtu sizimi sizimi.

Haya umelala simu ipo on na jamaa wapo mlangoni, dirishani inshort mwingine tayari yupo ndani jirani anakupigia, what next?.

Haya usiku 0430hrs unapigiwa kafariki au njoo ofisini na huna usafiri what next?.

Hizi ni just a story tu ila kwenye real issues haiwezi kuwa hivyo, hata wezi wanajua hayo yote maana kwenye vikao vya mtaani nawao huwa wapo na wanatoa mawazo mazuri tu 😁!.
 
Salaam wana jukwaa,Kuna hii tabia ya kuzima simu usiku mwa kuepuka usumbufu wa calls na sms.

Je, ulishawahi kuzima simu usiku then ukajutia? Tujitahidi kuacha simu zetu on kila wakati.

Mimi Kuna siku nilizima simu usiku then nikalala,kumbe usiku wa Kama saa sita Kuna gari ilikuja ikapaki barabarani,karibu na nyumba yangu,(Mimi naishi pembezoni mwa barabara,Tena kilimani).

Sasa majirani zangu wanaokaa bondeni kidogo wakaiona ile gari,imewasha taa,Ila haiondoki wakajaribu kunipigia wakakuta simu iko off.

Ashukuriwe Mungu baada ya muda gari ikaondoka.

Asubuhi ndo wananiuliza kwanini ulizima simu?

Km wenye gari walikuwa na lengo baya ungesaidikaje?

Nami nikajifunza kitu,ikiwezekana acha simu yako on usiku.

Kazi iendelee.
Tafuta pesa wewe achana na Majirani
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom