Umuhimu wa kuhonga katika mapenzi

Umuhimu wa kuhonga katika mapenzi

Aaah aifate mumlipishe eeh

Ha ha haah...wewe HS, usijisahaulishe banaa. Hiyo haiitwi kulipisha aisee. Bali tuliambiwa na wahenga (walee wa Msoga) kuwa ukitaka kula na wewe ukubali kuliwa hata kidogo tu. Nafikiri hii ndio ile Waingeretha wanaiita...win-win situation.
 
Jisikieni raha kuongwa kuna malipo ykeee ,masaa3,utaomba pooo kpgo cha ruba
 
sikia tu mkuu acha kabisa ...mimi mwanaume akinihonga yaani sijui nikuambieje sina tu bahati hyo nikimpata naishia kupigwa mizinga

eti unaishiwa kupigwa mizinga,tatizo unapenda vi serenget boyz,utaachaje kupigwa mizinga ,tafuta wababu wa kizungu,unahongwa had meli
 
Back
Top Bottom